Wakati tunaingia kwenye mwaka wa heka heka za uchaguzi wa Wabunge na wa Rais.
Nawaasa Watanzania wasichaguwe chama bali wachaguwe kiongozi.
Mfano mzuri ni kama tuliouonesha mwaka 2005, wakati tulipomchaguwa Kikwete kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. Ushindi alioupata Kikwete wa zaidi ya kura 80% ni dhahiri ulikuwa si kwa kuchaguliwa na wana CCM bali hata wa upinzani na wasio na vyama.
Mfano mwingine ni wa John Shibuda, pale alipoihama CCM na kuhamia Chadema, wana CCM wa jimbo lake wengi walimpa kura zao bila kujali yupo chama kipi. Huo ni uzalendo na unaonesha jinsi Tanzania tunavyoweza kufanya maamuzi bila ya kuburuzwa na chama au wenye chama.
Viongozi wazuri tunao, tena tusingoje wale wanaojitokeza tu kuzitaka hizi nyadhifa kwa udi na uvumba. Tutazame katika jamii, tunapomuona anaefaa kuongoza, hata kama si mwanasiasa, bali tukimuona kuwa haa huyu anafaa kuongoza, tumlazimishe, tumsimamishe, tumchaguwe.
Tukianza kuchaguwa viongozi na si chama tutakuwa sisi wenyewe tumeshakuwa viongozi.Tuanze kwa kujiongoza wenyewe kwa kuchaguwa tukitakacho na si kuburuzwa na wakitakacho wenye vyama.
Tukianza hivyo, hata vyama vyetu vitaweka viongozi tuwatakao na si wawatakao wenye vyama.
Nasema haya kwa kuwa nimeona katika vyama vyetu vya siasa vyote, kuna tabia ya kura za maoni. Wananchi wanaweza kuwa na mgombea wao wakampendekeza agombee lakini ikifika kwenye vyama wanakatwa na kuwekwa wale wawatakao wenye vyama. Hii si demokrasia tuitakayo na huleta uvunjifu wa amani.
Ni wakati muafaka sasa Watanzania tusikubali kuchaguwa wamtakae wenye vyama, tunataka tuwe na viongozi tuwatakao wananchi tulio wengi. Tunataka na wagombea huru, wasio na vyama pia wawepo, ili tuwachaguwe tuwaonao wanatufaa na si wanaowafaa wenye vyama.
FaizaFoxy huwezi kutenganisha mwanachama na chama, chama ndio chenye sera na mwanachama ni lazima afuate sera, hawezi kwenda kinyume na miongozo ya chama, Mfano mzuri sera za CCM ni serikali mbili, ndio maana katika bunge la katiba wana CCM wote walisimamia hilo na wewe ukiwemo, huwezi kwenda kinyume na chama kinavyotaka uende, kikisema wauza unga hawatakiwi kuguswa itakuwa hivyo, mgombea yeyote wa CCM hafai
Kumbe wewe ni Mkenya? sasa usituletee siasa za Kinyang'au hapa. Nyie mara tu mnachinjana kama kuku.
Vp kuhusu dini ya Mgombea.
Hili hujaligusia,utakuwa umelisahahu sio bure
Wakati tunaingia kwenye mwaka wa heka heka za uchaguzi wa Wabunge na wa Rais.
Nawaasa Watanzania wasichaguwe chama bali wachaguwe kiongozi.
Mfano mzuri ni kama tuliouonesha mwaka 2005, wakati tulipomchaguwa Kikwete kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. Ushindi alioupata Kikwete wa zaidi ya kura 80% ni dhahiri ulikuwa si kwa kuchaguliwa na wana CCM bali hata wa upinzani na wasio na vyama.
Mfano mwingine ni wa John Shibuda, pale alipoihama CCM na kuhamia Chadema, wana CCM wa jimbo lake wengi walimpa kura zao bila kujali yupo chama kipi. Huo ni uzalendo na unaonesha jinsi Tanzania tunavyoweza kufanya maamuzi bila ya kuburuzwa na chama au wenye chama.
Viongozi wazuri tunao, tena tusingoje wale wanaojitokeza tu kuzitaka hizi nyadhifa kwa udi na uvumba. Tutazame katika jamii, tunapomuona anaefaa kuongoza, hata kama si mwanasiasa, bali tukimuona kuwa haa huyu anafaa kuongoza, tumlazimishe, tumsimamishe, tumchaguwe.
Tukianza kuchaguwa viongozi na si chama tutakuwa sisi wenyewe tumeshakuwa viongozi.Tuanze kwa kujiongoza wenyewe kwa kuchaguwa tukitakacho na si kuburuzwa na wakitakacho wenye vyama.
