Watu wa Gaza wala nyama ya punda na kunywa maji ya chumvi kwa njaa. Misri ikipeleka misaada bila ruhusa ya Israel itapata hasara gani

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,193
10,928
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai.

Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu ambacho hakikuwepo Gaza kabla ya vita.

Vyakula kwa ajili ya wapalestina hao vimejaa kwenye magari ndani ya nchi ya Misri lakini ni lazima vipate ruhusa ya Israel kuingia eneo ijapokuwa Gaza haijapaka na Israel.

Kuna athari gani iwapo Misri itaanza kuchukua maamuzi ya kupeleka misaada Gaza bila kuomba ruhusa ya Israel na kwa upande mwengine nani anayesimamia kutekelezwa kwa matakwa ya Israel ndani ya Misri.
 
Watu weusi tumekufa aana kwa vita vya uchonganishi sasa na sisu acha tule popcon wakati ngozi nyeupe nao wanakamuana na bado mpaka wale mjusi na panya ndo kidogoooo oitapendeza congo wamekufa sanawatu kisa na hao hao ngozi nyeupe kuchukua madini.
 
Watu weusi tumekufa aana kwa vita vya uchonganishi sasa na sisu acha tule popcon wakati ngozi nyeupe nao wanakamuana na bado mpaka wale mjusi na panya ndo kidogoooo oitapendeza congo wamekufa sanawatu kisa na hao hao ngozi nyeupe kuchukua madini.
Vita vya kuchonganishwa ni tofauti na vita vya kupigania uhuru.
 
Misri na israhell lao moja
Baada ya kupinduliwa Muhammad mursi pale misri basi ile misri ndio ikapoteza mwelekeo
Alsisi kibaraka wa wazayuni na us akiamua kwenda kinyume na mabwana zake watamuua
Ila misri ingekua sio sirikali ya kibaraka basi Palestine hasa kwenye hiki kinachoendelea sasa gaza
Basi ingekua ishajuulikana rasmi kama wanapewa taifa lao ama laa
Misri hamna sirikali hapo kuna vibaraka tu wa israhell na mazayuni baas
 
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai.

Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu ambacho hakikuwepo Gaza kabla ya vita.

Vyakula kwa ajili ya wapalestina hao vimejaa kwenye magari ndani ya nchi ya Misri lakini ni lazima vipate ruhusa ya Israel kuingia eneo ijapokuwa Gaza haijapaka na Israel.

Kuna athari gani iwapo Misri itaanza kuchukua maamuzi ya kupeleka misaada Gaza bila kuomba ruhusa ya Israel na kwa upande mwengine nani anayesimamia kutekelezwa kwa matakwa ya Israel ndani ya Misri.
They're reaping what they sow.
 
Misri na israhell lao moja
Baada ya kupinduliwa Muhammad mursi pale misri basi ile misri ndio ikapoteza mwelekeo
Alsisi kibaraka wa wazayuni na us akiamua kwenda kinyume na mabwana zake watamuua
Ila misri ingekua sio sirikali ya kibaraka basi Palestine hasa kwenye hiki kinachoendelea sasa gaza
Basi ingekua ishajuulikana rasmi kama wanapewa taifa lao ama laa
Misri hamna sirikali hapo kuna vibaraka tu wa israhell na mazayuni baas
Usimlaumu Rais Al-Sisi, mwanzoni mwa miaka ya 1960s Misri ilijaribu kujiingiza kwenye huo mgogoro ili kuwatetea Wapalestina, ilichoambulia ni kupigwa vibaya kwa kichapo cha mbwa mwizi kutoka kwa Israel.
 
Yakhee nna kitimoto zangu hukuu shambani kama200, vip shekhe atuwezi peleka kama msaada (kwa hisani ya wapemba)
.
Mchuma janga hula na wakwao, wacha wavune walichopanda.
 
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai.

Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu ambacho hakikuwepo Gaza kabla ya vita.

Vyakula kwa ajili ya wapalestina hao vimejaa kwenye magari ndani ya nchi ya Misri lakini ni lazima vipate ruhusa ya Israel kuingia eneo ijapokuwa Gaza haijapaka na Israel.

Kuna athari gani iwapo Misri itaanza kuchukua maamuzi ya kupeleka misaada Gaza bila kuomba ruhusa ya Israel na kwa upande mwengine nani anayesimamia kutekelezwa kwa matakwa ya Israel ndani ya Misri.
Wafe tu hao mahayawani.

