Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Nimeupenda msimamo wako. Hakuna kuogopa kufanya maamuzi magumu bana!
Unakuta mtu mke anagawa tu uroda mpaka mtaa unamuita mume *****...afu ajitetee kuwa ataacha wangapi???
Kuna mwalimu mmoja wa UDSM. Mke wake alikuwa anagawa balaa. Hadi walinzi wale wa UDSM walikuwa wanakula. Ikafikia kipindi hadi watoto wake wakawa wanataniwa na rafiki zao kuwa mama yao ni 'ugawaji'.
Sasa mtu hadi inafikia wanao wanakuwa teased na rafiki zao kisa mkeo hajui kusema 'no' na wewe bado tu upo kwenye hiyo ndoa? Huo ni wehu.