Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Source:Mwananchi10 said:Mgombea ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Ustawi,Haki na Ustawi wa Tanzania(Chausta),Mary Komba amesema miongoni mwa mambo atakayoyasimamia iwapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo ni "Kupiga vita dawa za kulevya hususani bangi ambayo imeharibu vijana wengi Mbeya",alisema.Alisema Mbeya ni moja ya maeneo yenye watumiaji wengi wa dawa za kulevya na kwamba mpaka sasa hakuna mbunge wala viongozi wanaopiga vita tatizo hilo.