Israel ihakikishe haipeleki chakula
 
Misri na israhell lao moja
Baada ya kupinduliwa Muhammad mursi pale misri basi ile misri ndio ikapoteza mwelekeo
Alsisi kibaraka wa wazayuni na us akiamua kwenda kinyume na mabwana zake watamuua
Ila misri ingekua sio sirikali ya kibaraka basi Palestine hasa kwenye hiki kinachoendelea sasa gaza
Basi ingekua ishajuulikana rasmi kama wanapewa taifa lao ama laa
Misri hamna sirikali hapo kuna vibaraka tu wa israhell na mazayuni baas
Natamani watokee mashujaa kama wale wa wakati wa Anwar Saadat au wale mashujaa wa Niger.
 
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai.

Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu ambacho hakikuwepo Gaza kabla ya vita.

Vyakula kwa ajili ya wapalestina hao vimejaa kwenye magari ndani ya nchi ya Misri lakini ni lazima vipate ruhusa ya Israel kuingia eneo ijapokuwa Gaza haijapaka na Israel.

Kuna athari gani iwapo Misri itaanza kuchukua maamuzi ya kupeleka misaada Gaza bila kuomba ruhusa ya Israel na kwa upande mwengine nani anayesimamia kutekelezwa kwa matakwa ya Israel ndani ya Misri.
wateule wajitahidi sana kudeal na mashetani Hamas walioua ndugu zetu wapendwa wakulima namba moja Clemence na Joshua. Na kuruhusu misaada ya kibinadamu iwafikie wanawake na watoto licha ya vichwa vyao kuwa vigumu kuwatetea na kuwakumbatia mihamas.
 
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai.

Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu ambacho hakikuwepo Gaza kabla ya vita.

Vyakula kwa ajili ya wapalestina hao vimejaa kwenye magari ndani ya nchi ya Misri lakini ni lazima vipate ruhusa ya Israel kuingia eneo ijapokuwa Gaza haijapaka na Israel.

Kuna athari gani iwapo Misri itaanza kuchukua maamuzi ya kupeleka misaada Gaza bila kuomba ruhusa ya Israel na kwa upande mwengine nani anayesimamia kutekelezwa kwa matakwa ya Israel ndani ya Misri.
Ni muda wa kufungua center za kuuza kiti moto sasa.
 
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai.

Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu ambacho hakikuwepo Gaza kabla ya vita.

Vyakula kwa ajili ya wapalestina hao vimejaa kwenye magari ndani ya nchi ya Misri lakini ni lazima vipate ruhusa ya Israel kuingia eneo ijapokuwa Gaza haijapaka na Israel.

Kuna athari gani iwapo Misri itaanza kuchukua maamuzi ya kupeleka misaada Gaza bila kuomba ruhusa ya Israel na kwa upande mwengine nani anayesimamia kutekelezwa kwa matakwa ya Israel ndani ya Misri.
Kiongozi wa Misri ni Myahudi inavyo semekana, afu nilisha sema ninarudia kusema warabu ndio wanao blocked Palestine sio Israel.

Warabu wangeachia vyakula viende Israel asongefanya lolote, wao wanafanya vile kwa sababu wanafahamu Hamasi akishinda vita wao hawatabaki kwenye viti vyao
 
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai.

Mbali na ushahidi huo picha nyingi za moja kwa moja zinawaonesha wananchi hao wakipanga foleni ndefu na kugombea mikate kitu ambacho hakikuwepo Gaza kabla ya vita.

Vyakula kwa ajili ya wapalestina hao vimejaa kwenye magari ndani ya nchi ya Misri lakini ni lazima vipate ruhusa ya Israel kuingia eneo ijapokuwa Gaza haijapaka na Israel.

Kuna athari gani iwapo Misri itaanza kuchukua maamuzi ya kupeleka misaada Gaza bila kuomba ruhusa ya Israel na kwa upande mwengine nani anayesimamia kutekelezwa kwa matakwa ya Israel ndani ya Misri.
Wapalestina wametelekezwa
 
Gaza ipo under surveillance ya Israel na Marekali ardhini, majini na angani 24/7. So Misri akipitisha malori ya msaada Israel na US watayalipua kabla hayajafikia walegwa.
Ukiwa na sababu ya kufanya kitu kama kuokoa watu hujali nani anakuangalia.
Halafu kabla ya kufanya hiyo kazi atangaze kwamba mimi napeleka chakula Gaza atakayenifuata kunipiga atakiona cha mtema kuni.Kwani Misri ina shehena tani ngapi za silaha kuliko Hamas.Wakiamua kuipiga kwa kupeleka chakula na yeye anapiga kama Houth na Hizbollah.Atapata hasara gani ?
 
Back
Top Bottom