Siku ukujitambua utaacha huo utotoMvivu Nini mbona povu?
Siku ukujitambua utaacha huo utotoMvivu Nini mbona povu?
Haya mukubwaSiku ukujitambua utaacha huo utoto
Ni kweli kabisa. Ninapoishi ukitaka kununua kitu dukani asubuhi mapema huwezi kupata hadi maduka yafunguliwe saa mbili mbili hivi. Nimeshawahi kwenda dukani na buku mbili kununua bidhaa za 600 muuzaji kakaa tu hata bila kujishughulisha kirahisi rahisi ten kwa dharau anakwambia hana chenji. So Mara moja nimeshawahi kuondoka hotelini bila kuhudumiwa kwa uvivu wa wahudumu wako busy kuangalia Tv.Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
Nje hamna Kaka wala shangazi, usipojituma huli, n'a wengi miongoni mwa wanaoishi nchi zenye kulipa mafao mtu Asie n'a kazi, basi huishia hayo hayo mafao !!!Watanzania sio wavivu sema fursa nyingi zina password watu wengi hawapendi wenzao wawe na mafanikio..ndio maana ni rahisi kwa mgeni kupiga pesa huku ninyi wenyewe mkipigana vikumbo...mbona huko nje Watz ndio wanapiga sana kazi mkuu
Ni kweli kabisa. Ninapoishi ukitaka kununua kitu dukani asubuhi mapema huwezi kupata hadi maduka yafunguliwe saa mbili mbili hivi. Nimeshawahi kwenda dukani na buku mbili kununua bidhaa za 600 muuzaji kakaa tu hata bila kujishughulisha kirahisi rahisi ten kwa dharau anakwambia hana chenji. So Mara moja nimeshawahi kuondoka hotelini bila kuhudumiwa kwa uvivu wa wahudumu wako busy kuangalia Tv.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu utamkuta kutwa kwa waganga wakati yeye ndio mchawi
Sent from my iPhone using Tapatalk