GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
Na kama tukiamua 'Kuwakazia' tutaishia Kuwachapeni sana 'Bakora' na huenda hata hizi Pesa zenyewe tusiwe tunawapeni vile vile na hakuna cha Kutufanya.
Haiingii Akilini Mtoto umeenda Kumtembelea Wiki Mbili tu zimepita Leo hii anakupigia Simu na Kukuambia sijui kaishiwa Vitabu mara sijui kaibiwa Begi na Viatu na hapo hapo tena anakuunganishia kuwa wana Ziara ya nje ya Mkoa halafu ukimuomba namba ya Simu ya Mhusika hapo Shuleni anakuambia kuwa kwa sasa hana Simu aliibiwa na Vibaka.
Kwahiyo Watoto wa Siku hizi mnavyotudanganya Wazazi wenu na 'Kutupiga' kwa Kutudanganya katika Mahitaji yenu ya Pesa huwa mnatuona bonge la Washamba na Malofa fulani na kwamba huwa hatuwashtukieni?
Tunajua kila Kitu, ila tunawakausha tu.
Haiingii Akilini Mtoto umeenda Kumtembelea Wiki Mbili tu zimepita Leo hii anakupigia Simu na Kukuambia sijui kaishiwa Vitabu mara sijui kaibiwa Begi na Viatu na hapo hapo tena anakuunganishia kuwa wana Ziara ya nje ya Mkoa halafu ukimuomba namba ya Simu ya Mhusika hapo Shuleni anakuambia kuwa kwa sasa hana Simu aliibiwa na Vibaka.
Kwahiyo Watoto wa Siku hizi mnavyotudanganya Wazazi wenu na 'Kutupiga' kwa Kutudanganya katika Mahitaji yenu ya Pesa huwa mnatuona bonge la Washamba na Malofa fulani na kwamba huwa hatuwashtukieni?
Tunajua kila Kitu, ila tunawakausha tu.