Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.

Tatizo la jamaa wengi wa hii nchi ni wanafiki sasa kutokana na kuzoeya unafiki wakikumbana na ukweli huwa hawautaki Mbeya ukweli kwao daima , unafiki mwiko.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Uliandikiwa sindano 10. Umechomwa ya kwanza..... Subiri 9 zinakuja. Escrow wewe!
 
Kazi gani? Mnalazimisha kukubalika? Acheni zenu, kila mtu anauhuru wakusupport mtu ampendae. The big problem for Tanzanians ni unafiki mkubwa, kujifanya unapenda kitu kumbe hata hukipendi. Watu wambeya wameeleza hadharani hisia zao mnawaona wabaya.
Unaijua siasa wewe! wacha kuropoka upuzi, nanialikuambua kutokumkubari mgombea nikuzomea? najua akili zenu mme zitoa kwa viongozi wenu
 
Usitake kufananisha siasa na vitu vingine,, huo ni ujinga uliopitiliza,, kama wewe huipendi CCM na unania ya kuzomea sasa kwa nini uende??? na CCM wakiamua kuzomea unafikiri nini kitatokea?? siasa sio huo umburula unaouwaza, kwa mtu aliepevuka na mwenye akili timamu hawezi kushabikia huu ujinga na upumbavu.. Binafsi nimewadharau sana kiukweli kuna msukumo na ushawishi katika hili,, siamini kama mtu na akili yake anaweza kufanya hili..

toa ujinga hapa hujui kuwa hakuna kosa kisheria watu wakizomea viongozi uchwara kama huyo magufuli au ulitaka wakae na machungu yao moyoni? kwenye nyumba za ibada tu watu ndio wanatakiwa wawe kama unavyotaka ila tukija kwenye mstakabali wa maisha ya mtanzania kwa miaka 5 au zaidi ana haki ya kupinga lolote baya kwake. Eti umewadharau sana ulitaka wakufurahishe wewe nani? NYIE NDIO MNASTAHILI KUITWA NYUMBU WA CCM KWA KUPINGA WANA MBEYA WALIVYOFANYA. SHAME
 
mbona TBC hawakurusha hizi habari? au nizauongo jamani. ukawa mbona mnatunyima usingizi jamani ccm hatulali
 
Ukitaja mikoa mitano iliyoendelea zaidi tz hutaicha Mbeya...
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Sasa unalia nini?
 
Mbeya mjini wanaongoza kwa kunywa viroba, wakifuatiwa na Rombo. Mimi nimewahi kuishi Mbeya miaka 3 iliyopita na vijana wengi sana kwenye mji huu ni wanywaji wazuri sana wa viroba. Kura za hawa wahuni wa Mbeya mjini hazitoshi kumpeleka mamvi Ikulu. Kura hizi zinatosha kumrudisha Sugu bungeni lakini hazitoshi kumzuia Dk Magufuli kuingia Ikulu. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

njoo tangamano leo uwaone wanywa viroba wengine ndo ujue wanatosha au hawatosh kumpeleka enl ikulu
 
hilo swali muulize yule mgombea anaedhani atafanikiwa kwa kuhutubia kwa lugha ya kabila lake
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Kwani Wewe ulitakaje? Magufuli Mwenyewe ni Kimbele mbele Chake, Wewe unaona Kijiwe Cha Chadema Alafu unataka kuhutubia. Umponde Lowassa? Hiyo Ndio Peoplez power Bana. Hapana chezea kabisa.
 
Nakubaliana na wewe mkuu, sio wana Mbeya wote wenye matatizo . Kina mama wa Mbeya kwa mfano ni kina mama wastarabu sana ata wazee wa huko ni wema, tatizo ni hiki kizazi kilichokuja juzi na kikakosa akili kamili sijui kilitokea wapi! Watu wapo karne ya technology wao wanarudi kwenye ujima yani kwa akili zao ukiwawekea jiwe wanalichagua kweli sasa hizi akili sio za binadamu aliyekanilika hii ni jamii ya primates.

We mpuuz kweli unawasifu mama zetu kinafiki ukidhani mtapata kura zao, pole Sana.

Mama zetu na wazee wetu tunavyo wawakilisha vyema, WE WILL NEVER WALK ALONE... let's Go Ukawa
 
Mbeya mjini wanaongoza kwa kunywa viroba, wakifuatiwa na Rombo. Mimi nimewahi kuishi Mbeya miaka 3 iliyopita na vijana wengi sana kwenye mji huu ni wanywaji wazuri sana wa viroba. Kura za hawa wahuni wa Mbeya mjini hazitoshi kumpeleka mamvi Ikulu. Kura hizi zinatosha kumrudisha Sugu bungeni lakini hazitoshi kumzuia Dk Magufuli kuingia Ikulu. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

Kubwa zima Linashabikia HAPA KAZITU! Kazi zipi hambazo kwa miaka 50 Hakuna?

yaani kubwa zima linadanganywa nalo linadanganyika? Bora ya wanywa viroba waliojitambua na kutokubali kudanganywa.

Kuliko wewe unaejidai mstaarabu. Kumbe ni 0 kabisa. Hapa kazitu labada kazi za kupiga Tembo na kusafirisha Twiga.

Mliaidiwa MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA yapo wapi? Alafu unakuja kushabikia ujinga? Amakweli Malofa na Wapumbavu ninyie Msiojitambua.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or

Ni hivi...chama chako hakiungwi mkono mbeya
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Ushauri mzuri ila umeharibu uliopoanza ukanda(Mara Arusha Mara kirimanjaro)kwani wagombea ubunge wa mbeya ni.wachaga cdm ni chama cha watanzania wote ndio maana kimesajiliwa kwa kupata wanachama Tanzania nzima
 
Back
Top Bottom