Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Ndio maana naona huyo kenyata ni shoga aliyelegea kama uyoga. Itakuwaje alazimishe mapenzi?Ni kweli hatuwapendi manyang'au! Na sio lazima tuwape sababu, msilazimishe mapenzi!
Ndio maana naona huyo kenyata ni shoga aliyelegea kama uyoga. Itakuwaje alazimishe mapenzi?Ni kweli hatuwapendi manyang'au! Na sio lazima tuwape sababu, msilazimishe mapenzi!
learn to give people chance to socialize
Hii inadhihirisha wazi wakenya hawajui kutongoza. Jamaa kajileta mwenyewe!You got a chance and you blew it up...!.. Or may be I dont understand the Kenyan way of Socializing. Is approaching a woman you dont even know, then snapping your fingers and expecting her to take off her pants.... Is that what you call "socializing"?..
acheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya,lakini wakenya wanasaidia kazi za kitaalam tanzania ambazo watz hawaziwezi kutokana na low eduction
tupendane dunia imebadilika sana
nashangaa sana nilikutana na demu mmoja nikajaribu kuongea naye alivyojua mimi mkenya aliondoka ghafla,inaonekana watz wengi ni wajinga sana na hawajasoma,lets change guys
Unataka upendwe na waTz halafu iweje, uolewe na kuvalishwa ushungi sio?acheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya...
acheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya,lakini wakenya wanasaidia kazi za kitaalam tanzania ambazo watz hawaziwezi kutokana na low eduction
tupendane dunia imebadilika sana
nashangaa sana nilikutana na demu mmoja nikajaribu kuongea naye alivyojua mimi mkenya aliondoka ghafla,inaonekana watz wengi ni wajinga sana na hawajasoma,lets change guys
Makubwa hayo. Unamaana hawa jamaa wana tabia hiyo? Duhu![tabia yenu ya kutoa nyuma ili mpate kazi itawaponza ndugu zetu wakenya. Wekeni utu mbele sio kila kitokacho ulaya ni kizuri]
Nilichogundua katika maelezo yako inaonesha wewe na watu kama weweacheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya,lakini wakenya wanasaidia kazi za kitaalam tanzania ambazo watz hawaziwezi kutokana na low eduction
tupendane dunia imebadilika sana
nashangaa sana nilikutana na demu mmoja nikajaribu kuongea naye alivyojua mimi mkenya aliondoka ghafla,inaonekana watz wengi ni wajinga sana na hawajasoma,lets change guys
Pamoja na small number ya wasomi tulonayo...but ktk hali halisi inaonyesha Mtz mmoja msomi ni sawa na wakenya 2...wakenya hupenda kujifanya wanajua hata wasivyojua na ndio maana mna walimu wengi wa Kiswahili nje than us wakati njie hamkijui..hatuwachukii ila mnajistukia sana labda kuna hujuma mnatufanyia.[/QUOTE]
Hapa umenikumbusha kitu.
Mwaka 1992 nilihudhuria Maonyesho ya Kimataifa nchini Spain baada ya kusoma kuwa liko banda la Tanzania.
Nilipofika nilikuta banda la Kenya. Kwa kuwa nilifatana na wadhungu mimi nilibaki kimya kusikia ndugu zetu hawa wanasema nini na wanafanya nini.
"Mlima Kilimanjaro uko Kenya/ Makonde Craft inatoka Kenya/ Tingatinga Pintings ni za Kenya".
What a shame! Badae nilipowaambia kuwa mimi ni Mtanzania midomo yao ikapata kigugumizi.
Kuna mengine mengi wanayatenda nyuma ya visogo vyetu kuiwakilisha au kuchukua nafasi ya
Tanzania. Hawa watu hatari kweli! Lakini kwa hilo siwalaumu. Ninaweza hata kukubali kuwa hawa jamaa wajanja sana na Watanzania tumelala. Hebu tuamke tuwakate kidomodomo.
najua hamtupendi but we are here to stay,mbona serikali yenu inatupenda,twafanya kazi twalipa tax,serikali yenu yawajua nyie wavivu sana
Mbona unakuwa mgumu wa kuelewa? Tumesema ktk EAC hatutaki kusikia kitu kinaitwa Ardhi ya pamoja, ulinzi wa pamoja na matumizi ya vitambulisho vya uraia; ktk hali hiyo bado unadhani kuna shirikisho? mkiendelea kuwa wagumu tutaishia kwenye sarafu moja na hapo tutaona nani imekula kwake. Kwetu sie ushirikiano wowote wa kibiashara unatulipa lakini sio kwenye ardhi, kuhusu ulinzi sie tunajua wenyewe nyie mnaotaka kusaidiana ulinzi endeleeni wala msitusubiri maana mtasubiri miaka nenda rudi.Tumesha saini mkataba for the establishment of East African Federation. Bandugu lets move on.
sio kweli hata kidogo,nimekaa na wakenya na nimefanya nao kazi,hawapendani wenyewe kwa wenyewe,hata ndugu wa damu hawapendani,halafu dharau nyingiiiii, sasa ofisini walikoma na sisi kwenye kazi tuko competent, english tukawatupa kule,mnajua english wapiiii kazi kumix 'r' na 'l',wanabaki kila saa kuuliza are you from tz? Halafu hamna manners,mkikaribishwa kwa watu mnajikaribisha mpaka bedroom kuchungulia wakati mmekaribishwa sitting room. Please style up before you come up with such conclusions. Tunawapenda ila badilikeni!:rolleyez:
pamoja na small number ya wasomi tulonayo...but ktk hali halisi inaonyesha mtz mmoja msomi ni sawa na wakenya 2...wakenya hupenda kujifanya wanajua hata wasivyojua na ndio maana mna walimu wengi wa kiswahili nje than us wakati njie hamkijui..hatuwachukii ila mnajistukia sana labda kuna hujuma mnatufanyia.[/quote]
hapa umenikumbusha kitu.
mwaka 1992 nilihudhuria maonyesho ya kimataifa nchini spain baada ya kusoma kuwa liko banda la tanzania.
Nilipofika nilikuta banda la kenya. Kwa kuwa nilifatana na wadhungu mimi nilibaki kimya kusikia ndugu zetu hawa wanasema nini na wanafanya nini.
"mlima kilimanjaro uko kenya/ makonde craft inatoka kenya/ tingatinga pintings ni za kenya".
what a shame! Badae nilipowaambia kuwa mimi ni mtanzania midomo yao ikapata kigugumizi.
kuna mengine mengi wanayatenda nyuma ya visogo vyetu kuiwakilisha au kuchukua nafasi ya
tanzania. hawa watu hatari kweli! lakini kwa hilo siwalaumu. Ninaweza hata kukubali kuwa hawa jamaa wajanja sana na watanzania tumelala. Hebu tuamke tuwakate kidomodomo.
wanadai kihistoria mlima kilimanjaro ulikuwa wakwao ila malkia aliutoa zawadi kwa harusi ya mwanawe.
Ndio maana hata ramani imepinda pale karibu na mlima kuukwepesha uingie tz.