Watanzania tu wavivu mno!

Watanzania tu wavivu mno!

Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
Kwa hivo unapinga kauli mbiu ya "HAPA KAZI TU?"Unatumia "research sample"ya kijijini kwenu kutoa takwimu za kitaifa ? Ni watanzania wangapi wanaoishi kwa chakula cha msaada ? Ni watanzania wangapi wana Kazi ?
 
Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
Uvivu ni malezi mkuu kuanzia ngazi ya familia mpk taifani!Unakuta mtoto kalelewa kivivuvivu tu toka kwny familia yake anaenda kuajiriwa chini ya kiongozi mvivumvivu tu ambae anaongozwa na mfumo wa kivivukivivu tu na mwisho taifa zima linakuwa la wavivu tu!
 
hata mm nimemshangaa na nimewashangaa sana mamods kuachia thread hii bila hata kuifuta sasa nchi zingine wakiona hapa watasema kuhusu sisi watanzania huyu nadhani hana tatizo inaelekea yeye mtoa mada ni mvivu anatuchanganya wote wavivu wakati wengine saa 9 alfajiri tupo tunatafuta ugali wa siku hiyo yeye anadhani tunavyochat hapa wengi hawana kazi au hawajishughulishi
Hivi Lady Fyrahisha unafanya kazi gani jamani?
 
Dah... sipati usingizi kabisa... nainyemelea kazi moja hivi.. nasubiri wachina watie timu...niwapige bao....kwa msaada wa Profesa mshana jr
 
Wanasubiri serikali iwashike mikono kwa kuwaajiri haha, mtanzania zinduka dunia ya leo imebadilika sio ya kulaza damu usubiri utafuniwe
 
Sasa mazingira ya kazi magumu,mshahara kiduchu,njaa imetahamaki kwanini nisiwe mvivu kazini,kudoji kila siku.No motivation no hard working,we unafikiri mwalimu wa Tanzania aliyeajiriwa na serikali atajituma ipasavyo?
 
Watanzania tubadilike tuache uvivu. Kila kitu kulia lia.
 
Unamkuta afisa wa serikali amekalia kuiba tu kazini. Ngosha kabana kidogo basi anaruka ruka kama popcorn kwenye kikaango.
 
Ww mwenyewe ni mvivu wa kufikiria, hii research yako umefanyia wapi na muda gan had kupata haya majipu na nn mapendekezo yako.
 
Usiwaingize Watanzania wote kwenye kundi la wavivu wapo wengi wanapiga mzigo mtindo mmoja. Sema baadhi ya Watanzania wavivu.

Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom