Watanzania wengi wanaamini adui yao mkuu alikuwa ni Sabaya. Wamefurahi wameridhika Maisha yanaendelea. Adui Mkuu anatabasamu tu

Wabongo wepesi sana, bado sana yani, imagine hadi watu wanaweka status picha ya jamaa akimlilia mwendazake, wengine wanataka rc wa Mbeya aondolewe, wafurahie zaidi. Hovyo kweli kweli
Usishangae wakaondolewa tuliambiwa Mh SSH anafatilia habari za mitandaoni na huenda Aya ndo matatizo ya watanzania anayafanyia kazi mkuu...Time will tell
 
Mkuu jaribu kuingia mtaani halafu uanze kuuliza hao watanzania ujue wangapi wanamjua huyo Sabaya ni nani? Wangapi wanayajua hayo aliyokuwa akiyafanya huyo Sabaya na kwa kiasi gani? Na wangapi wana mitazamo kwa huyo Sabaya sawa na hii mitazamo ya huku mitandaoni?

Chizi Maarifa
 
Kwa kuongezea tu,kutokana na kutojitambua kwa wanaume wa kitanzania wazungu wanajiandaa kuja KUWAOA..
Mkuu umeandika vizuri lakini waambulia MATUSI
 
Aliyewai wapoteza watu hivyo ni nani? Amechukuliwa hatua gani? Ungetulia vizuri ungegundua nlichomaanisha. Mnafurahia kwa jambo dogo sana. Mtu ambaye amepoteza ndugu yako akivuliwa tu cheo anakuwa amepata adhabu gani? Unadhani jamaa atakuwa anasota kimaisha? Hujawahi kukutana na watu ambao wameiba mamilion ya pesa halafu wanaamua kuacha kazi? Wakafanye maisha mengine?
Amechukuliwa hatua gani?????!!!!! Dude are you kidding me???!!!! Are you for real man???!!
Unafikiri bongo hakunaga watu wanaolindwa
 
Jambo alilofanya Samia Suluhu la kumpumzisha Aliyekuwa DC wa Hai Bwana Sabaya linapaswa liwe jadi ya nchi na wananchi husika. Halipaswi liwe ni jambo kuu la kitaifa katika ulimwengu wa watu wastaarabu,wenye akili au uelewa.

Alikuwepo Makonda Dar es salaam.alifanya aliyoyafanya mpaka alipokuja kutokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm. Watu wakafurahi sana wakiamini kukwama kwao kiuchumi na mateso wanayoyapata ni kutokana na Makonda. Na sasa hayupo wamepata suluhisho.

Makonda yupo mtaani anaendelea na maisha yake,hajafirisika,hana tatizo hana tu cheo cha ukuu wa mkoa ambacho by the way hakuzaliwa nacho so hajapungukiwa kitu maishani. Ana utajiri wake na miradi yake inaendelea. Watanzania wamebaki maskini, wana shida,wananyaswa n.k ila wamefurahi makonda si mkuu wa mkoa.

Binafsi sikuwahi mpenda Makonda. Sababu ni nyingi tu. Lakini sikuwahi kuona yeye ndo chanzo cha kila kitu katika maisha yangu.

Tufikiri kidogo. Yale mabaya yote aliyoyafanya au daiwa kuyafanya makonda amewajibika kwayo?ameshtakiwa? Hapana. Ila watanzania wanafurahia tu kuwa makonda si mkuu wa mkoa wa dsm.wameridhika.

Sabaya kijana mjueri na fedhuli kwa kila namna. Naye ameondelewa kwenye nafasi yake. Watanzania wanashukuru na kusema ndiyo zawadi ya sikukuu. Mh Rais akapumzike tu hata mwaka.

Yaani matatizo yote ya watanzania yameisha kwa sabaya kuvuliwa cheo.na hapo Mh. Rais amefanya kazi kubwa sana ya kutukuka. Wamemaliza maisha yanaendelea.

Nani aliyeturoga sisi watanzania?ambao kwa kiasi kikubwa tunaendeshwa na ashki,mihemko na jazba? Je matatizo ya waliotuibia pesa,waliotutesa,waliotufisadi,waliotudhuru ni kuvuliwa tu vyeo?baada ya hapo maisha yanaendelea?

Nliwahi sema watanzania ukiwafahamu ni rahisi sana kuwaongoza. Hawana makuu.mambo madogo madogo sana huyafanya makuu. Ukicheza na hayo unawaongoza milele.

Watanzania wengi ukishika kitambaa chekundu ukataka kujua wao wanasemaje. Usitake rangi ya kitambaa kwanza.waulize "nyie mnaona hiki kitambaa ni rangi gani?" wakisema cheusi. Waambie "swadakta nmeshika kitambaa cheusi hii ni rangi iliyopo kwenye bendera ya Taifa" watakushangilia sana.

Watanzania hawa hawa ndo walikuwa wanashangilia wenzao wakidhalilishwa kwenye mikutano.na hawa wakijakutwa nayo wao wana ruka kimanga.

Watanzania mpaka sasa hawajui wanataka nini.hawajui inchi yao inaenda wapi,hawajui wao wanaendesha vipi nchi.

Sukari shida,mafuta ya kupikia shida,madeni ya mkoponwa Helsb yalipandishwa asilimia kinyume na utaratibu.watanzania hayo hawaoni ni shida.

Watanzania wanapenda vitu rahisi rahisi tu. Wanafurahia vitu rahisi rahisi tu. Hawapendi kuumiza kichwa,hawajui mustakabali wa nchi yao na maisha yao.

Miaka 5 itakatika. Hamna tulichofanya kama nchi. Ila tutafurahi na kuruka ruka. Itakuja tena mingine. Tutashtuka. Matajiri wanabaki kuwa (wenyenchi) ni wanasiasa na maskini ni (wananchi) raia.

Hawatauliza kodi zao miaka yote kwa nini zinatajirisha wanasiasa?mtanzania anayepokea tsh 250,000 anakatwa kodi mbunge anayepokea zaidi ya mil 5. Hakatwi kodi. Bado tunaamini tatizo letu kubwa ni Sabaya na aliyekuwa Makonda. Wanasiasa watazidi kunawiri na kutuua pale tunapohatarisha vyeo vyao. Sababu hatuna akili.
Hizi verses huwa zinatumika sana ku'justify' mambo ya ovyo ovyo. Ni kama text inayotumiwa na wanasiasa na washirika wao: 'tiini mamlaka kwa sababu yamewekwa na Mungu' (Warumi 13:1-7).
 
Jambo alilofanya Samia Suluhu la kumpumzisha Aliyekuwa DC wa Hai Bwana Sabaya linapaswa liwe jadi ya nchi na wananchi husika. Halipaswi liwe ni jambo kuu la kitaifa katika ulimwengu wa watu wastaarabu,wenye akili au uelewa.

Alikuwepo Makonda Dar es salaam.alifanya aliyoyafanya mpaka alipokuja kutokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm. Watu wakafurahi sana wakiamini kukwama kwao kiuchumi na mateso wanayoyapata ni kutokana na Makonda. Na sasa hayupo wamepata suluhisho.

Makonda yupo mtaani anaendelea na maisha yake,hajafirisika,hana tatizo hana tu cheo cha ukuu wa mkoa ambacho by the way hakuzaliwa nacho so hajapungukiwa kitu maishani. Ana utajiri wake na miradi yake inaendelea. Watanzania wamebaki maskini, wana shida,wananyaswa n.k ila wamefurahi makonda si mkuu wa mkoa.

Binafsi sikuwahi mpenda Makonda. Sababu ni nyingi tu. Lakini sikuwahi kuona yeye ndo chanzo cha kila kitu katika maisha yangu.

