Watu wa Gaza waanza kula majani na kunywa maji machafu

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,920
Tangu vita kuanza vyakula vimekuwa vikiingia eneo hilo kwa shida sana na ni asilimia chini ya 10 ya mahitaji ya kawaida.

Pamoja na hivyo ujasiri na uvumilivu wa wapalestina umewafanya waendelee kusihi kwa kidogo wanachopata mpaka pale Israel ilipotia fitna ya kutaka hata hicho kidogo kisipelekwe tena.

Taarifa waliyoitoa kwamba kuna baadhi ya wafanyakazi wa shirika la umoja wa mataifa la UNRWA walishiriki katika shambulio la oktoba 7 limepokelewa na wale ambao wanapendelea upande wa Israel na kujitoa mmoja mmoja kuchangia shirika hilo.

Kuzidi kupungua kwa misaada katika kipindi wapalestina hawawezi kujitafutia wenyewe kumesababisha watu waanze kula majani na kunywa maji machafu.

Baada ya kushindwa kwa vita vya ana kwa ana uamuzi wa mataifa hayo umepokelewa kwa furaha na Israel ikiona hilo litasaidia katika kuwashinda wapalestina na kuwaangamiza kabisa.

‘We are dying slowly:’ Palestinians are eating grass and drinking polluted water as famine looms across Gaza

 
Hilo sio jipya, ukiona hivyo ushindi upo karibu. Mzayuni kishachoka taabani, jana kafanyiziwa kishenzi na vijana wa Hamas na Hezbollah, washfunga bandari zake.

Na huko Wayemeni wanaendelea na kazi ya kuzuwia kango kuu la meli zinazoenda kwa mazayuni Jana wametangaza kuwa wamelichomo tanker la mafuta ya ndege yaliyokuwa yanaenda kwa mazayuni.

Na Hezbollah walishabomoa refinery yao, mpaka leo inawaka moto hawasemi.
 
Hilo sio jipya, ukiona hivyo ushindi upo karibu. Mzayuni kishachoka taabani, jana kafanyiziwa kishenzi na vijana wa Hamas na Hezbollah, washfunga bandari zake. Na huko Wayemeni wanaendelea na kazi ya kuzuwia kango kuu la meli zinazoenda kwa mazayuni Jana wametangaza kuwa wamelichomo tanker la mafuta ya ndege yaliyokuwa yanaenda kwa mazayuni. Na Hezbollah walishabomoa refinery yao, mpaka leo inawaka moto hawasemi.

View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1752348645377126532?t=YsOWU8d8hjhPL-8Ek-mw2w&s=19
 
Hilo sio jipya, ukiona hivyo ushindi upo karibu. Mzayuni kishachoka taabani, jana kafanyiziwa kishenzi na vijana wa Hamas na Hezbollah, washfunga bandari zake. Na huko Wayemeni wanaendelea na kazi ya kuzuwia kango kuu la meli zinazoenda kwa mazayuni Jana wametangaza kuwa wamelichomo tanker la mafuta ya ndege yaliyokuwa yanaenda kwa mazayuni. Na Hezbollah walishabomoa refinery yao, mpaka leo inawaka moto hawasemi.
Habari nzuri
Wewe dada Faiza napenda unazipata nyeti mapema.
Kwa kweli ushindi uko karibu.Na hizbullah wakati wowote wakianza kuzishambulia zile zinazopitia Gibraltar basi kazi itakuwa imeisha.
Nimesoma habari ya majeruhi wa IDF kwa kweli wako hali mbaya sana.Askari wako karibu kukimbia vita.Na hiyo ilikuwa ni Gaza tu.Watapata wapi uwezo wa kuingia Lebanon huku Syria na Iran nazo ziko mguu sawa kurusha vya kwao wenyewe.
 
Tangu vita kuanza vyakula vimekuwa vikiingia eneo hilo kwa shida sana na ni asilimia chini ya 10 ya mahitaji ya kawaida.

Pamoja na hivyo ujasiri na uvumilivu wa wapalestina umewafanya waendelee kusihi kwa kidogo wanachopata mpaka pale Israel ilipotia fitna ya kutaka hata hicho kidogo kisipelekwe tena.

Taarifa waliyoitoa kwamba kuna baadhi ya wafanyakazi wa shirika la umoja wa mataifa la UNRWA walishiriki katika shambulio la oktoba 7 limepokelewa na wale ambao wanapendelea upande wa Israel na kujitoa mmoja mmoja kuchangia shirika hilo.

Kuzidi kupungua kwa misaada katika kipindi wapalestina hawawezi kujitafutia wenyewe kumesababisha watu waanze kula majani na kunywa maji machafu.

Baada ya kushindwa kwa vita vya ana kwa ana uamuzi wa mataifa hayo umepokelewa kwa furaha na Israel ikiona hilo litasaidia katika kuwashinda wapalestina na kuwaangamiza kabisa.

‘We are dying slowly:’ Palestinians are eating grass and drinking polluted water as famine looms across Gaza

vita ni kitu mbaya sana dah
 
Tangu vita kuanza vyakula vimekuwa vikiingia eneo hilo kwa shida sana na ni asilimia chini ya 10 ya mahitaji ya kawaida.

Pamoja na hivyo ujasiri na uvumilivu wa wapalestina umewafanya waendelee kusihi kwa kidogo wanachopata mpaka pale Israel ilipotia fitna ya kutaka hata hicho kidogo kisipelekwe tena.

Taarifa waliyoitoa kwamba kuna baadhi ya wafanyakazi wa shirika la umoja wa mataifa la UNRWA walishiriki katika shambulio la oktoba 7 limepokelewa na wale ambao wanapendelea upande wa Israel na kujitoa mmoja mmoja kuchangia shirika hilo.

Kuzidi kupungua kwa misaada katika kipindi wapalestina hawawezi kujitafutia wenyewe kumesababisha watu waanze kula majani na kunywa maji machafu.

Baada ya kushindwa kwa vita vya ana kwa ana uamuzi wa mataifa hayo umepokelewa kwa furaha na Israel ikiona hilo litasaidia katika kuwashinda wapalestina na kuwaangamiza kabisa.

‘We are dying slowly:’ Palestinians are eating grass and drinking polluted water as famine looms across Gaza

Silaha za kupigana akupe muislam halafu chakula unalazimisha akupe kafir!
 
Habari nzuri
Wewe dada Faiza napenda unazipata nyeti mapema.
Kwa kweli ushindi uko karibu.Na hizbullah wakati wowote wakianza kuzishambulia zile zinazopitia Gibraltar basi kazi itakuwa imeisha.
Nimesoma habari ya majeruhi wa IDF kwa kweli wako hali mbaya sana.Askari wako karibu kukimbia vita.Na hiyo ilikuwa ni Gaza tu.Watapata wapi uwezo wa kuingia Lebanon huku Syria na Iran nazo ziko mguu sawa kurusha vya kwao wenyewe.

View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1752348121432989807?t=3nqaOUREM3TBIweHiv9Xcg&s=19
 
Silaha za kupigana akupe muislam halafu chakula unalazimisha akupe kafir!
Hizo nchi zote ziondoe misaadda yao basi watu milioni mbili na nusu wa Gaza hawawezi kufa njaa.
Kuna misaada mingi sana kutoka wananchi wa mashariki ya kati ambayo imezuiliwa kuingia Gaza.Inatosha kuwalisha na kusaza.
 
Hizo nchi zote ziondoe misaadda yao basi watu milioni mbili na nusu wa Gaza hawawezi kufa njaa.
Kuna misaada mingi sana kutoka wananchi wa mashariki ya kati ambayo imezuiliwa kuingia Gaza.Inatosha kuwalisha na kusaza.
Mbona lilitoka ombi achieni mateka misaada ifike gaza uamuzi ni wenu
Halafu.juzi kuna convoy moja ya misaada iliruhusiwa kuingia gaza usiku hamas wakajibu kwa kurusha maroketi kwenda israel unadhani ni uungwana? Acha wale majani
 
Habari nzuri
Wewe dada Faiza napenda unazipata nyeti mapema.
Kwa kweli ushindi uko karibu.Na hizbullah wakati wowote wakianza kuzishambulia zile zinazopitia Gibraltar basi kazi itakuwa imeisha.
Nimesoma habari ya majeruhi wa IDF kwa kweli wako hali mbaya sana.Askari wako karibu kukimbia vita.Na hiyo ilikuwa ni Gaza tu.Watapata wapi uwezo wa kuingia Lebanon huku Syria na Iran nazo ziko mguu sawa kurusha vya kwao wenyewe.
Kuna yule Mpalestina Myahudi ana channel yake youtube, yeye anaongea tu, ana habari zote za siri. Yule lazima atakuwa na habari za kiijasusi. Mtafute Mohamed OD, utapata mapya, kila suku anatowa mara moja au mbili. Huyu hapa:


View: https://youtu.be/O6UMLpRz9NM?si=xqtIwaW39UoUYH-S
 
Tazama bila chenga kichapo walichocheza mazayuni:

 
Mbona lilitoka ombi achieni mateka misaada ifike gaza uamuzi ni wenu
Halafu.juzi kuna convoy moja ya misaada iliruhusiwa kuingia gaza usiku hamas wakajibu kwa kurusha maroketi kwenda israel unadhani ni uungwana? Acha wale majani
Ukiwa na akili kama za kuku basi utaona mambo kwa mtazamo wako.
Wenye akili nzuri wako mpaka mitaani Marekani.Wanaona Hamas hana makosa na si ubinadamu kuzuia chakula kwa watu milioni kadhaa au kuvunja mahospitali kwa sababu yoyote iwayo.
 
Back
Top Bottom