Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,359
- 2,379
hapo ndipo hutaelewa!hapo sijakuelewa,mbona wakenya wengi company zao zipo tanzania kama investors lakini kenya hakuna company za watanzania
watanzania watainvest nini kenya nchi iliyobaki mifupa? na kwa huo ubaguzi wenu na ukabila the workin environment is not inviting!
Je huoni mbona kenyans are not working or investing in somalia?