Tukianza hivyo, hata vyama vyetu vitaweka viongozi tuwatakao na si wawatakao wenye vyama.
Nasema haya kwa kuwa nimeona katika vyama vyetu vya siasa vyote, kuna tabia ya kura za maoni. Wananchi wanaweza kuwa na mgombea wao wakampendekeza agombee lakini ikifika kwenye vyama wanakatwa na kuwekwa wale wawatakao wenye vyama. Hii si demokrasia tuitakayo na huleta uvunjifu wa amani.
Ni wakati muafaka sasa Watanzania tusikubali kuchaguwa wamtakae wenye vyama, tunataka tuwe na viongozi tuwatakao wananchi tulio wengi. Tunataka na wagombea huru, wasio na vyama pia wawepo, ili tuwachaguwe tuwaonao wanatufaa na si wanaowafaa wenye vyama.
Naam, dini ya mgombea ina matter sana ikiwa huyo mgombea anafata mafundisho ya dini yake. Sasa fikiri mgombea kama Slaa ambae hata mafundisho ya kanoni aliyoisomea yamenshinda utasema unamchaguwa kwa dini yake? Fikiri.
mahakama ya kadhi sahau......hilo halitatokea hapa nchini iwe jua au mvuaNaam, dini ya mgombea ina matter sana ikiwa huyo mgombea anafata mafundisho ya dini yake. Sasa fikiri mgombea kama Slaa ambae hata mafundisho ya kanoni aliyoisomea yamenshinda utasema unamchaguwa kwa dini yake? Fikiri.
Hapa nnaongea kama mwana CCM na si CCM. CCM wana njia zao za kufikisha ujumbe wao na sera zao. Kumbuka hilo kabla ya yote.
Hapa nakumbushia ukweli ulivyo, sasa wewe ni haki yako, kunyoa ua kusuka. Uko huru.
Jee, wewe utachaguwa kiongozi au chama?
wewe kila kitu kikwete.....duh!
Kwa nini tusichague kiongozi kutoka Chama chenye sera nzuri? Tunaongozwa na mtu tu au na sera nzuri zinazosimamiwa na mtu mzuri?
Naam, dini ya mgombea ina matter sana ikiwa huyo mgombea anafata mafundisho ya dini yake. Sasa fikiri mgombea kama Slaa ambae hata mafundisho ya kanoni aliyoisomea yamenshinda utasema unamchaguwa kwa dini yake? Fikiri.
Ngoja nikupe darsa dogo la Kiislam:
Kumbuka ni rahisi sana mimi kumchaguwa kiongozi wa Kikristo anaefata dini yake na amabae hadhalilishi Muislam na asiye Muislam kuliko Muislam asiyefata dini yake na anaedhalilisha Waislam na wasiyo Waislam, kwa sababu Qur'an inasema hivi:
Qur'an 5:82
You will surely find the most intense of the people in animosity toward the believers [to be] the Jews and those who associate others with Allah ; and you will find the nearest of them in affection to the believers those who say, "We are Christians." That is because among them are priests and monks and because they are not arrogant.
Isitoshe, ukisoma historia ya Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam alipopata Utume huko Makkah na alipoanza kufanikiwa kuwabadilisha wengi kutoka katika upagani, kulitokea Waislam wa mwanzo kunyanyanswa na kupingwa na hata kufikia kuuliwa. Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam akawaamrisha waondoke Makkah na wahamie Habash (Ethiopia) na huko Mfalme alikuwa ni Mkristo maarufu kwa jina la Nagash. Na akawasikioiza na akawapokea na hakuwa dhuru wala kuwafanyia vitimbi.
Na hiyo hiyo Habash (Ethiopia) ndiyo ilikuwa mpaka huku kwetu kwa enzi hizo na ndipo Uislam ulioenea huku kwetu ni kutokana na hao walio "immigrate" mwanzo na kupokelea vyema na Nagash.
Nadhani utauelewa msimamo wa Kiislam kuhusu kiongozi.
mahakama ya kadhi sahau......hilo halitatokea hapa nchini iwe jua au mvua
= mijadala
= Ukabila
= tambara
Haya, uwe na siku njema.
Wakati tunaingia kwenye mwaka wa heka heka za uchaguzi wa Wabunge na wa Rais.
Nawaasa Watanzania wasichaguwe chama bali wachaguwe kiongozi.
Mfano mzuri ni kama tuliouonesha mwaka 2005, wakati tulipomchaguwa Kikwete kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. Ushindi alioupata Kikwete wa zaidi ya kura 80% ni dhahiri ulikuwa si kwa kuchaguliwa na wana CCM bali hata wa upinzani na wasio na vyama.
Mfano mwingine ni wa John Shibuda, pale alipoihama CCM na kuhamia Chadema, wana CCM wa jimbo lake wengi walimpa kura zao bila kujali yupo chama kipi. Huo ni uzalendo na unaonesha jinsi Tanzania tunavyoweza kufanya maamuzi bila ya kuburuzwa na chama au wenye chama.
Viongozi wazuri tunao, tena tusingoje wale wanaojitokeza tu kuzitaka hizi nyadhifa kwa udi na uvumba. Tutazame katika jamii, tunapomuona anaefaa kuongoza, hata kama si mwanasiasa, bali tukimuona kuwa haa huyu anafaa kuongoza, tumlazimishe, tumsimamishe, tumchaguwe.
Tukianza kuchaguwa viongozi na si chama tutakuwa sisi wenyewe tumeshakuwa viongozi.Tuanze kwa kujiongoza wenyewe kwa kuchaguwa tukitakacho na si kuburuzwa na wakitakacho wenye vyama.
Tukianza hivyo, hata vyama vyetu vitaweka viongozi tuwatakao na si wawatakao wenye vyama.
Nasema haya kwa kuwa nimeona katika vyama vyetu vya siasa vyote, kuna tabia ya kura za maoni. Wananchi wanaweza kuwa na mgombea wao wakampendekeza agombee lakini ikifika kwenye vyama wanakatwa na kuwekwa wale wawatakao wenye vyama. Hii si demokrasia tuitakayo na huleta uvunjifu wa amani.
Ni wakati muafaka sasa Watanzania tusikubali kuchaguwa wamtakae wenye vyama, tunataka tuwe na viongozi tuwatakao wananchi tulio wengi. Tunataka na wagombea huru, wasio na vyama pia wawepo, ili tuwachaguwe tuwaonao wanatufaa na si wanaowafaa wenye vyama.
ni upi msimamo wako juu ya makakama ya kadhi? je unaridhika na serkali ya ccm inavyosema juu ya mahakama ya kadhi?Wakati tunaingia kwenye mwaka wa heka heka za uchaguzi wa Wabunge na wa Rais.
Nawaasa Watanzania wasichaguwe chama bali wachaguwe kiongozi.
Mfano mzuri ni kama tuliouonesha mwaka 2005, wakati tulipomchaguwa Kikwete kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii. Ushindi alioupata Kikwete wa zaidi ya kura 80% ni dhahiri ulikuwa si kwa kuchaguliwa na wana CCM bali hata wa upinzani na wasio na vyama.
Mfano mwingine ni wa John Shibuda, pale alipoihama CCM na kuhamia Chadema, wana CCM wa jimbo lake wengi walimpa kura zao bila kujali yupo chama kipi. Huo ni uzalendo na unaonesha jinsi Tanzania tunavyoweza kufanya maamuzi bila ya kuburuzwa na chama au wenye chama.
Viongozi wazuri tunao, tena tusingoje wale wanaojitokeza tu kuzitaka hizi nyadhifa kwa udi na uvumba. Tutazame katika jamii, tunapomuona anaefaa kuongoza, hata kama si mwanasiasa, bali tukimuona kuwa haa huyu anafaa kuongoza, tumlazimishe, tumsimamishe, tumchaguwe.
Tukianza kuchaguwa viongozi na si chama tutakuwa sisi wenyewe tumeshakuwa viongozi.Tuanze kwa kujiongoza wenyewe kwa kuchaguwa tukitakacho na si kuburuzwa na wakitakacho wenye vyama.
Tukianza hivyo, hata vyama vyetu vitaweka viongozi tuwatakao na si wawatakao wenye vyama.
Nasema haya kwa kuwa nimeona katika vyama vyetu vya siasa vyote, kuna tabia ya kura za maoni. Wananchi wanaweza kuwa na mgombea wao wakampendekeza agombee lakini ikifika kwenye vyama wanakatwa na kuwekwa wale wawatakao wenye vyama. Hii si demokrasia tuitakayo na huleta uvunjifu wa amani.
Ni wakati muafaka sasa Watanzania tusikubali kuchaguwa wamtakae wenye vyama, tunataka tuwe na viongozi tuwatakao wananchi tulio wengi. Tunataka na wagombea huru, wasio na vyama pia wawepo, ili tuwachaguwe tuwaonao wanatufaa na si wanaowafaa wenye vyama.
Kwa hiyo dini ya JK ina halalisha wizi na ufisadi,maaana ndicho kikuu alichokisimamia tokea 2005 Mapaka sasa