KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Samahani, naona watu walikuwa wanauliza majina. Uzuri ni kuwa majina yalishawekwa hapa siku nyingi... tatizo vyombo vyetu vya habari vingekuwa vinakuja hapa wasingeripoti hili wiki kadhaa baadaye. Hatuhitaji watuambie majina, tunawajua.
mwanakijiji you are one tricky guy ! last post kwenye hii thread ilikuwa 25th-Feb, leo umekuja kujibu. but also you didnt have tosay what you said...LAKINI NAELEWA WHY YOU DID THAT !!