Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Wee Matumbo, ungejua ambavyo siipendi ccm na maccm yake,,hujui tu,
 
Kwa wanaoifahamu Mbeya kuziomewa kwa magufuli na baadhi ya wahuni wachache sio jambo la ajabu. Kumbukeni kuwa ni Mbeya huko huko ambako mauaji ya kutisha hutokea. Miongoni mwa hayo ni watu kuchunwa ngozi. Aidha miaka michache iliyopita mauaji yalikuwa ni jambo la kawaida pale eneo la forest. Wanaoichafua mbeya ni watu wachache mno lakini kwa hakika watu hao wanaichafua sana mbeya. Vijana wa mbeya wengi wao sio wa kuwaamini kabisa. Umeshawahi kufika pale uyole? Kumbukeni pia kuwa yule jamaa aliyeiba fedha mbeya nadhani ana jina la kasusura alikimbilia mbeya ambako baadaye alikamatwa baada ya mmoja wa watu aliyekuwa anafahamu siri hiyo miongoni mwa wengi waliofaidi fedha hizo kutoa siri....mbeya ni hatari.
 
Kushangilia hakumzuii mtu kufikisha ujumbe mahala fulani, maana mtu hushangiliwa tu pale anapoongea suala la maana au lenye kufurahisha,, kuzomea kunakoonekana kwenye video hakukumpa hata nafasi magufuri yakuongea neno,, inamaana walionauhitaji wa kumsikiliza magufuri hawakupata huo wasaa, zomea hii iliwanyima wengine haki yao ya msingi kumsikiliza magufuri,,

Kwa hiyo unashauri tuzomeeje mdau? Maana haja ipo, hebu tupe namna
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia KAMA SI MAGUFULI MWENYEWE, BASI MMOJA KATI YA WAJIPENDEKEZA WAKE alisema jukwaani, 'Mafisadi wakija kuomba kura majukwaani muwazomee' sasa usitangaze vita na wenye shombo ilhali samaki na wewe ulimla.
 
Lofa na Mpumbavu ni wewe ambaye uliaminishwa na akina Mbowe kuwa huyu unayemshabikia ni Fisadi na leo hii unaambiwa ni msafi bado unashabikia. Huoni kama unahitaji kupimwa akili zako kama ziko sawa??? Sio Mbowe aliyesema Lowassa ni bubu na makapi na wao hawawezi kuchukua makapi na bubu?? Sio Msigwa aliyesema wanaomshabikia Lowassa wanahitajika kupimwa akili zao?? Sio Lema aliyesema wanaomzomea mtu fisadi kama Lowassa wanapata baraka kutoka kwa Mungu?? Hebu nikuulize swali dogo na rahisi; hivi kati ya mimi na wewe ni nani amedanganyika??? Kati ya mimi na wewe ni nani anashangilia ujinga??? Wewe ndio akili zako ziko kama "sponge". Ukiliweka sponge kwenye maji safi litanyonya, ukilichukua sponge hilo hilo na ukiliweka kwenye maji machafu bado litanyonya. Tumieni akili zenu kufikiri ninyi wapumbavu wakubwa. CCM imetawala hii nchi miaka 50??? Wewe unafahamu CCM ilizaliwa lini??? Au Mbowe akisema aaaaaaa na wewe unaitikia aaaaaaa akisema baaaaaaaaa na wewe unaitikia baaaaaaa! CCM inachangamoto zake lakini sio kigezo cha kusema eti CCM haijafanya kitu chochote. Mimi naelewa changamoto zinazoikabili CCM na nitipigia kura CCM na wagombea wake na nina imani kabisa CCM itashinda kiti cha Urais na itachukua viti vingi sana vya Ubunge na Udiwani. Penda, usipende, Magufuli ndio rais wako mpya. Mimi siwezi kushabikia UKAWA, mimi sio bendera fuata upepo. UKAWA inaongozwa na wahuni tu na kamwe hatuwezi kuiachia nchi nzuri ya kupendeza Tanzania ikaenda kwenye mikono ya Wahuni! WE CAN'T LET THIS BEAUTIFUL COUNTRY GO TO THE DOGS! NEVER! #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI

Very Nice...Mnaita watu MBWA sio....?? Okay...si mbaya...TUTAHESHIMIANA TU...Pale majumba yenu yatakapogeuka Njiti za MOTO
 
Ukiangalia video yote ya Mbeya utahaibika wewe rais wetu ana hekima, kama uko insta nenda kwenye account ya ccm au mange utapata video yote na sio hicho kipande mnachozungusha.



