Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Mkuu hawa watu walimzomea hata Nyerere, Baba wataifa akawambia mnajisumbua !mkapa Ndio Rais ,alafu hapo Mwanjelwa watanyooka tu Wewe Tulia yaani wana zomea wasichikijua kabisa ,nilikuwepo pale watu wenye Busara wakasema ,Hawa Ndio wanataka Urais ,hapana hapana !!!
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Tatizo lilikuwa kumpiga vita mtu waliyempenda Mwandosya.
Kama una kumbukumbu, Mwandosya aliimbiwa 'Rais...Rais....' mbele ya Lowasa akiwa waziri mkuu.
Mwakubwa wakaamua systematically to cut him dow to size.
Hawakujua kuwa wanaicut down to size CCM.

Niambie kiongozi yeyote machachari CCM aliyebaki Mbeya, hakuna.
Na nadiriki kusema HAKUNA kiongozi mwenye ushawishi aliyebaki, kwamfano wa Mwandosya ambaye sasa amejikatia tamaa nahajaonekana popote kwenye kampeni.
Matokeo ya siasa za mtandao ndio faida ya watu kama Sugu.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Mkuu bahati mbaya sana hao watu wa Mbeya huwezi watisha, maana moja ya kitu kinachowaudhi sana ni kusahaulika na CCM miaka nenda rudi. Mbeya wanadai maendeleo waliyonayo, yanatokana na juhudi zao wenyewe... Jaribu kuongea na mtu wa Mbeya uone kama utamtisha kwa hilo. Hilo watisheni watu wa Kibamba.
 
Kale malimau,next time mkileta maigizo tutasiliba kabisa.
Nyie huko ndio bado mnaishi 90s.. Mkishazomea uwa mnapata nini? Mji umeharibika sana siku hizi huo, mnaaibisha wazee wenu.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

punguza jaziba na kupanic nyie mafisccm hyo ndio mbeya tena shukuru mmezomewa Tu mngepokolewa mawe kabisa. Kama rais alipigwa mawe ndio nyie mayungayembe mlete dharau zenu muone. Alafu kikwete ajawai kuwalea wana mbeya yeye kajilimbikizia mabilioni na familia na maswahiba wake mameifanaya Tanzania shamba la bibi huku wanambea wakiteseka na huduma mbovu za kijamii au hakuna kabisa izo huduma. Mabadiliko ayazuiliki twende na lowassa kwa ushindi wa kishindo hapo Oct 25 ata magufuli analitambua Hilo.
 
Sio Mbeya tu mikoa yote ambayo watu wake wanajitambua wameichoka CCM!!

TWAWEZA imeeleza bayana wapenzi wa CCM ni wajinga na. masikini sana!!

Ndio maana watoto wa ushenzini kama wewe mnashabikia utumbo wa CCM!!

Mwambie huyo
 
T
Hamna dhiki na mnashindia maparachichi?

Mji wazawa ni manamba na wamachinga wageni ndio wenye maisha.

Hizo barabara mnazosema mmejengewa na ccm ila akili yenu inawaza fujo tu kama mngeweza mngezifumua fumua ili mridhike tu na kujiona ndio wajanja.

We ushaona wapi mtu anaechuna ngozi ya binadamu mwenzie akawa na akili sawa. Mna tatizo kubwa sana nyie watu.

Naomba nikurekebishe ccm haijawahi kujenga barabara, bali kodi zetu wananchi
 
Pole,ndiyo ujue vijana wamechoka na SIASA za kudanganya,hebu imagine unasimama kuhutubia halafu unasema ..."Nashangaa kuona Mji wa KAHAMA hauna hata barabara moja wakati unayeongea ndiyo Waziri wa UJENZI"Tusiwe wajinga jamani,tusipende kupumbazwa na uongo wa wanasiasa.

Pili wanahaki maradi hawajamfanyia dhihaka kama ile ya yule Msukuma
 
Tatizo lilikuwa kumpiga vita mtu waliyempenda Mwandosya.
Kama una kumbukumbu, Mwandosya aliimbiwa 'Rais...Rais....' mbele ya Lowasa akiwa waziri mkuu.
Mwakubwa wakaamua systematically to cut him dow to size.
Hawakujua kuwa wanaicut down to size CCM.

Niambie kiongozi yeyote machachari CCM aliyebaki Mbeya, hakuna.
Na nadiriki kusema HAKUNA kiongozi mwenye ushawishi aliyebaki, kwamfano wa Mwandosya ambaye sasa amejikatia tamaa nahajaonekana popote kwenye kampeni.
Matokeo ya siasa za mtandao ndio faida ya watu kama Sugu.

Mkuu wewe kweli unaifahamu Mbeya.
CCM Mtandao imetumia nguvu kubwa kumbimoa Mwandosya hadi kuweka watu kama Tomasi Abson kumdhibiti ili kuua nguvu yaje.

Kitu ambacho CCM Mtandao hsikujua ni kwamba ikikibomoa kabisa chana mkoani na kukisambaratisha.

Ccm Mtandao ilikuwa pamoja na Lowasa hadi miezi miwili mitatu iliyopita.

Sasa leo kimekufa watu wansuliza kimekufaje?
Huu ni ujinga na susi wengine makada tulionya juu ya hili siku nyingi sana.

Tunavuna tulichopanda.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Safari hii hadi kigamboni lazima akione cha moto tunamsubiri kwa hamu sana na madharau yake.
 
Back
Top Bottom