Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

Pscal si kweli, tunathamini vya kwetu sana... mbona ulipouliza swali la akili sana kila mmoja applauded you
Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.
Do you believe this?.
P
 
Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.
Do you believe this?.
Vuguvugu la katiba nakubali kuwa ndiyo chanzo cha Mbowe kukamatwa, ila la tozo hapana. Tozo zimekuja juzi Mbowe yuko ndani...
Authoritative source unaipata wapi katika mazigira ya uhuru wa habari Tanzania?
Mwisho , kwa matamshi ya Samia kuhusu Mbowe,ni dhahiri kuna amri toka kwake akamatwe. Inakuwaje dunia nzima (may be ukiacha China na Russia) iko upande wa Mbowe? Wote ni "washenzi" wa kushabikia ugaid?
 
Tanzania tuwe makini sana kwa kila jambo tufanyalo......Ghadafi alikkuwepo na akawa anapingana na hao watu tunawaita MABEBERU ila alichokipata kila mtu aliona na wakaribu kabisaa nchi nzima....So watanzania tusije kujifanya wajanja na tunajuwa kila kitu hao mabeberu ndio wanaongoza kila kitu kwenye hii dunia....Wanaona kila kitu MBOWE anafanyiwa...Watakuja kutuvuruga na kuaribu nchi nzima....
 
Pascal usicheze na teknolojia, huwezi fahamu labda tulishadukuliwa kwenye maongezi kupitia kwenye mitandao ndio maana wakasema hivyo.
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Kipindi chote cha Mtangulizi, hizi media za nje zimekuwa zikituzushia mambo mengi tuu ya uongo na uzushi na serikali yetu imekuwa ikinyamaza bila kujibu, matokeo yake ni dunia kuaminishwa uongo, hivyo nashauri serikali yetu, awamu hii, tusinyamazie uongo na uzushi, tujibu mapigo tena kwenye vyombo vyao hivyo hivyo vya kimataifa. Tanzania tuna BBC, Reuters, DW, VOA, Blumberg, SABC, RFI, la Xhinua, tuwaite tuwaeleze ukweli, dawa ya uongo ni kuusema ukweli. Uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, sio tuu utaonekana kama ndio ukweli, bali sometimes hugeuka ukweli kabisa na kuja kutokea kwa sababu kauli nyingine huumba, kama uongo huu
Huu ulikuwa ni uongo tuu na uzushi, tukaunyamazia, ukaja kutokea kweli.

Tanzania ya Samia, tusinyamazie uongo na uzushi, wakizusha tuwaite tuwaeleze ukweli.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu media za Mabeberu.







Mkuu hata sisi wengine tuwe na hadhari hiyo?
 
Pascal wewe ni Msomi, kutumia neno BEBERU ni ubaguzi na matusi, unakuwa umeichafua sifa yako, tumia maneni yenye staha
Beberu ni neno tuu, pale wanapotusaidia, ni watu wema kwetu na tunawaita majina mazuri. The donor community, development partners, friendly countries, nchi wafadhili, nchi wahisani, wadau wa maendeleo, ila wanapotutenda maovu ndio wanakuwa mabeberu. Mimi ni muumini wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na muumini wa falsafa ya Uumajumui wa Pan Africanism, beberu ni beberu tuu, na ubeberu ni imperialism.
P
 
Beberu ni neno tuu, pale wanapotusaidia, ni watu wema kwetu na tunawaita majina mazuri. The donor community, development partners, friendly countries, nchi wafadhili, nchi wahisani, wadau wa maendeleo, ila wanapotutenda maovu ndio wanakuwa mabeberu. Mimi ni muumini wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na muumini wa falsafa ya Uumajumui wa Pan Africanism, beberu ni beberu tuu, na ubeberu ni imperialism.
P
Kuna uzi huko mtu mmoja amekuomba msaha alikutngia uongo kuhusu kabendera
 
Ni kawaida kwa binaadamu kudharau chake na kuthamini cha mwenzie!. News yenyewe umeisoma?.
Wametafuta source from any reliable source?.
Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.
Vpi na wewe unawaamini mabeberu hawa kwamba ni mama Sa100 ndio kamsukumilizia Mbowe ndani?.
P
Ungekuwa na mshipa wa aibu,Wala usingeandika huu upuuzi!Kwa statements alizokwishatoa Samia,ni wazi ana personal agenda na Mbowe!
 
Ni kawaida kwa binaadamu kudharau chake na kuthamini cha mwenzie!. News yenyewe umeisoma?.
Wametafuta source from any reliable source?.
Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.
Vpi na wewe unawaamini mabeberu hawa kwamba ni mama Sa100 ndio kamsukumilizia Mbowe ndani?.
P
Kwani hujamsikia bi mkubwa juzi kwamba FAM kamvunjia heshima...ila anaweza kumsamehe akitubu??
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Kipindi chote cha Mtangulizi, hizi media za nje zimekuwa zikituzushia mambo mengi tuu ya uongo na uzushi na serikali yetu imekuwa ikinyamaza bila kujibu, matokeo yake ni dunia kuaminishwa uongo, hivyo nashauri serikali yetu, awamu hii, tusinyamazie uongo na uzushi, tujibu mapigo tena kwenye vyombo vyao hivyo hivyo vya kimataifa. Tanzania tuna BBC, Reuters, DW, VOA, Blumberg, SABC, RFI, la Xhinua, tuwaite tuwaeleze ukweli, dawa ya uongo ni kuusema ukweli. Uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, sio tuu utaonekana kama ndio ukweli, bali sometimes hugeuka ukweli kabisa na kuja kutokea kwa sababu kauli nyingine huumba, kama uongo huu
Huu ulikuwa ni uongo tuu na uzushi, tukaunyamazia, ukaja kutokea kweli.

Tanzania ya Samia, tusinyamazie uongo na uzushi, wakizusha tuwaite tuwaeleze ukweli.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu media za Mabeberu.





Kaza mwendo,ukivuka Jordan utakuwa umeingia nchi ya maziwa na asali
SIYO VIBAYA KUTAFUTA RIZIKI YA WATOTO KWA KUJIPAMBANUA HADHARANI,KAMA WALE KINA DADA KULE OHIO

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Kipindi chote cha Mtangulizi, hizi media za nje zimekuwa zikituzushia mambo mengi tuu ya uongo na uzushi na serikali yetu imekuwa ikinyamaza bila kujibu, matokeo yake ni dunia kuaminishwa uongo, hivyo nashauri serikali yetu, awamu hii, tusinyamazie uongo na uzushi, tujibu mapigo tena kwenye vyombo vyao hivyo hivyo vya kimataifa. Tanzania tuna BBC, Reuters, DW, VOA, Blumberg, SABC, RFI, la Xhinua, tuwaite tuwaeleze ukweli, dawa ya uongo ni kuusema ukweli. Uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, sio tuu utaonekana kama ndio ukweli, bali sometimes hugeuka ukweli kabisa na kuja kutokea kwa sababu kauli nyingine huumba, kama uongo huu
Huu ulikuwa ni uongo tuu na uzushi, tukaunyamazia, ukaja kutokea kweli.

Tanzania ya Samia, tusinyamazie uongo na uzushi, wakizusha tuwaite tuwaeleze ukweli.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu media za Mabeberu.






Bwana pascal Mayala bado unaamini kwenye hili andiko lako?
 
Back
Top Bottom