Tufikiri kidogo. Yale mabaya yote aliyoyafanya au daiwa kuyafanya makonda amewajibika kwayo?ameshtakiwa? Hapana. Ila watanzania wanafurahia tu kuwa makonda si mkuu wa mkoa wa dsm.wameridhika.

Sabaya kijana mjueri na fedhuli kwa kila namna. Naye ameondelewa kwenye nafasi yake. Watanzania wanashukuru na kusema ndiyo zawadi ya sikukuu. Mh Rais akapumzike tu hata mwaka.

Yaani matatizo yote ya watanzania yameisha kwa sabaya kuvuliwa cheo.na hapo Mh. Rais amefanya kazi kubwa sana ya kutukuka. Wamemaliza maisha yanaendelea.

Nani aliyeturoga sisi watanzania?ambao kwa kiasi kikubwa tunaendeshwa na ashki,mihemko na jazba? Je matatizo ya waliotuibia pesa,waliotutesa,waliotufisadi,waliotudhuru ni kuvuliwa tu vyeo?baada ya hapo maisha yanaendelea?

Nliwahi sema watanzania ukiwafahamu ni rahisi sana kuwaongoza. Hawana makuu.mambo madogo madogo sana huyafanya makuu. Ukicheza na hayo unawaongoza milele.

Watanzania wengi ukishika kitambaa chekundu ukataka kujua wao wanasemaje. Usitake rangi ya kitambaa kwanza.waulize "nyie mnaona hiki kitambaa ni rangi gani?" wakisema cheusi. Waambie "swadakta nmeshika kitambaa cheusi hii ni rangi iliyopo kwenye bendera ya Taifa" watakushangilia sana.

Watanzania hawa hawa ndo walikuwa wanashangilia wenzao wakidhalilishwa kwenye mikutano.na hawa wakijakutwa nayo wao wana ruka kimanga.

Watanzania mpaka sasa hawajui wanataka nini.hawajui inchi yao inaenda wapi,hawajui wao wanaendesha vipi nchi.

Sukari shida,mafuta ya kupikia shida,madeni ya mkoponwa Helsb yalipandishwa asilimia kinyume na utaratibu.watanzania hayo hawaoni ni shida.

Watanzania wanapenda vitu rahisi rahisi tu. Wanafurahia vitu rahisi rahisi tu. Hawapendi kuumiza kichwa,hawajui mustakabali wa nchi yao na maisha yao.

Miaka 5 itakatika. Hamna tulichofanya kama nchi. Ila tutafurahi na kuruka ruka. Itakuja tena mingine. Tutashtuka. Matajiri wanabaki kuwa (wenyenchi) ni wanasiasa na maskini ni (wananchi) raia.

Hawatauliza kodi zao miaka yote kwa nini zinatajirisha wanasiasa?mtanzania anayepokea tsh 250,000 anakatwa kodi mbunge anayepokea zaidi ya mil 5. Hakatwi kodi. Bado tunaamini tatizo letu kubwa ni Sabaya na aliyekuwa Makonda. Wanasiasa watazidi kunawiri na kutuua pale tunapohatarisha vyeo vyao. Sababu hatuna akili.
Nimesoma andiko lako kea umakini Sana lkn kea kiasi kikubwa limekosa mashiko.labda nitulize ni watanzabia wangapi waliokuwa wanajua makonda au sabaya.je ni nani hao ambao wamefurahia kuondolewa kwa makonda au sabaya ktk vyeo vyao?je ni kweli watanzania hawana akili na hawajui yanayoendelea nchini kwao?je kweli watu wa Arusha au dar ndo walikuwa wanawachukia hao watu au ni kakundi tu kadogo la majizi na kakifisadi ndo kalikuwa kinyume na hao watu.je haji kakikundi kanaweza kuwawakilisha watanzania wote? Nadhani ukiyatafakari maswali yangu kwa kina utakuwa ktk nafasi nzuri ya kuliweka au kubadilisha kabisa bandiko lako ili liweze kuwa na hoja vinginevyo nalichukulia bandiko lako Kama ni upotoshaji Kama ulivyo mwingine.
 
Ok ndugu yako amepotea sijui mke wako!!ndio inaumiza sana,je kuondolewa kwenye cheo uyo aliekuumiza ndio solution!!! Mleta uzi kaandika vizuri tu,kama haki isipotendeka na ikaonekana,atakuja mwingine ataumiza tena watu na kutia watu ulemavu, atatolewa na maisha yataendelea, CCM wanaelewa akili za watanzania usitegemee hata siku moja,watakuja kuwatendea haki!!
Nilivyomuelewa Rais akamsimamisha kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili. Sasa tusubiri baada ya uchunguzi Nini kitafuata.
 
Jambo alilofanya Samia Suluhu la kumpumzisha Aliyekuwa DC wa Hai Bwana Sabaya linapaswa liwe jadi ya nchi na wananchi husika. Halipaswi liwe ni jambo kuu la kitaifa katika ulimwengu wa watu wastaarabu,wenye akili au uelewa.

Alikuwepo Makonda Dar es salaam.alifanya aliyoyafanya mpaka alipokuja kutokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm. Watu wakafurahi sana wakiamini kukwama kwao kiuchumi na mateso wanayoyapata ni kutokana na Makonda. Na sasa hayupo wamepata suluhisho.

Makonda yupo mtaani anaendelea na maisha yake,hajafirisika,hana tatizo hana tu cheo cha ukuu wa mkoa ambacho by the way hakuzaliwa nacho so hajapungukiwa kitu maishani. Ana utajiri wake na miradi yake inaendelea. Watanzania wamebaki maskini, wana shida,wananyaswa n.k ila wamefurahi makonda si mkuu wa mkoa.

Binafsi sikuwahi mpenda Makonda. Sababu ni nyingi tu. Lakini sikuwahi kuona yeye ndo chanzo cha kila kitu katika maisha yangu.

Tufikiri kidogo. Yale mabaya yote aliyoyafanya au daiwa kuyafanya makonda amewajibika kwayo?ameshtakiwa? Hapana. Ila watanzania wanafurahia tu kuwa makonda si mkuu wa mkoa wa dsm.wameridhika.

Sabaya kijana mjueri na fedhuli kwa kila namna. Naye ameondelewa kwenye nafasi yake. Watanzania wanashukuru na kusema ndiyo zawadi ya sikukuu. Mh Rais akapumzike tu hata mwaka.

Yaani matatizo yote ya watanzania yameisha kwa sabaya kuvuliwa cheo.na hapo Mh. Rais amefanya kazi kubwa sana ya kutukuka. Wamemaliza maisha yanaendelea.

Nani aliyeturoga sisi watanzania?ambao kwa kiasi kikubwa tunaendeshwa na ashki,mihemko na jazba? Je matatizo ya waliotuibia pesa,waliotutesa,waliotufisadi,waliotudhuru ni kuvuliwa tu vyeo?baada ya hapo maisha yanaendelea?

Nliwahi sema watanzania ukiwafahamu ni rahisi sana kuwaongoza. Hawana makuu.mambo madogo madogo sana huyafanya makuu. Ukicheza na hayo unawaongoza milele.

Watanzania wengi ukishika kitambaa chekundu ukataka kujua wao wanasemaje. Usitake rangi ya kitambaa kwanza.waulize "nyie mnaona hiki kitambaa ni rangi gani?" wakisema cheusi. Waambie "swadakta nmeshika kitambaa cheusi hii ni rangi iliyopo kwenye bendera ya Taifa" watakushangilia sana.

Watanzania hawa hawa ndo walikuwa wanashangilia wenzao wakidhalilishwa kwenye mikutano.na hawa wakijakutwa nayo wao wana ruka kimanga.

Watanzania mpaka sasa hawajui wanataka nini.hawajui inchi yao inaenda wapi,hawajui wao wanaendesha vipi nchi.

