Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi

Status
Not open for further replies.

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,417
11,069


Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level.

Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko.

Endeleeni na vilaza kwenye vyombo vya umma.

Ni hayo tu.

Wadiz.

======
UPDATE:

TBC watoa tamko > TBC: Mfanyakazi aliyesoma habari kuhusu Meli ya MV Mwanza amechukuliwa hatua
 
View attachment 2948865

Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level.

Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko.

Endeleeni na vilaza kwenye vyombo vya umma.

Ni hayo tu.

Wadiz.
Kama tunadanganywa kwenye mamboo ya wazi namna hii vipi huko kwenye mafail maofisini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom