Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,301
Mkuu huo utajiri unapatikana
wapi? Nielekeze mkuu, nimeshachoka na maisha ya kimasikini, nimechoka
kulala kwenye mabox Kariakoo...
Freemasonry
Mkuu huo utajiri unapatikana
wapi? Nielekeze mkuu, nimeshachoka na maisha ya kimasikini, nimechoka
kulala kwenye mabox Kariakoo...
Tunashukuru kwa ufafanuziHapana ni meneja wao ndiye kapigwa risasi Arusha.Sio Patrick Ngiloi
kwa hyo ni meneja wake?Wakuu ni kweli kabisa nimefika eneo la tukio chini ya mti inadaiwa kapigwa risasi ya kifua. Kabla ya hapo trafiki wawili wa kike walikuwa wamemsimamisha wanamkagua ndio jamaa wakaja na pikipiki wakamshuti trafiki wakakimbia.
Kwani hizi Panone si ni mali ya Riz1? Au ndio kafa?
kama ni kweli, basi kuna kitu kinazunguka arusha ambaco sio kizuri
Mkuu huo utajiri unapatikana wapi? Nielekeze mkuu, nimeshachoka na maisha ya kimasikini, nimechoka kulala kwenye mabox Kariakoo...
Freemasonry
hahaha Mbeya huko baba
unakwenda kwa mganga baada ya kutimiza masharti yake anakuambia uchukue
punje uzimwage mbele ya KUKU, yule kuku atakula punje pale let say punje
7. Hapo inamaanisha utakuwa stinking rich for 7yrs halafu mzee unavuta
ghafla tu km wale jamaa wa Arusha.
Nawe, watu wapo kwenye ukweli wewe unaleta maskharaKwani hizi Panone si ni mali ya Riz1? Au ndio kafa?