Kwani Wewe ulitakaje? Magufuli Mwenyewe ni Kimbele mbele Chake, Wewe unaona Kijiwe Cha Chadema Alafu unataka kuhutubia. Umponde Lowassa? Hiyo Ndio Peoplez power Bana. Hapana chezea kabisa.
Ukiangalia video yote ya Mbeya utahaibika wewe rais wetu ana hekima, kama uko insta nenda kwenye account ya ccm au mange utapata video yote na sio hicho kipande mnachozungusha.