Sukari shida,mafuta ya kupikia shida,madeni ya mkoponwa Helsb yalipandishwa asilimia kinyume na utaratibu.watanzania hayo hawaoni ni shida.

Watanzania wanapenda vitu rahisi rahisi tu. Wanafurahia vitu rahisi rahisi tu. Hawapendi kuumiza kichwa,hawajui mustakabali wa nchi yao na maisha yao.

Miaka 5 itakatika. Hamna tulichofanya kama nchi. Ila tutafurahi na kuruka ruka. Itakuja tena mingine. Tutashtuka. Matajiri wanabaki kuwa (wenyenchi) ni wanasiasa na maskini ni (wananchi) raia.

Hawatauliza kodi zao miaka yote kwa nini zinatajirisha wanasiasa?mtanzania anayepokea tsh 250,000 anakatwa kodi mbunge anayepokea zaidi ya mil 5. Hakatwi kodi. Bado tunaamini tatizo letu kubwa ni Sabaya na aliyekuwa Makonda. Wanasiasa watazidi kunawiri na kutuua pale tunapohatarisha vyeo vyao. Sababu hatuna akili.
Mie hata sielewi umeandika ujinga gani
 
Ok ndugu yako amepotea sijui mke wako!!ndio inaumiza sana,je kuondolewa kwenye cheo uyo aliekuumiza ndio solution!!! Mleta uzi kaandika vizuri tu,kama haki isipotendeka na ikaonekana,atakuja mwingine ataumiza tena watu na kutia watu ulemavu, atatolewa na maisha yataendelea, CCM wanaelewa akili za watanzania usitegemee hata siku moja,watakuja kuwatendea haki!!
Chief umejaribu kutaka kutuelewesha. Lakini nakwambia mtoa maada hata haeleweki. Kwake yeye mtoa mada hata hao jamaa wakiadhibiwa haitaondoa umaskini wa watanzania. Ndio hoja yake. Sasa Mimi nasema hivi. Siye ni maskini yesi, tuacheni na umaskini wetu tumeizoea. Msituletee tena viongozi makatili kama sabaya, makonda etal kuja kutuletea machungu zaidi ya huu umaskini tilonao kwa kujeruhi, kuua ama kupoteza ndugu zetu.
 
Chief umejaribu kutaka kutuelewesha. Lakini nakwambia mtoa maada hata haeleweki. Kwake yeye mtoa mada hata hao jamaa wakiadhibiwa haitaondoa umaskini wa watanzania. Ndio hoja yake. Sasa Mimi nasema hivi. Siye ni maskini yesi, tuacheni na umaskini wetu tumeizoea. Msituletee tena viongozi makatili kama sabaya, makonda etal kuja kutuletea machungu zaidi ya huu umaskini tilonao kwa kujeruhi, kuua ama kupoteza ndugu zetu.
Huelewi. Nashangaa nmetumia kiswahili chepesi sana na bado hujaweza kuelewa. Nmekuuliza makonda mbali na kutokuwa na cheo aliadhibiwa vipi? Nlikuuliza nani aliwahi fungua kesi juu ya sabaya au sasa kaenda fungua kesi? Shida mnasoma mwa mihemko mnashindwa hata kuelewa vitu vyepesi. Kwa hiyo mnaamini mtu akivuliwa cheo ndo amepata adhabu inatosha? Huu ni upumbavu. Akili ni kutaka hatua zaidi zichukuliwe
 
Jambo alilofanya Samia Suluhu la kumpumzisha Aliyekuwa DC wa Hai Bwana Sabaya linapaswa liwe jadi ya nchi na wananchi husika. Halipaswi liwe ni jambo kuu la kitaifa katika ulimwengu wa watu wastaarabu,wenye akili au uelewa.

Alikuwepo Makonda Dar es salaam.alifanya aliyoyafanya mpaka alipokuja kutokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm. Watu wakafurahi sana wakiamini kukwama kwao kiuchumi na mateso wanayoyapata ni kutokana na Makonda. Na sasa hayupo wamepata suluhisho.

