Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Pole mkuu naona unaandika huku machozi yakikutoka kuona mtu unaemsupport anazomewa. Huwezi kuwa pangia watu wamshangilie nani au wamzomee nani, wao wameua.
Ingekuwa wanamshangilia usingiazisha huu uzi, wapo wengi tu wanao shangilia bila sababu lkn mbeya sababu nikuwa hawaitaki ccm.
 
Kwani popote wanasimama au kunautaratibu? Asije akasimama sehemu isiyo faa ikawa noma maana bado anategemewa
 
Magufuli kapewa haki yake, wewe ulitaka wamuache aendeleze ule ujinga wa kupiga push up.

Jamani kwani ccm wamewakosea nini watanzania? Mbona wanachukiwa sana na watu wengi? Namna hiyo? Ila pamoja na hayo wapo wanajikongoja
 
Naona kama unawabembereza hawa majuha, minashauri tingatinga akiapishwa tu aanzie mbeya kule kunavijana wengi hawana adabu na hawajui kazi awape adabu kwanza. HAPA KAZI TU

Kazi gani? Mnalazimisha kukubalika? Acheni zenu, kila mtu anauhuru wakusupport mtu ampendae. The big problem for Tanzanians ni unafiki mkubwa, kujifanya unapenda kitu kumbe hata hukipendi. Watu wambeya wameeleza hadharani hisia zao mnawaona wabaya.
 
Hii ndio Mbeya bwana na hapa Mbeya mjini Sugu anasubiria tu kuapishwa, hivi hata mgombea wa ccm hatumjui nasikia kakata tamaa ya kufanya kampeni baada ya kuzomewa nahatimae kukosa watu. Karibu sana Mbeya huku Sio siasa tu kwani wewe umesaha timu za mpira kama Tiger, Tukuyu stars,Mbeya city nk unazionaje ? Mbeya tunajitambua sana tu
 
Mmesahau kama Tukuyu stars ilipanda daraja nakuchukua ubingwa huku ikizitandika simba na Yanga vilivyo kisha badae kushuka daraja baada ya hujuma kufanyika.
 
Hakika Mungu yu Upande wenu wana mbeya. Chagua sugu kwa maendeleo ya jiji chagua madiwani wote toka ukawa chagua lowasa kwa mabadiliko na maendeleo ya taifa.

Mkuu sisi huku ni mabadiliko ya kweli hatutaki kuendelea kudanganywa na ma ccm
 
Matumbo, tangu lini ccm ikajenga barabara kwa wananchi!? Maendeleo yoyote yanaletwa kwa nguvu za wananchi wenyewe kupitia michango yao ya hali na mali. Rejea kodi ktk kila kitu unachotumia. Ccm hawana uwezo wa kuwapa watu maendeleo. Lete ushahidi hapa wa barabara zilizojengwa kwa fedha za ccm. Unaropokaropoka na kuonyesha ulivyo hayawani kichwani. Wote wanaoishabikia ccm hawako timamu fahamu zao.
 
Hah haa haa hivi kumbe inawauma sana el kupendwa kila kona ya nchi, wasipobadilika wapigeni mabomu wafe wote haa haa haaa
 
Hii ndio Mbeya bwana na hapa Mbeya mjini Sugu anasubiria tu kuapishwa, hivi hata mgombea wa ccm hatumjui nasikia kakata tamaa ya kufanya kampeni baada ya kuzomewa nahatimae kukosa watu. Karibu sana Mbeya huku Sio siasa tu kwani wewe umesaha timu za mpira kama Tiger, Tukuyu stars,Mbeya city nk unazionaje ? Mbeya tunajitambua sana tu

Pia kimondo imemtoa mchezi hatari kwenda kuchezea yanga
 
Umesahau wakati wa kampeni huko Mwanza mwaka 2005 JK alivyokatwa ngwala akaangushwa na kuvutwa toka jukwaani akihutubia kwenye kampeni unashangaa Magufuli kuzomewa?
 
Pia kimondo imemtoa mchezi hatari kwenda kuchezea yanga

Hakuna mkoa unaweza kushindana na Mbeya hata shule pia tuumenda vilevile, chakula ndio usiseme endapo tungepata selikali makini inayo jitambua huu mkoa unaweza kulisha Tanzania mzima lkn tumekosa miundo mbinu sahihi itakayo wezesha kilimo kukua zaidi sasa Leo mnataka kuturudisha miaka ya 1970 hatutaki na ccm yenu
 
Kazi gani? Mnalazimisha kukubalika? Acheni zenu, kila mtu anauhuru wakusupport mtu ampendae. The big problem for Tanzanians ni unafiki mkubwa, kujifanya unapenda kitu kumbe hata hukipendi. Watu wambeya wameeleza hadharani hisia zao mnawaona wabaya.

Mkuu hata wakituita majina ya ajabu sisi tumesha amua kuitupa ccm kichakani
 
Hakuna mkoa unaweza kushindana na Mbeya hata shule pia tuumenda vilevile, chakula ndio usiseme endapo tungepata selikali makini inayo jitambua huu mkoa unaweza kulisha Tanzania mzima lkn tumekosa miundo mbinu sahihi itakayo wezesha kilimo kukua zaidi sasa Leo mnataka kuturudisha miaka ya 1970 hatutaki na ccm yenu

Mkuu tumeshaamua na haturudi nyuma
 
Back
Top Bottom