Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Watu wa Dar es Salaam muache hii tabia, mnakera

Next ni diaspora....
eheee, diaspora ndio kiboko. ukiwa huku wanakuambia njoo majuu tutakutafutia madili, mimi nafanya kazi napata hela nzuri naishi vizurii usihofu. kumbe kule anaishi kwa kulala barabarani, vibarua vya kuosha vyombo na kupangusa nnye ya wazee, hana mbele wala nyuma. ukienda mji wake ukibahatika kumkuta ukawa karibu naye bills zote utakuwa unalipa wewe, atatoa sababu yeyote itakayoonyesha hela anayo lakini kuna technical prob kwenye card zake sijui kilienda wapi kikarudi....wengi wao watakukwepa usikutane nao, anaweza hata kusema ameenda nchi nyingine holiday. ajabu ni pale utakapokuja kukutana naye kitaa amepanga foleni..............
 
Poa kabisa, ila sijamsikia shostito atoto kwenye huu uzi, sijui naye ataruka kihunzi kama ulivyonifanyia wewe!! Na mimi nazidi kumwita tu mpaka ajitokeze. Utasikia akuuu mi mwisho wangu Chalinze, huko dar sijawahi fika kabisaaaaa!!

Nimefika, ngoja kwanza nisome
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh

Sista atoto sijakusoma huku ujue
Na wewe una tabia kama hizi anazoongelea mtoa mada??? muulize kabisa na cute b kama anazo hizi tabia

Mwenzangu mie huko dar kwenu nakusikiaga tu na kupaona kwenye tv, sijawahi hata kukanyaga, na kama wenyeji wenyewe ndio hao basi sijui kama nitakanyagaga, ngoja tu nibaki huku mkoani.
 
Last edited by a moderator:
eheee, diaspora ndio kiboko. ukiwa huku wanakuambia njoo majuu tutakutafutia madili, mimi nafanya kazi napata hela nzuri naishi vizurii usihofu. kumbe kule anaishi kwa kulala barabarani, vibarua vya kuosha vyombo na kupangusa nnye ya wazee, hana mbele wala nyuma. ukienda mji wake ukibahatika kumkuta ukawa karibu naye bills zote utakuwa unalipa wewe, atatoa sababu yeyote itakayoonyesha hela anayo lakini kuna technical prob kwenye card zake sijui kilienda wapi kikarudi....wengi wao watakukwepa usikutane nao, anaweza hata kusema ameenda nchi nyingine holiday. ajabu ni pale utakapokuja kukutana naye kitaa amepanga foleni..............

Kuna watu walio majuu wanaolala barabarani zama hizi?

Halafu kuosha vyombo na kupangusa wazee ni kazi njema tu na wala siyo za kubeza.

Kubeza kazi halali ya mtu inayompatia riziki halali ni kilele cha upumbavu.
 
atoto hapa hawezi kufika kwa sababu hapati notification ila ngoja nikamleteee.
Yeye anauzaga mutumba kariakoo ngoja nikamlete

Mie hata sielewi whats wrong, mwanzo nilikuwa napata vizuriii, ila sasa zinanigomea sijui tatizo nini,
Hahahaaaa hilo la mitumba limenifsnya nicheke kwa nguvuuuuu, hiyo kariakoo yenyewe naisikiaga tu mwenzangu, itabidi mito anipokee anipeleke, ila sije akaniacha ubongo nikasanda.

Njoo huku umeitwa na mito

Nishafika mama

Mmmh best mbona aibu hiyo!! hebu tufanye mpango basi tumtoe na simu yenye viwango bana

Hebu fanyeni fasta mtakuwa mmefanya la maana kweli, huu ndio undugu wa kweli.
 
Last edited by a moderator:
atoto nahisi kuna mahali uligusa ukavuruga settings ndo maana hupati tena notifications, inakera sana kama huzipati
 
Last edited by a moderator:
Haya mambo mbona hata huku kwetu Karatu yapo.
 
atoto nahisi kuna mahali uligusa ukavuruga settings ndo maana hupati tena notifications, inakera sana kama huzipati

Eti eeeh let me check
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu walio majuu wanaolala barabarani zama hizi?

Halafu kuosha vyombo na kupangusa wazee ni kazi njema tu na wala siyo za kubeza.

Kubeza kazi halali ya mtu inayompatia riziki halali ni kilele cha upumbavu.
mkuu ukiona wewe unalala, usifikiri kila mtu anapo pa kulala. kuna watu hawajui kesho watakula nini huko majuuu...nishaombwa sana hela na diaspora nikiwa huko, ikabidi nianze kuwakimbia, kila nikimwona nakula kona.
 
mkuu ukiona wewe unalala, usifikiri kila mtu anapo pa kulala. kuna watu hawajui kesho watakula nini huko majuuu...nishaombwa sana hela na diaspora nikiwa huko, ikabidi nianze kuwakimbia, kila nikimwona nakula kona.

Inavyoonekana wewe ni mzushi tu.

Na huenda hata huko majuu kwenyewe hujawahi kufika.
 
ukitaka watu Dar wafurahi mwambie nimekuletea majogoo mawili ukale lazima aje
 
Tatizo mikoani hamuwezi kupiga 'desh'. Mnataka milo mitatu iwe kamili. Pia kuparaza hamuwezi, mnataka mshibe ndiiiii...
 
Kwani mito kwako zikija zinajistore?

Huwa inaonyesha notifications zote vilevile kama kwenye PC, ukishazifungua ndo zinapotea, so huwa nazihesabu kwanza ili niwe na uhakika nimesizoma zote, za kujibu najibu kabisa. Ila atoto amegundua tatizo sasa, labda pata uzoefu zaidi kwake
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom