Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
Mwenye PANONE ni Riz1 na
petrol station nyingi zina supermarket huyu mtoto ni fisadi mbaya kabisa
na madawa ya kulevya...
sio kweli Ngiloi hana ubia na Riz1, ngiloi ameanza ujasiriamali kwa muda mrefu sana pengine Riz akiwa bado yupo shule! Tusiwe na wivu wa kike kuona mtu hawezi kuendelea bila kuwezeshwa! Kesho mtasema Bilionea Laswai wa Moshi pia anawezeshwa na Riz 1