Hadi walinzi au siyo?Maisha ya mlimani city ni kama ya jf,kila mtu kasoma,kila mtu Ana gari,kila mtu ana biashara kubwa,na kila mtu kakaa nje ya nchi.
Hadi walinzi au siyo?Maisha ya mlimani city ni kama ya jf,kila mtu kasoma,kila mtu Ana gari,kila mtu ana biashara kubwa,na kila mtu kakaa nje ya nchi.
Interpretation by way of innuendo...Wapi nimesema kuna shida?
Ni kweli,,,, hata mi kesho naenda Uturuki kufunga kontena la vifaa vya ujenziKuna jambo nimekuwa nikiliobserve kila nikiwa nafanya manunuzi yangu pale Mlimani City..Idadi kubwa ya watu ninaopishana nao wengi utawasikia wakiongea kuhusu kuishi nje ya nchi,kuhusu kuondoka nchini siku sio nyingi,kuhusu kwenda China,India kufunga mzigo wa biashara na mengine mengi..
Najua inaweza kuwa kitu cha kawaida..na always tunashauriwa kumind our own bussiness lakini kwa hili limenifikirisha kidogo..
Hivi wakuu watu wengi wanaokuwa Mlimani City ni kwamba wana class au aina hiyo ya maisha au inakuwaje??..
Sent using Jamii Forums mobile app
Of course ukiwa na hyo exposure unakuwa tofauti na waswahili walio huko uswahilini.
Whaaaat?ndo maana unaambiwa kuishi dar tu tayari ni elimu ya form four!
hadi kuingia mlimani city kununua bidhaa mule lazima uwe unaconfidence kwanza ya juu!
watu wanapanda magari temeke wanenda nunua ICE CREAM mlimani city!
mlimani city kama ulikuwa hujui chumba kidogo kabisa cha biashara kwa mwezi Mil 14!
Pana Maigizo sana hapo,wala hizo stori zisikutie unyonge,fanya yako kwa amani tu ndg yangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo Mil 14 Za Nchi Gani? Tujuzane!mlimani city kama ulikuwa hujui chumba kidogo kabisa cha biashara kwa mwezi Mil 14!
Teh..mimi nimeishi europe miaka 5, huwa nawachora tu wanavyojifaragua na huo ung'eng'e wao wa kubana pua na kujidai lifestyle ya kitasha, ukute wengi hawajawahi hata kukanyaga majuu. Huwa najidai kana kwamba ni mtu wa mkoa tu wao ndo wajanja, ha,ha,ha...
Mimi au wewe?Samahani, we ni wa kuja?
Hata ushamba una muda wake wa kwisha kama ulitoka Namabengo jana huwezi kuendelea kuwa mshamba wakati ndio ushahamia mjini unaanza kujifunza jambo moja baada ya jingine, ila wapo pia waliozaliwa mjini wamekulia mjini lakini bada washamba sana kuliko hao waliotoka kijijini jana.Tatizo Bongo Kuna Kasumba Fulani Hivi Ya Ushamba! Nchi Zilizoendelea Huko Ambapo Ndio Waasisi Wa Vitu Kama Hivyo Kwao Kawaida.
Unajuaje kama hawajawahi kukanyaga huko majuu?Teh..mimi nimeishi europe miaka 5, huwa nawachora tu wanavyojifaragua na huo ung'eng'e wao wa kubana pua na kujidai lifestyle ya kitasha, ukute wengi hawajawahi hata kukanyaga majuu. Huwa najidai kana kwamba ni mtu wa mkoa tu wao ndo wajanja, ha,ha,ha...
Kwahio mlimani city yote kila demu ulikuwa unamgusa?Kila demu ukimgusa anasema anatoka US, canada au uk
Ni shida mimi yashanikuta..kidogo nilie
Sent using Jamii Forums mobile app