Video ya Mbeya ni editing haina ukweli ukiisikiliza Magufuli alikua anaongea na sauti yake imeondolewe wakawekwa wale wajinga na makelele yao
 
mtoa mada nakuunga mkono kabisa kwa mtazamo wako kuhusu siasa za Mbeya. Hata mimi ni mzaliwa wa huko lakini naishi Dar es Salaam. Kuna kipindi ninaona aibu kujitambulisha kuwa asili yangu ni Mbeya Mjini hasa nikiangalia aina ya Mbunge anayetuwakilisha. Eti Sugu ndiye Mbunge wetu !! What a shame. Halafu kuna mipumbavu iko pale maeneo ya Mwanjelwa huwezi kuwaambia kitu kuhusu Sugu wakati Sugu mwenyewe hakuna alichofanya pamoja na kuokota ubunge wa Mbeya kama embe lililoanguka chini. Watu wa Mbeya mjini wamejaa ushamba na ushabiki usio namaana na ndiyo maana hata maendeleo yanawakimbia kwenda mikoa mingine. sasa nawambia warudie makosa ya kumchagua Sugu tena ndiyo wataendelea kuwa na JIJI lenye nyumba za matope na vibarabara vya uchochoro.

Mbeya uliyoikimbia sio sawa na hii ya sasa
 
achen ujinga wa kupotosha jamaa alizomewa dhahili.na kingne ww unae laum watu wa mbea una akili km ya ngoko make ukae ukijua kuwa sehem yyt ambayo watu wana muamko lazm hy yatokee make hakubali kudanganywa km misukule
mbea mko sawa
 
USIWASINGIZIE WATU WA MBEYA,NI KWAMBA WAMEICHOKA CCM,huo ndio ukweli we subiri utaona ifikapo October 25.

Kuna njia za kistaarabu za kusema wameichoma ccm, kwenye sanduku la kura. Huu mkoa Sugu anauharibu kabisa na sioni alichofanya zaidi ya kuwafundisha fujo.
 
Ww subiri na mwaka huu Utahama kwa dadako uje kiumeni kwako itakuua mabadiliko maana hujitambui
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Sisi tunaoutumia ubongo kufikiri tumeshajua lengo lako... Kwa taarifa yako Lowasa ikulu ataendelea kusikia tu maana hana sifa hata moja... Jipange kumpokea Dr John Joseph Pombe Magufuri baada ya Oct 25..... #hapa kazi tu.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Inaonekana Ukabila unakutafuna mpaka kwenye kucha.
 
Kila kitu Mbeya ni tofauti sana hata soka zikumbuke hizi team Tukuyu star, Taiga, Meko, Kimondo, Mbeya city, Mbeya prisons inamaana huu ni mji wa mabadiriko. Hatuwezi kukubali kuchagua makandarasi badala ya kuchagua rais. Watu wenye asili ya Mbeya mmewapa sumu wengi tu na Hata Mwamunyange mnataka kumuua. Mbeya songa mbele kwanza nchi zote mnazopakana nazo wate walifanya mabadiliko toka miaaka ya 90 e.g Malawi, Zambia. Hongera nyumba na ikiwezekana pigeni risasi huyo mpiga push ups maana hakuna namna sasa.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Njoo utiwe mimba Mbeya. Mbeya tuna akili sio kama nyie wapuuzi mnaolialia na ccm.
Siasa za Mbeya ni zetu wanaMbeya, we kwakuwa unawashwa lete makalio
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Kama Tu WABUNGE Wawili Mashuhuri Wa Hiyo Mikoa Miwili Uliyoitaja Hapo Ni WAVUTAJI BANGI WAZURI Mno Wewe Unategemea Nini Hapo Mkuu Kutoka Kwa Hao Wafuasi Wao Ambao Wengi Wao Ni POPOMA?
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Mkuu katika kichekesho kilichoko Tanzania ni pamoja na hili majiji yenye wasomi kama arusha na mbeya yanaongozwa na wendawazimu kama lema na sugu,kisha wamejaa wahuni wengi,ni upuuzi mtupu,wanamzomea wakati ndo rais wa awamu ya tano,wanapoteza muda,
 
Kama Tu WABUNGE Wawili Mashuhuri Wa Hiyo Mikoa Miwili Uliyoitaja Hapo Ni WAVUTAJI BANGI WAZURI Mno Wewe Unategemea Nini Hapo Mkuu Kutoka Kwa Hao Wafuasi Wao Ambao Wengi Wao Ni POPOMA?

Kweli mkuu kiongozi mvuta bagi na mfasi wake mvuta bangi,hapo hakuna akili,anafanya mpango kuongea na kiongozi mkubwa serikalini kwa gsrama yoyote kuwavua majimbo hayo hao wabunge,ili majiji hayo yawe ya kistarabu,
 
Back
Top Bottom