Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,793
Sio siri, Watanzania Tunajulikana kwa UVIVU.Siri za ndani ya nyumba yako unapoziweka hadharani dunia nzima izisome wewe unafaidika nini ? Unapokojoa kitandani kisha ukahadithia mtaa mzima wewe itakusaidia nini ? jaribu kuwa msaarabu, na pia kumbuka suala la uvivu ni hulka ya mtu ambayo huenda imechangiwa na malezi lakini usijumuishe watanzania wote.
Asilimia kubwa ya Watanzania kama 96% ni WAVIVU hata Kenya tu majirani wanatujua.
Ila hapo kwenye daladala kwakweli sio wavivu ila kwingineko...Airport, Bandarini, Hotelini n.k WAVIVUUU.