Rais Samia katuwezeshea Watanzania ujasiri wa kuhoji na kukosoa bila kuogopa kiasi kwamba ni rahisi kumkosoa Rais kuliko Mbowe

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Leo Watanzania ni wajasiri sana wa kuhoji na kukosoa kijasiri Kila kinachofanyika bila hofu wala uoga ,sio mitandaoni wala mitaani nguvu ya kuhoji na kukosoa inaongezeka.

Nitakuwa mchoyo wa shukrani kama nisipompongeza kiongozi wetu shupavu Rais Samia kwa kutufikisha kwenye ujasiri huu.

Rais Samia ametujengea ujasiri wa kuhoji na kukosoa kiasi kwamba watu wana ujasiri wa kumkosoa Rais Samia kuliko kumkosoa Mbowe juu ya matumizi ya ruzuku na ukomo wa madaraka.
 
Mbowe ni kigando,dictator na king'ang'anizi hang'oki na aondoki yaani yeye chadema ni alfa na omega, jaribu kumchomoa uone moto wake .
 
Leo Watanzania ni wajasiri sana wa kuhoji na kukosoa kijasiri Kila kinachofanyika bila hofu wala uoga ,sio mitandaoni wala mitaani nguvu ya kuhoji na kukosoa inaongezeka.

Nitakuwa mchoyo wa shukrani kama nisipompongeza kiongozi wetu shupavu Rais Samia kwa kutufikisha kwenye ujasiri huu.

Rais Samia ametujengea ujasiri wa kuhoji na kukosoa kiasi kwamba watu wana ujasiri wa kumkosoa Rais Samia kuliko kumkosoa Mbowe juu ya matumizi ya ruzuku na ukomo wa madaraka.
Chawa mwenzio amesema anampongeza mama hawezi kumpongeza Mbowe. Naona Kila chawa anakuja na shairi lake, laki utunzi ni uleule.
 
Kwa hili la uhuru wa kuzungumza Mh. Rais Samia Hana wakumfananisha ameweza akaweza tena
 
Back
Top Bottom