Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
sasa wewe unataka kuandika nini?mimi sijaelewa/ndio maana tunasema uwezo wenu mdogo sana
Hujaelewa kwakuwa uwezo wako wa kuelewa ni mdogo!
sasa wewe unataka kuandika nini?mimi sijaelewa/ndio maana tunasema uwezo wenu mdogo sana
acheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya,lakini wakenya wanasaidia kazi za kitaalam tanzania ambazo watz hawaziwezi kutokana na low eduction
tupendane dunia imebadilika sana
nashangaa sana nilikutana na demu mmoja nikajaribu kuongea naye alivyojua mimi mkenya aliondoka ghafla,inaonekana watz wengi ni wajinga sana na hawajasoma,lets change guys
Yap, manaake hao Al-shabaab hawapendi utani. Na bado, wakenya mpaka watakoma na kujuta!Ndo maana Al-shabab wanawatandika huenda mliwakejeri kijinga jinga kama hv
Yeye mwenyewe huyo kenyata inaoneka kiwango chake cha elimu ni cha chini sana!hovyoooo.hapo kwenye red ndo pameniudhi sana...hata TZ tuna elimu bora na wasomi km nyie kwa mwai.....Punguzeni dharau..
Karibu tukupakate vizuri, hadi kilinyelinye chako kiishe!sasa nyie kama mnaona sisi twafanya kazi bila permit mbona hamtufukuzi?mnazidi kutaka sisi tulete ndugu zetu hapa kwa kuwa nyie hamtaki kazi,nyie mwapenda kukaa vibarazani na kucheza bao kila siku,kazi zinawashinda,sasa mimi nimeitwa kuja kufanya kazi tz na mshahara wangu utakuwa mkubwa sana,ninarudi early january
Yeye mwenyewe huyo kenyata inaoneka kiwango chake cha elimu ni cha chini sana!
Wakenya mi nawapenda saana ila tatizo lao ni moja tu la kutaka kujifanya wapo juu kuliko wengine, na kama wewe ndugu umefuta japo ujinga tu usingeweza kuandika vitu kama hvyo humu, it might be true what you a saying about as but we are the best in East Africa Sir. pia hamjabahatika kuwa na sura nzuri kiukweli hlo kubali kama muungwana, I have a friend of mine Kenyani she so agry lakini anajiona kama Ray-C, nyie mnatuweza kwa mbio tu na si vinginevyo ndugu.
sasa nyie kama mnaona sisi twafanya kazi bila permit mbona hamtufukuzi?mnazidi kutaka sisi tulete ndugu zetu hapa kwa kuwa nyie hamtaki kazi,nyie mwapenda kukaa vibarazani na kucheza bao kila siku,kazi zinawashinda,sasa mimi nimeitwa kuja kufanya kazi tz na mshahara wangu utakuwa mkubwa sana,ninarudi early january
kenyata una tatizo la akili. Ninakusihi tafuta daktari wa magonjwa ya akili haraka iwezekanavyo:juggle:nyie ndugu watz mimi nashindwa kuwajua,kama elimu yangu ndogo mbona tumeingia interview na watz wenye degree lakini kazi wakanipa mimi?kama elimu yangu ndogo confidence yangu ni kubwa
halafu ni kimbelembele ho kila mahali....wanajifanya wanataka kutawala africa nzima ..kisa..kiingreza
Karibu tukupakate vizuri, hadi kilinyelinye chako kiishe!
hacha kuchafua hali ya hewa we mkenya,mimi kila nikimuona mkenye kaandika hapa lazima aandike matusi,hiyo ndio technology mnayolingia nini?
unarudi kuja kufanya kazi gani wewe? mbona dada zako wamejaa kwenye mabaa yetu! au ndokazi uliyopata nawewe? watu mlikuwa na njaa! afu unasema nini wewe! jibu kwanza hoja hapo umeambiwa hamtahiri! ndomana dada yetu alikutema usije ukampa kirusi!sasa nyie kama mnaona sisi twafanya kazi bila permit mbona hamtufukuzi?mnazidi kutaka sisi tulete ndugu zetu hapa kwa kuwa nyie hamtaki kazi,nyie mwapenda kukaa vibarazani na kucheza bao kila siku,kazi zinawashinda,sasa mimi nimeitwa kuja kufanya kazi tz na mshahara wangu utakuwa mkubwa sana,ninarudi early january
best skill katika nini?best skill wakati mnakufa na njaa?hopeless kabisa,nenda kawasaidie walalahoi wa KIBERA na hizo best skills na sio kujisifu kwenye monitor.wewe ndugu ngoja niseme,Zimbabwean na Kenyan ndio watu pekee wenye best skill sub saharan,hiyo ujue ndio maana mnalalamika lakini hiyo ndiyo kweli
nenda katafute sabuni ujichue kwa kutumia kiganja chako labda akili yako itatulia!wewe ndugu ngoja niseme,Zimbabwean na Kenyan ndio watu pekee wenye best skill sub saharan,hiyo ujue ndio maana mnalalamika lakini hiyo ndiyo kweli
acheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya,lakini wakenya wanasaidia kazi za kitaalam tanzania ambazo watz hawaziwezi kutokana na low eduction
tupendane dunia imebadilika sana
nashangaa sana nilikutana na demu mmoja nikajaribu kuongea naye alivyojua mimi mkenya aliondoka ghafla,inaonekana watz wengi ni wajinga sana na hawajasoma,lets change guys