Watanzania tu wavivu mno!

Watanzania tu wavivu mno!

kama dakika 10 zijazo nachepuka hapa job kwenda tra ila nina uhakika nitapotezewa muda vya kutoshawasumbufu wanazingua sio tra tu anzia serikali za mitaa mpaka ofisi za uma bado na wana majibu ya kuny....a sana jana nimepiga simu manispaa ya makonda aka kinondoni huyo mwanamke aliyepokea simu natamani atumbuliwe anajibu kama kichaa pambav bahati nzuri nikazama mtandaoni nikasaka namba ya kitengo cha biashara nikapata namba fulani nikaongea na jamaa akanielewesha =vizuri sana na nimemuelewa sasa naenda ofisini na vifaa vinavyohitajika napunguza kuhangaishwa


na yote hii ni kutafuta mipenyo ya kupata rushwa ......... magu bado wafanyakazi weeengi wanafanya kazi kwa mazoea, kiburi na kujisikia leo... ntawarekodi msikie wenyewe figisu zao... naelekea kwanza hapa tra mwenge kushugulikia tin namba laazima nilale mbele nayeyote atakayeniletea ubabaishaji. kwenye mpango mzima wa tin tumeshachoka kuhangaishwa wenyewe wanatangaza ni bure lakini matendo yao yamekaa kitakukuru takukuru
Mkuu ukiipata nishtue nami
 
de beers maline..Atlas maline..hazard maline..Globe Maline I and J fisheries izo kampuni za capetown dock miaka ya 1998 mpaka 2004 ukisema unatoka Tanzania kazi unapata hata shule watakupeleka wenyewe kwa jinsi sifa ya upigaji kazi ya Watanzania wengine waliopita hapo...watanzania wapo kila sehemu ya dunia hii na wanapiga kazi wewe hao unaongelea sijui Tz ya wapi iyo...
 
ni jambo la aibu ukitembelea hoteli za kitalii wahudumu wamezubaa mno. Fikiria mgeni anakuja wewe mhudumu unashangaa TV (enzi za BUNGE LIVE) au mpira wa EPL.
 
hata mm nimemshangaa na nimewashangaa sana mamods kuachia thread hii bila hata kuifuta sasa nchi zingine wakiona hapa watasema kuhusu sisi watanzania huyu nadhani hana tatizo inaelekea yeye mtoa mada ni mvivu anatuchanganya wote wavivu wakati wengine saa 9 alfajiri tupo tunatafuta ugali wa siku hiyo yeye anadhani tunavyochat hapa wengi hawana kazi au hawajishughulishi
Sasa Ladyfurahia kwa nini uammke saa9 alfajiri? mbona njia za mkato zipo?
 
Tunasubiri sukari..... tunywe chai !!!😛😛😛
Mkuu Zamiluni,malimao na chumvi si vinapatikana?,achana na chai,wewe kunywa uji wa sembe au dona au unga wa muhogo,sababu sukari inatengenezewa vibali kwa watu wachache kuagiza ili kutunisha mifuko ya wakubwa majizi na majambazi.
 
Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
Post hewa.
 
kama dakika 10 zijazo nachepuka hapa job kwenda tra ila nina uhakika nitapotezewa muda vya kutoshawasumbufu wanazingua sio tra tu anzia serikali za mitaa mpaka ofisi za uma bado na wana majibu ya kuny....a sana jana nimepiga simu manispaa ya makonda aka kinondoni huyo mwanamke aliyepokea simu natamani atumbuliwe anajibu kama kichaa pambav bahati nzuri nikazama mtandaoni nikasaka namba ya kitengo cha biashara nikapata namba fulani nikaongea na jamaa akanielewesha =vizuri sana na nimemuelewa sasa naenda ofisini na vifaa vinavyohitajika napunguza kuhangaishwa


na yote hii ni kutafuta mipenyo ya kupata rushwa ......... magu bado wafanyakazi weeengi wanafanya kazi kwa mazoea, kiburi na kujisikia leo... ntawarekodi msikie wenyewe figisu zao... naelekea kwanza hapa tra mwenge kushugulikia tin namba laazima nilale mbele nayeyote atakayeniletea ubabaishaji. kwenye mpango mzima wa tin tumeshachoka kuhangaishwa wenyewe wanatangaza ni bure lakini matendo yao yamekaa kitakukuru takukuru

Unamwibia mwajiri wako muda, afu unakuwa wa kwanza kuwasema wafanyakazi wengine.....haya ndo mleta mada anamaanisha...
 
watanzania tumekubuhu kwa uvivu hilo halina ubishi. Nasubiria mradi wa Bomba la mafuta (Hoima-Uganda to Tanga port) watajaa wachina, wahindi na wakenya, watanzania wengi tutabaki kuwa Mama Ntilie na Wezi wa vipisi vya mabomba. ptuuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom