Watu wa Dar hivi supu ya maharage inakata Hangover? Au ndio kufosi mambo kwa sababu ya ugumu wa mambo?

Alichoongea nisawa mkuu, Ile ni animal protinna maharage Yana plant protein ambazo kisingi zinaendana, ushajiuliza ratiba za boarding kwanini walinprefer maharage na Nyama kama mlo wa wanafunzi?
 
Vijiwe kibao vinauza eti supu ya maharage.

Unakuta watu wa Dar wanakatakata chapati na kuchanganya na maharage nao wanaona wanapata supu kukata hangover

Mbona sisi huku Igunga ni mwendo wa supu ya kuku, mbuzi n.k

Dar mbona kila kitu tabu?

Muhimu kushiba...
 
Back
Top Bottom