Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.

Tatizo la jamaa wengi wa hii nchi ni wanafiki sasa kutokana na kuzoeya unafiki wakikumbana na ukweli huwa hawautaki Mbeya ukweli kwao daima , unafiki mwiko.
 

Uliandikiwa sindano 10. Umechomwa ya kwanza..... Subiri 9 zinakuja. Escrow wewe!
 
Kazi gani? Mnalazimisha kukubalika? Acheni zenu, kila mtu anauhuru wakusupport mtu ampendae. The big problem for Tanzanians ni unafiki mkubwa, kujifanya unapenda kitu kumbe hata hukipendi. Watu wambeya wameeleza hadharani hisia zao mnawaona wabaya.
Unaijua siasa wewe! wacha kuropoka upuzi, nanialikuambua kutokumkubari mgombea nikuzomea? najua akili zenu mme zitoa kwa viongozi wenu
 

toa ujinga hapa hujui kuwa hakuna kosa kisheria watu wakizomea viongozi uchwara kama huyo magufuli au ulitaka wakae na machungu yao moyoni? kwenye nyumba za ibada tu watu ndio wanatakiwa wawe kama unavyotaka ila tukija kwenye mstakabali wa maisha ya mtanzania kwa miaka 5 au zaidi ana haki ya kupinga lolote baya kwake. Eti umewadharau sana ulitaka wakufurahishe wewe nani? NYIE NDIO MNASTAHILI KUITWA NYUMBU WA CCM KWA KUPINGA WANA MBEYA WALIVYOFANYA. SHAME
 
mbona TBC hawakurusha hizi habari? au nizauongo jamani. ukawa mbona mnatunyima usingizi jamani ccm hatulali
 
Ukitaja mikoa mitano iliyoendelea zaidi tz hutaicha Mbeya...
 

Sasa unalia nini?
 

njoo tangamano leo uwaone wanywa viroba wengine ndo ujue wanatosha au hawatosh kumpeleka enl ikulu
 
hilo swali muulize yule mgombea anaedhani atafanikiwa kwa kuhutubia kwa lugha ya kabila lake
 

Kwani Wewe ulitakaje? Magufuli Mwenyewe ni Kimbele mbele Chake, Wewe unaona Kijiwe Cha Chadema Alafu unataka kuhutubia. Umponde Lowassa? Hiyo Ndio Peoplez power Bana. Hapana chezea kabisa.
 

We mpuuz kweli unawasifu mama zetu kinafiki ukidhani mtapata kura zao, pole Sana.

Mama zetu na wazee wetu tunavyo wawakilisha vyema, WE WILL NEVER WALK ALONE... let's Go Ukawa
 

Kubwa zima Linashabikia HAPA KAZITU! Kazi zipi hambazo kwa miaka 50 Hakuna?

yaani kubwa zima linadanganywa nalo linadanganyika? Bora ya wanywa viroba waliojitambua na kutokubali kudanganywa.

Kuliko wewe unaejidai mstaarabu. Kumbe ni 0 kabisa. Hapa kazitu labada kazi za kupiga Tembo na kusafirisha Twiga.

Mliaidiwa MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA yapo wapi? Alafu unakuja kushabikia ujinga? Amakweli Malofa na Wapumbavu ninyie Msiojitambua.
 
 

Ushauri mzuri ila umeharibu uliopoanza ukanda(Mara Arusha Mara kirimanjaro)kwani wagombea ubunge wa mbeya ni.wachaga cdm ni chama cha watanzania wote ndio maana kimesajiliwa kwa kupata wanachama Tanzania nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…