Kuna habari zimeenea mjini hapa Mkoani Kilimanjaro kuwa mfanyabiashara Maarufu wa mafuta na vipuri vya magari Anayemiliki kampuni Ya PANONE amefariki kwa kupigwa risasi mkoani Arusha bdo ni tetesi kama ni kweli wenye taarifa zaidi watujuze
Kama ni kweli, basi kuna kitu kinazunguka Arusha ambaco sio kizuri
Hapana ni meneja wao ndiye kapigwa risasi Arusha.Sio Patrick Ngiloi
Naye ni billionea au?
Inasadikika wapo wote kibiashara na ni walikua marafiki na marehemu BABU SAMBEKE
MFULULIZO WA MAUAJI YA SIRI JIJINI ARUSHA SI SALAMA KWA CHAMA TAWALA NA TIMU ZAKE ZA KUSAKA URAIS KWA MTAJI WA DAMU YA WENGINE
Jamani hii programu ya mauaji ya msururu mkubwa wa wanachama wa CHADEMA na wafadhili wetu jijini Arusha tangu Askofu Laiser hadi leo mfanyabiashara mmoja baada ya mwingine mwisho wake lini??
Kimsingi kuna mtuanamdanganya Chatanda kwamba ili kuking'oa CHADEMA katika mioyo ya wananchi kule Kaskazini basi unahitaji kumualika Rais Kikwete kuja kuzindua mpango mzima huo kwa kuanza kukimbia mitaani A-Tauni na kupungia watu huku na kule.
Yote juu ya yote, CHADEMA hakiwezi kuondolewa katika mioyo ya wengi kwa kuwaua baadhi ya wakubwa wao.
mmmh,ya kweli hayo?hahaha Mbeya huko baba unakwenda kwa mganga baada ya kutimiza masharti yake anakuambia uchukue punje uzimwage mbele ya KUKU, yule kuku atakula punje pale let say punje 7. Hapo inamaanisha utakuwa stinking rich for 7yrs halafu mzee unavuta ghafla tu km wale jamaa wa Arusha.
Kama ni kweli, basi kuna kitu kinazunguka Arusha ambaco sio kizuri
Hapana ni meneja wao ndiye kapigwa risasi Arusha.Sio Patrick Ngiloi
Duh PANONE?
kwa hiyo kamtoa kafara?amekufa mfanyakazi wake.
Hapana ni meneja wao ndiye kapigwa risasi Arusha.Sio Patrick Ngiloi