goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 794
- 865
Usishangae wakaondolewa tuliambiwa Mh SSH anafatilia habari za mitandaoni na huenda Aya ndo matatizo ya watanzania anayafanyia kazi mkuu...Time will tellWabongo wepesi sana, bado sana yani, imagine hadi watu wanaweka status picha ya jamaa akimlilia mwendazake, wengine wanataka rc wa Mbeya aondolewe, wafurahie zaidi. Hovyo kweli kweli