Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,417
- 11,069
Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level.
Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko.
Endeleeni na vilaza kwenye vyombo vya umma.
Ni hayo tu.
Wadiz.
======
UPDATE:
TBC watoa tamko > TBC: Mfanyakazi aliyesoma habari kuhusu Meli ya MV Mwanza amechukuliwa hatua