Kushangilia hakumzuii mtu kufikisha ujumbe mahala fulani, maana mtu hushangiliwa tu pale anapoongea suala la maana au lenye kufurahisha,, kuzomea kunakoonekana kwenye video hakukumpa hata nafasi magufuri yakuongea neno,, inamaana walionauhitaji wa kumsikiliza magufuri hawakupata huo wasaa, zomea hii iliwanyima wengine haki yao ya msingi kumsikiliza magufuri,,
Lofa na Mpumbavu ni wewe ambaye uliaminishwa na akina Mbowe kuwa huyu unayemshabikia ni Fisadi na leo hii unaambiwa ni msafi bado unashabikia. Huoni kama unahitaji kupimwa akili zako kama ziko sawa??? Sio Mbowe aliyesema Lowassa ni bubu na makapi na wao hawawezi kuchukua makapi na bubu?? Sio Msigwa aliyesema wanaomshabikia Lowassa wanahitajika kupimwa akili zao?? Sio Lema aliyesema wanaomzomea mtu fisadi kama Lowassa wanapata baraka kutoka kwa Mungu?? Hebu nikuulize swali dogo na rahisi; hivi kati ya mimi na wewe ni nani amedanganyika??? Kati ya mimi na wewe ni nani anashangilia ujinga??? Wewe ndio akili zako ziko kama "sponge". Ukiliweka sponge kwenye maji safi litanyonya, ukilichukua sponge hilo hilo na ukiliweka kwenye maji machafu bado litanyonya. Tumieni akili zenu kufikiri ninyi wapumbavu wakubwa. CCM imetawala hii nchi miaka 50??? Wewe unafahamu CCM ilizaliwa lini??? Au Mbowe akisema aaaaaaa na wewe unaitikia aaaaaaa akisema baaaaaaaaa na wewe unaitikia baaaaaaa! CCM inachangamoto zake lakini sio kigezo cha kusema eti CCM haijafanya kitu chochote. Mimi naelewa changamoto zinazoikabili CCM na nitipigia kura CCM na wagombea wake na nina imani kabisa CCM itashinda kiti cha Urais na itachukua viti vingi sana vya Ubunge na Udiwani. Penda, usipende, Magufuli ndio rais wako mpya. Mimi siwezi kushabikia UKAWA, mimi sio bendera fuata upepo. UKAWA inaongozwa na wahuni tu na kamwe hatuwezi kuiachia nchi nzuri ya kupendeza Tanzania ikaenda kwenye mikono ya Wahuni! WE CAN'T LET THIS BEAUTIFUL COUNTRY GO TO THE DOGS! NEVER! #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI
Ukiangalia video yote ya Mbeya utahaibika wewe rais wetu ana hekima, kama uko insta nenda kwenye account ya ccm au mange utapata video yote na sio hicho kipande mnachozungusha.
mtoa mada nakuunga mkono kabisa kwa mtazamo wako kuhusu siasa za Mbeya. Hata mimi ni mzaliwa wa huko lakini naishi Dar es Salaam. Kuna kipindi ninaona aibu kujitambulisha kuwa asili yangu ni Mbeya Mjini hasa nikiangalia aina ya Mbunge anayetuwakilisha. Eti Sugu ndiye Mbunge wetu !! What a shame. Halafu kuna mipumbavu iko pale maeneo ya Mwanjelwa huwezi kuwaambia kitu kuhusu Sugu wakati Sugu mwenyewe hakuna alichofanya pamoja na kuokota ubunge wa Mbeya kama embe lililoanguka chini. Watu wa Mbeya mjini wamejaa ushamba na ushabiki usio namaana na ndiyo maana hata maendeleo yanawakimbia kwenda mikoa mingine. sasa nawambia warudie makosa ya kumchagua Sugu tena ndiyo wataendelea kuwa na JIJI lenye nyumba za matope na vibarabara vya uchochoro.
USIWASINGIZIE WATU WA MBEYA,NI KWAMBA WAMEICHOKA CCM,huo ndio ukweli we subiri utaona ifikapo October 25.
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Inaonekana Ukabila unakutafuna mpaka kwenye kucha.Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Kambarage ashawahi kukong'otwa mawe huko Mbeya, unashangaa Magufuli kuzomewa?
Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Kama Tu WABUNGE Wawili Mashuhuri Wa Hiyo Mikoa Miwili Uliyoitaja Hapo Ni WAVUTAJI BANGI WAZURI Mno Wewe Unategemea Nini Hapo Mkuu Kutoka Kwa Hao Wafuasi Wao Ambao Wengi Wao Ni POPOMA?