andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,006
Wanacheat na wanawake ambao na wao wana bwana zao kwa hiyo na hao(wanawake) wanacheat. Hapo ngoma droo. hakuna wanaocheat zaidi ya wenzao, kwa sababu mwanaume hawezi kucheat peke yake bila mwanamke na mwanamke hawezi kucheat peke yake bila mwanaume labda atumie dildo.Wanaume wa siku hizi tumeishiwa mpaka tunawinda kina mama wasi cheat? Kama wanaume wangekuwa wanabeba mimba mbona hii dunia ingejaa watoto wa mitaani maana wanaongoza kwa ku cheat.