Usitake kufananisha siasa na vitu vingine,, huo ni ujinga uliopitiliza,, kama wewe huipendi CCM na unania ya kuzomea sasa kwa nini uende??? na CCM wakiamua kuzomea unafikiri nini kitatokea?? siasa sio huo umburula unaouwaza, kwa mtu aliepevuka na mwenye akili timamu hawezi kushabikia huu ujinga na upumbavu.. Binafsi nimewadharau sana kiukweli kuna msukumo na ushawishi katika hili,, siamini kama mtu na akili yake anaweza kufanya hili..
Mbeya mjini wanaongoza kwa kunywa viroba, wakifuatiwa na Rombo. Mimi nimewahi kuishi Mbeya miaka 3 iliyopita na vijana wengi sana kwenye mji huu ni wanywaji wazuri sana wa viroba. Kura za hawa wahuni wa Mbeya mjini hazitoshi kumpeleka mamvi Ikulu. Kura hizi zinatosha kumrudisha Sugu bungeni lakini hazitoshi kumzuia Dk Magufuli kuingia Ikulu. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.
Pole sana na ccm yako ila unapaswa kufahamu kwamba tumewachoka
Mbeya mjini wanaongoza kwa kunywa viroba, wakifuatiwa na Rombo. Mimi nimewahi kuishi Mbeya miaka 3 iliyopita na vijana wengi sana kwenye mji huu ni wanywaji wazuri sana wa viroba. Kura za hawa wahuni wa Mbeya mjini hazitoshi kumpeleka mamvi Ikulu. Kura hizi zinatosha kumrudisha Sugu bungeni lakini hazitoshi kumzuia Dk Magufuli kuingia Ikulu. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.
Kambarage ashawahi kukong'otwa mawe huko Mbeya, unashangaa Magufuli kuzomewa?
fu**k you karibu mbeya lofa ww
Nakubaliana na wewe mkuu, sio wana Mbeya wote wenye matatizo . Kina mama wa Mbeya kwa mfano ni kina mama wastarabu sana ata wazee wa huko ni wema, tatizo ni hiki kizazi kilichokuja juzi na kikakosa akili kamili sijui kilitokea wapi! Watu wapo karne ya technology wao wanarudi kwenye ujima yani kwa akili zao ukiwawekea jiwe wanalichagua kweli sasa hizi akili sio za binadamu aliyekanilika hii ni jamii ya primates.
Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Aboud Jumbe alitimuliwa kutoka Kyela, Mbeya, baaada ya serikali kufunga maduka binafsi miaka ya 1970 akaahidi kutorudi tena Mbeya! Alipanda jukwaani akasema TANU oyeeee, wananchi wakajibu kwa kishindo Ziiiiiiiiiiii!!!!!! Mkutano ukafungwa hapo hapo!
Magufuli juzi imebidi awasalimie watu wa Mbeya "Chadema Oyeeeee!!! Peoples's........" Hakuna sehemu nyingine Magufuli kafanya hivyo.
Sasa nadhani unapata picha kamili ya watu wa Mbeya
Umri wako bila shaka unajieleza kwa hayo uliyoandika,, inawezekana kabisa unaishi kwa baba au shemeji ndio anakulea,,, mtu anayeyajua maisha na mpambanaji hawezi kuandika ulichokiandika au kushabikia ujinga huo uliosemwa, kama huipendi CCM nenda kapige kura uikatae,,mengineyo ni uoga wenu na dalili za kushindwa tu..inaonyesha ni jinsi gani msivyojiamini...mbona CCM haiwazomei?? ulishafikilia CCM ikiandaa vijana 100 wakaja kuzomea kwenye mkutano wa CDM nini unahisi kitatokea???