Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Wahuni Wachache Hawawezi Kuharibu Taswira Nzima Ya Wanambeya.. Kulichukulia Tukio la Kuzomewa kwa Magufuli Kuwa Limetendwa na Wanambeya Wote ni Uonevu Mkubwa.. Ukweli ni Kwamba Waliofanya lile Tukio ni Watu Wasiozidi Hata Robo Ya Wakazi Wa Mbeya. Na hata Waliofanya Lile Tukio ni Watu Ambao Hawana Uhakika wa Kesho. Kuamini Sehemu flani ni Bora kwa Kuwapa nafasi Watu nafasi ya Kuharibu Taswira Ya Wanambeya Wote ni Upuuzi.. Kama Alivyoipuuza Magufuli na Nasisi tuipuuze Hivyo Hivyo... Kuchokwa kwa Ccm Tuonyeshe kwenye Sanduku la kura, Sio Kupandikiza Wachache waharibu Taswira ya Wengine.... Jitambueni
 
watu hawataki ujinga kule unapewa za uso mchana mchana! ha ha ha
 
magufuli si rais harafu ni ujinga wa viongozi wa ccm mkoa kama mnakumbuka hata mwanzo ilikuwa hivyo.Jana magufuri alikuwa anantafuta nini mwanjelwa na uyole???????ratiba yake ya kampeni ilikuwa mbarali sasa mbarali inaanzia mwanjerwa?????????
akome zake
peeoooopleeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssss
 
Umri wako bila shaka unajieleza kwa hayo uliyoandika,, inawezekana kabisa unaishi kwa baba au shemeji ndio anakulea,,, mtu anayeyajua maisha na mpambanaji hawezi kuandika ulichokiandika au kushabikia ujinga huo uliosemwa, kama huipendi CCM nenda kapige kura uikatae,,mengineyo ni uoga wenu na dalili za kushindwa tu..inaonyesha ni jinsi gani msivyojiamini...mbona CCM haiwazomei?? ulishafikilia CCM ikiandaa vijana 100 wakaja kuzomea kwenye mkutano wa CDM nini unahisi kitatokea???

walioua tarime ni nani ka cyo hao malaya wenzio ccm?waliokodiwa na masaburi dar ni akina nan?acha ujinga nina mamako nyumbani na watoto wenzio kama ww wanakula na kunya vizuri mm si level zako ujue,tunajua kila kichafu kinachofanywa na hao mabwana zako ccm so huwezi nifundisha kitu ww Embesiri tu
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Hamna fujo hapo mkuu ndio maana Polisi wapo hawajafanya lolote...hapo ni kuonyesha kutomuunga mkono na siyo kosa kisiasa

Ni kama mpirani ukizomewa na timu pinzani sio kosa wala refa hatoi kadi

Tukumbuke JPM ni mgombea tu sio Raisi
 
Mbeya mjini wanaongoza kwa kunywa viroba, wakifuatiwa na Rombo. Mimi nimewahi kuishi Mbeya miaka 3 iliyopita na vijana wengi sana kwenye mji huu ni wanywaji wazuri sana wa viroba. Kura za hawa wahuni wa Mbeya mjini hazitoshi kumpeleka mamvi Ikulu. Kura hizi zinatosha kumrudisha Sugu bungeni lakini hazitoshi kumzuia Dk Magufuli kuingia Ikulu. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

haina namna mkuu
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Hao sio wananchi wa Mbeya bali ni wapiga debe wahuni wapambe wa Mhuni mwenzao Mr Sugu
 
Umri wako bila shaka unajieleza kwa hayo uliyoandika,, inawezekana kabisa unaishi kwa baba au shemeji ndio anakulea,,, mtu anayeyajua maisha na mpambanaji hawezi kuandika ulichokiandika au kushabikia ujinga huo uliosemwa, kama huipendi CCM nenda kapige kura uikatae,,mengineyo ni uoga wenu na dalili za kushindwa tu..inaonyesha ni jinsi gani msivyojiamini...mbona CCM haiwazomei?? ulishafikilia CCM ikiandaa vijana 100 wakaja kuzomea kwenye mkutano wa CDM nini unahisi kitatokea???

kwani walioua kule mara ni akina nani??anayoyafanya masabuli dar wee huyaoni?acha unyang'au ww hakuna asiyejua ccm wanachokifanya labda ww unayejitoa ufahamu na uache uembesiri kabisa maana mbeya ni ya wanaume na ujue mimi nyambani nina mamako na watoto wenzio wanakula na wanakunya bila shida kama ww waishi kwa shemeji si wote Chikala wee
 
Sishangai kwani ni dhahiri kuwa unafikiri kwa kutumia tumbo kama jina lako linavyoonesha.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Mkuu wewe ndiyo umechelewa kutujua. Bosi wako mwingine alishatujua siku nyingi mpaka akatuita sisi Malofa na wapumba.vu. Na hapo tulikuwa katika ubora wetu. Changes are inevitable.
 
Kwahiyo Mkuu Ukawa Ndo Italeta Maendeleo Kwa Pesa Zao Wenyewe Sio Za Wananchi?


waulize! Hivi El akiwa raisi ndo tunategemea apate mawaziri, wakurugenzi nk katika hawa! Ama kweli ukistajabu ya musa utayaona ya firauni. Hivi el anajua kwamba nyuma yake kuna watu kama hawa?
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Acha kupaniki kabla hawajakutenda
 
Na pia JK naye ashawahi kukong'otwa mawe huko huko Mbeya...

Magufuli kafanyiwa staha mbona...

mwaka 2010 kule tunduma mama salma alizuiwa kupita barabara ya lami ikabidi arud alikotoka........alikua ametoka sumbawanga,hiyo ndo mbeya!
 
Hahaaaa naona msumari umekuingia!!! naona povu linakutoka uliza level ya usomi Mbeya ikoje!!

Hata tukishindia parachichi tumeshasema CCM No!!!

Rais wamwisho kuheshimika Mbeya alikuwa Mwinyi tu wengine wote full kuzomewa!!

2010 JK aliachwa uwanjani na ze comedy wake!!!

na safari hii hata wala miguu ya kuku wa DSM nao wameamka!!!

Sio Mbeya tu ni kote kwa waliosoma na wenye afya ya akili hawaipendi CCM!!

Rejea ripoti ya TWAWEZA!!!

afya ya akili Asante kwa msemo mpya..Nitautumia kuwaelimisha hawa nzi wa kijani
 
Huu uzi haujakaa sawa. Unaweza kuleta uchochezi. Unaposema watu wa Mbeya una maana gani? Una maanisha: Watu wanaoishi Mbeya? Au waliozaliwa Mbeya na kuishi Mbeya? Ama waliozaliwa katika wilaya za mkoa wa Mbeya na kuishi sehemu zingine?

Je, waliozomea ni watu wote wa mkoa wa Mbeya au kundi la watu katika jiji la Mbeya? Ushahidi upo unaoonesha kuna baadhi ya wilaya za mkoa wa Mbeya ambapo Dkt. Magufuli alipokelewa vema bila kuzomewa. Wote hao ni wa ajabu?

Si vema kutumia jukwaa hili kuchonganisha mtu na mtu au wananchi na serikali.
 
Back
Top Bottom