Watanzania wengi ni watu wasiokuwa na ustaarabu katika kuongea

Ukiongea na mtu wa mataifa ya nje msipokubaliana ataacha mazungumzo yaishe atazame mambo mengine. Ila ukiongea na mtanzania halafu mkashindwa kukubaliana atakurushia matusi hata ya nguoni. Kama huamini, pitia JF hapa hapa uone jinsi maneno ya "Mpumbavu" na "mjinga" yanavyotumika. Ukiinga Youtube, instagram na Facebook huko ndiyo usiseme kabisa.

Sababu yake ni nini? stress za maisha au elimu ndogo?
We mjinga nini😎
 
Sababu yake ni nini? stress za maisha au elimu ndogo?

Sababu ya upumbavu wa watoa matusi 😂

Usishangae kuona nimetumia neno upumbavu na umetoka kulikemea, upumbavu ni matokeo ya kuwa na stress, elimu mdogo, malezi mabovu, ukosefu wa maadili n.k
 
Ukiongea na mtu wa mataifa ya nje msipokubaliana ataacha mazungumzo yaishe atazame mambo mengine. Ila ukiongea na mtanzania halafu mkashindwa kukubaliana atakurushia matusi hata ya nguoni. Kama huamini, pitia JF hapa hapa uone jinsi maneno ya "Mpumbavu" na "mjinga" yanavyotumika. Ukiinga Youtube, instagram na Facebook huko ndiyo usiseme kabisa.

Sababu yake ni nini? stress za maisha au elimu ndogo?
Ni hasira tu za maisha zinafanya watu wanakuwa na chuki zisizokuwa na sababu na kutukana hovyo
 
Huku ni kuongea katika maandishi. Kwani kuongea ni lazima matamshi pekee? Nafikiri ujifunze aina za lugha mkuu.
Kuwasiliana kwa maandishi/kuandika. Hakunaga kuongea kwa kuandika

Kuongea ni kuongea na kuandika ni kuandika..Hiv ni vitu tofauti.

Katika aina zote za lugha hakuna aina hiyonya lugha , kuongea kwa kuandika
 
Kuwasiliana kwa maandishi/kuandika. Hakunaga kuongea kwa kuandika

Kuongea ni kuongea na kuandika ni kuandika..Hiv ni vitu tofauti.

Katika aina zote za lugha hakuna aina hiyonya lugha , kuongea kwa kuandika
Ni swala la communication skills. Whether unawasiliana kwa kuongea au kwa kuandika au kwa alama za vidole; bado ni mawasiliano tu. Watanzabia wanakimbilia sana matusi
 
Ni swala la communication skills. Whether unawasiliana kwa kuongea au kwa kuandika au kwa alama za vidole; bado ni mawasiliano tu. Watanzabia wanakimbilia sana matusi
Sasa watanzania ulio interact nao hawafikia hata 10% how do u come up with this sort of generalization??
 
ndio kazi aliyoifanya nyerere,tumezoeana kiasi kikubwa sana kufanya tusifumiliane mmoja akiamua kuwa mpumbavu.lazima vita ya maneno izuke.

lakini ukweli tunajaliana sana tofauti na watu wa mataifa mengine.
 
Sasa watanzania ulio interact nao hawafikia hata 10% how do u come up with this sort of generalization??
Umejuaje kuwa pasenteji ya watanzania ninakutana nao ni 105 tu. Kwani unadhani mimi siyo mtanzania na hivyo sikumbani na mazungumzo baina ya watanzania katika maisha yangu?
 
Ukiongea na mtu wa mataifa ya nje msipokubaliana ataacha mazungumzo yaishe atazame mambo mengine. Ila ukiongea na mtanzania halafu mkashindwa kukubaliana atakurushia matusi hata ya nguoni. Kama huamini, pitia JF hapa hapa uone jinsi maneno ya "Mpumbavu" na "mjinga" yanavyotumika. Ukiinga Youtube, instagram na Facebook huko ndiyo usiseme kabisa.

Sababu yake ni nini? stress za maisha au elimu ndogo?
Dah

Kaka

Hawa watanzania gani unakutana nao?
 
Umejuaje kuwa pasenteji ya watanzania ninakutana nao ni 105 tu. Kwani unadhani mimi siyo mtanzania na hivyo sikumbani na mazungumzo baina ya watanzania katika maisha yangu?
AM sure haifiki 10%. Tena nao unakutana nao daily kwa kujirudia rudia. Yan kuna mahala umeji position mfano hapa JF unakutana na posts za watu wale wale kila siku halaf wewe unafikiri hao ndio watanzaniq (wote)
 
Ukiongea na mtu wa mataifa ya nje msipokubaliana ataacha mazungumzo yaishe atazame mambo mengine. Ila ukiongea na mtanzania halafu mkashindwa kukubaliana atakurushia matusi hata ya nguoni. Kama huamini, pitia JF hapa hapa uone jinsi maneno ya "Mpumbavu" na "mjinga" yanavyotumika. Ukiinga Youtube, instagram na Facebook huko ndiyo usiseme kabisa.

Sababu yake ni nini? stress za maisha au elimu ndogo?


Angalia kundi la wa Tanzania unaoongea nao, ni kundi la hovyo.
 
AM sure haifiki 10%. Tena nao unakutana nao daily kwa kujirudia rudia. Yan kuna mahala umeji position mfano hapa JF unakutana na posts za watu wale wale kila siku halaf wewe unafikiri hao ndio watanzaniq (wote)
Siyo kweli.

Mfano mmoja ni huu: Mwezi July mwaka jana nilkwenda Benki kubadili pesa za kigeni nikiwa nimevaa kofia na kaptula la mifuko mingi. Jamaa niliyekutana naye mlangoni aliniambia nivue kofia; nikadhani kuwa alinitaka kuvua kofia kusaidia labda kujihakikishia kuwa sikuficha kitu kwenye kofia na vile vile kutaka sura yangu ionekane kikamilifu kwenye camera zao iwapo nitafanya ujambazi na kukimbia. Nikatii amri yake; baada ya kufanya hivyo nikachukua makaratasi ya kuandika kuonyesha ninataka kubadilisha kiasi gani. Baada ya kumpa teller na kumaliza kuthibitisha, akanipa Shillingi zangu nikazibabanisha mifukoni mwa kaptula langu kwa vile zilikuwa nyingi kidogo na baadaye kuvaa kofia yangu tayari kwa kuondoka. Yule mlinzi akanifuata haraka kwa matusi makubwa kuwa kwa nini nimevaa kofia ningali benki wakati nilikuwa naondoka benki na nimeshamaliza transactions zilizonipeleka pale. Yale matusi aliyonirushia ni mojawapo ya reflection ya tabia za watanzania wengi; siyo wa mtandaoni tu
 
Back
Top Bottom