Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,094
- 1,375
Ni kweli watz ni wavivu na watu wa majungu sana, mfano hai ni huyu mbunge sijui Lissu badala ya kupiga kazi jimbo lake lijitoe kwenye umaskini wa hali ya juu yy anapiga domo kuwatetea wazungu wanaotuibia dhahabu yetu...kama sio uvivu ni nini?? Kupenda pesa za rahisi rahisi za kuhongwa kupiga domo.hovyooo
