Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,374
- 11,269
- Thread starter
- #41
Najua hakuna Hamas hata mmoja anayejisalimisha kama anavyotaka Netanyahu tuamini.Wanajua kujisalimisha hakutawasaidia chochote.Kweli, Hamas washikilie mpaka mtu wa mwisho na Wananchi wa hizo nchi za wanafik wawageukwe serikali zao na wananchi.
Wapigane tu na msaada wa Mwenyezi Mungu kwao uko karibu.