Makonda yupo mtaani anaendelea na maisha yake,hajafirisika,hana tatizo hana tu cheo cha ukuu wa mkoa ambacho by the way hakuzaliwa nacho so hajapungukiwa kitu maishani. Ana utajiri wake na miradi yake inaendelea. Watanzania wamebaki maskini, wana shida,wananyaswa n.k ila wamefurahi makonda si mkuu wa mkoa.

Binafsi sikuwahi mpenda Makonda. Sababu ni nyingi tu. Lakini sikuwahi kuona yeye ndo chanzo cha kila kitu katika maisha yangu.

Tufikiri kidogo. Yale mabaya yote aliyoyafanya au daiwa kuyafanya makonda amewajibika kwayo?ameshtakiwa? Hapana. Ila watanzania wanafurahia tu kuwa makonda si mkuu wa mkoa wa dsm.wameridhika.

Sabaya kijana mjueri na fedhuli kwa kila namna. Naye ameondelewa kwenye nafasi yake. Watanzania wanashukuru na kusema ndiyo zawadi ya sikukuu. Mh Rais akapumzike tu hata mwaka.

Yaani matatizo yote ya watanzania yameisha kwa sabaya kuvuliwa cheo.na hapo Mh. Rais amefanya kazi kubwa sana ya kutukuka. Wamemaliza maisha yanaendelea.

Nani aliyeturoga sisi watanzania?ambao kwa kiasi kikubwa tunaendeshwa na ashki,mihemko na jazba? Je matatizo ya waliotuibia pesa,waliotutesa,waliotufisadi,waliotudhuru ni kuvuliwa tu vyeo?baada ya hapo maisha yanaendelea?

Nliwahi sema watanzania ukiwafahamu ni rahisi sana kuwaongoza. Hawana makuu.mambo madogo madogo sana huyafanya makuu. Ukicheza na hayo unawaongoza milele.

Watanzania wengi ukishika kitambaa chekundu ukataka kujua wao wanasemaje. Usitake rangi ya kitambaa kwanza.waulize "nyie mnaona hiki kitambaa ni rangi gani?" wakisema cheusi. Waambie "swadakta nmeshika kitambaa cheusi hii ni rangi iliyopo kwenye bendera ya Taifa" watakushangilia sana.

Watanzania hawa hawa ndo walikuwa wanashangilia wenzao wakidhalilishwa kwenye mikutano.na hawa wakijakutwa nayo wao wana ruka kimanga.

Watanzania mpaka sasa hawajui wanataka nini.hawajui inchi yao inaenda wapi,hawajui wao wanaendesha vipi nchi.

Sukari shida,mafuta ya kupikia shida,madeni ya mkoponwa Helsb yalipandishwa asilimia kinyume na utaratibu.watanzania hayo hawaoni ni shida.

Watanzania wanapenda vitu rahisi rahisi tu. Wanafurahia vitu rahisi rahisi tu. Hawapendi kuumiza kichwa,hawajui mustakabali wa nchi yao na maisha yao.

Miaka 5 itakatika. Hamna tulichofanya kama nchi. Ila tutafurahi na kuruka ruka. Itakuja tena mingine. Tutashtuka. Matajiri wanabaki kuwa (wenyenchi) ni wanasiasa na maskini ni (wananchi) raia.

Hawatauliza kodi zao miaka yote kwa nini zinatajirisha wanasiasa?mtanzania anayepokea tsh 250,000 anakatwa kodi mbunge anayepokea zaidi ya mil 5. Hakatwi kodi. Bado tunaamini tatizo letu kubwa ni Sabaya na aliyekuwa Makonda. Wanasiasa watazidi kunawiri na kutuua pale tunapohatarisha vyeo vyao. Sababu hatuna akili.
Una njaa? - NDIO
Umeshiba? - NDIO
 
Back
Top Bottom