It either unaandika kwa hisia au, tayari weekend imeshaanza, mkuu hizi ni hadithi tu za mtaani, vifo vipo, ila kutokana na kuwepo kwa utandawazi unaweza kuona mambo ya ajabu sana kutokea, mkuu halli ya usalama kwa Arusha ni tete tokea zamani, mambo kama haya mnayaleta nyie wageni wa mkoa na kutaka kupotosha watu na kujenga hoja potofu, njoo na ushahidi wa kutosha kabla ya kuandika kama mlevi
Hakuna cha siri hapa, huu ni mkakati wa ofisi binafsi ya mtu mkubwa nchi hii. Wale wote wanaoifadhili CDM lazima waishe kabla ya 2015!Kama kafa huyo basi kutakuwa na siri kubwa juu ya utajiri wa matajiri Arusha.
Hakuna mabilionea wa ukweli hapa Tanganyika
Mkuu huo utajiri unapatikana
wapi? Nielekeze mkuu, nimeshachoka na maisha ya kimasikini, nimechoka
kulala kwenye mabox Kariakoo...
Hakuna cha siri hapa, huu ni mkakati wa ofisi binafsi ya mtu mkubwa nchi hii. Wale wote wanaoifadhili CDM lazima waishe kabla ya 2015!
hao trffic wamehusikaWakuu ni kweli kabisa nimefika eneo la tukio chini ya mti inadaiwa kapigwa risasi ya kifua. Kabla ya hapo trafiki wawili wa kike walikuwa wamemsimamisha wanamkagua ndio jamaa wakaja na pikipiki wakamshuti trafiki wakakimbia.
MFULULIZO WA MAUAJI YA SIRI JIJINI ARUSHA SI SALAMA KWA CHAMA TAWALA NA TIMU ZAKE ZA KUSAKA URAIS KWA MTAJI WA DAMU YA WENGINE
Jamani hii programu ya mauaji ya msururu mkubwa wa wanachama wa CHADEMA na wafadhili wetu jijini Arusha tangu Askofu Laiser hadi leo mfanyabiashara mmoja baada ya mwingine mwisho wake lini??
Kimsingi kuna mtuanamdanganya Chatanda kwamba ili kuking'oa CHADEMA katika mioyo ya wananchi kule Kaskazini basi unahitaji kumualika Rais Kikwete kuja kuzindua mpango mzima huo kwa kuanza kukimbia mitaani A-Tauni na kupungia watu huku na kule.
Yote juu ya yote, CHADEMA hakiwezi kuondolewa katika mioyo ya wengi kwa kuwaua baadhi ya wakubwa wao.
Mkuu huo utajiri unapatikana wapi? Nielekeze mkuu, nimeshachoka na maisha ya kimasikini, nimechoka kulala kwenye mabox Kariakoo...
Kuna habari zimeenea mjini hapa Mkoani Kilimanjaro kuwa mfanyabiashara Maarufu wa mafuta na vipuri vya magari Anayemiliki kampuni Ya PANONE amefariki kwa kupigwa risasi mkoani Arusha bdo ni tetesi kama ni kweli wenye taarifa zaidi watujuze
hata ludo alivyo kamatwa kwa ugaidi ulishtuka namna hii
mmmh,ya kweli hayo?
Hiyo ipo tunduma na sio kaskazini.
Mh! Kazi ipo. Kuna kitu kwa hao ma-tycoon wa Arachuga.
Yule wakili maarufu kijana naye nilisikia akibweka kuwa yeye si freemasons...kauli zake za hivi karibuni zina utata kweli.
Umeniwahi mkuu na mimi nilitaka kuuliza hivyo hivyo!!
Duh! Majambazi yote ya zamani ya Arusha/Moshi yanapukutika! Kuanzia Advocate crook!, Yule wa Madini, Wa Ndege na huyu La! Sijui walizurumiana! any way, R.I.P Mfanyabiashara!Kuna habari zimeenea mjini hapa Mkoani Kilimanjaro kuwa mfanyabiashara Maarufu wa mafuta na vipuri vya magari Anayemiliki kampuni Ya PANONE amefariki kwa kupigwa risasi mkoani Arusha bdo ni tetesi kama ni kweli wenye taarifa zaidi watujuze