Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

Watanzania, Msichaguwe Chama Chagueni Kiongozi

Dada Faiza huwa unanisikitisha sana unapopenda kuleta mambo ya dini hakika heshima yako huwa inashuka sana. Umeleta mada nzuri lakini kwa kuwa udini ni hulka yako umejikuta ukienda tofauti kabisa na uzi wako.
ana kazi maalumu hapa
 
Tatizo kuu la mtanzania ni system nzima ya ccm.
Tunapambana kuitoa ccm yote kwa ujumla kwasababu the whole system is rotten.
Yeyote atakeyejiunga na ccm sisi kazi yetu ni kumuondosha yeye na system yote ccm.

Tatizo kubwa ni kuwa hamjuwi mlitakalo. Ushauri wangu muanze kuwa viongozi kwa kujiongoza wenyewe mkitaka kuwa na mafanikio. Lakini leo hii unasema naiondosha CCM hao waliopo CCM wataenda wapi? si hukohuko kwenye vyama vingine?

Kwani Slaa katokea wapi? na kuna nini cha maana alichokifanya mpaka leo hii zaidi ya kujikopesha mipesa na kumjengea hawara jumba la kifahari wakati chama chake bado kinendesha shughuli zake katika nyumba ya kupangisha. Fikiri.
 
Naona upo nyuma sana ki habari za nchini mwako. Mahakama ya kadhi mbona imeshapewa "ruksa" ianzishwe siku nyingi sana, sasa tunadai zaidi ya mahakama ya kadhi. Umelala?

Sasa sijuwi baada ya kujuwa hilo hiyo mvua na jua lako litaishia wapi?

Nikisema wewe ni punguani ntakuwa nimekosea?
una akili za nguruwe na mbwa
 
Oh! Faiza; ujumbe wako umejibu maombi yaliyo kwenye moyo wangu kwa sehemu.

Ila bado hujaangalia mambo mawili muhimu sana:-
- Itakuwaje iwapo mgombea ni mzuri ila chama hakikupitisha jina lake kwenye kura ya maombi, aidha kutokana na mizengwe au rushwa.

- Je itakuwaje iwapo hoja ya mgombea binafsi kama itakuwa haijapita?Je bado kiu yetu ya kupata viongozi bora na sio bora kiongozi bila KUJALI chama chake itatimia?

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther
 
Naona upo nyuma sana ki habari za nchini mwako. Mahakama ya kadhi mbona imeshapewa "ruksa" ianzishwe siku nyingi sana, sasa tunadai zaidi ya mahakama ya kadhi. Umelala?

Sasa sijuwi baada ya kujuwa hilo hiyo mvua na jua lako litaishia wapi?

Nikisema wewe ni punguani ntakuwa nimekosea?

Muiendeshe wenyewe sio kodi yangu. ..mi sio muislam hainihusu
 
Duh! sasa hata kama kusoma na kuelewa kinachoandikwa ni shida basi tatizo ni kubwa zaidi ya nilivyodhani!
Ni wapi niliposema mimi ni Mkenya? Au ulitaka niandike ,,sisi kwetu (Tanzania) hatuchagui Mtu bali tunachagua Chama..." ndiyo unielewe?


Samahani, kumbe ni Mtanzania, hueleweki ati. Unaleta habari za Kenya wakati tunaongelea siasa zetu za ndani?

Kumbuka hakuna demokrasia aina moja duniani. Demokrasia ina wanazuoni tofauti na matimizo tofauti kutoka ncho hadi nchi.

Niliwahi kumsoma ruler wa Dubai akisema kwao ndiyo kuna demokrasia bora kuliko zote na akaielezea na nikakubaliana nae. Demokrasia si kwenye masanduku ya kura tu.
 
Sijui kuhusu Julius Kambarage maana na yeyey ni JK pia. Lakini kama unamaanisha Jakaya Kikwete, hapana dini yake ni Uislam na Uislam unaujuwa japo kwa kuusikia tu, sina haja ya kuelezea hilo.

Naam, Jakaya Kikwete katika mambo makuu aliyosimamia ni ufisadi na wizi na hilo ni ukweli kabisa na nafurahi kuwa umeliona. Leo tunaona ufosadi wa toka enzi za Mkapa akiuibuwa, laeo y=tanoana mawaziri na mabalozi wakifikishwa mahakamani kwa wizi na ufisadi.

Leo tunaona TAKUKURU ipo kila wilaya kusimamia wizi, rushwa na ufisadi na inazidi kuongezewa nguvu mara kwa mara, Hiyo ni kwa jitihada za Kikwete kusimamia hayo.

Pls FaizaFoxy sasa unakosea ktk hili kuwa na ofisi za TAKUKURU kila wilaya au mkoa ni jambo zuri lkn sio lazima liwe na maana ya kuonesha ndio kuishinda rushwa. Ukubwa wa pua sio wingi wa MAKAMASI! To be honest, rushwa na dhuluma na ukiukwagi wa haki za binadamu bado ni challenge kubwa hapa nchini.
 
Naona upo nyuma sana ki habari za nchini mwako. Mahakama ya kadhi mbona imeshapewa "ruksa" ianzishwe siku nyingi sana, sasa tunadai zaidi ya mahakama ya kadhi. Umelala?

Sasa sijuwi baada ya kujuwa hilo hiyo mvua na jua lako litaishia wapi?

Nikisema wewe ni punguani ntakuwa nimekosea?
pole sana kwa hizo ndoto....mahakama ya kadhi Tanganyika?????
ha ha ha haaaaaaa!Kwa sasa kura zinatafutwa then mnatupwa mithili ya jongooooooooooooooooooooooooo!
 
umechungulia umeona ccm anakuja mkristu unataka tuamie kwa lipumba kweli unapenda din kuliko maendeleo
 
Sijui kuhusu Julius Kambarage maana na yeyey ni JK pia. Lakini kama unamaanisha Jakaya Kikwete, hapana dini yake ni Uislam na Uislam unaujuwa japo kwa kuusikia tu, sina haja ya kuelezea hilo.

Naam, Jakaya Kikwete katika mambo makuu aliyosimamia ni ufisadi na wizi na hilo ni ukweli kabisa na nafurahi kuwa umeliona. Leo tunaona ufosadi wa toka enzi za Mkapa akiuibuwa, laeo y=tanoana mawaziri na mabalozi wakifikishwa mahakamani kwa wizi na ufisadi.

Leo tunaona TAKUKURU ipo kila wilaya kusimamia wizi, rushwa na ufisadi na inazidi kuongezewa nguvu mara kwa mara, Hiyo ni kwa jitihada za Kikwete kusimamia hayo.

Kuweka kumbukumbu sawa,Mwalim Julius Nyerere (RIP) alifariki Mwaka 1999,hakuna namna ya yeye kuwapo from 2005
 
Muiendeshe wenyewe sio kodi yangu. ..mi sio muislam hainihusu

Ungejuwa hivi sasa kesi za Waislam zinaendeshwa vipi katika mahakama hizi tulizonazo ungeona ni bora tuwape hizo pesa wawe na mahakama rasmi ya kadhi.

Hebu waulize wanasheria humu wakujuze japo kiduchu kuhusu kesi za mirathi, ndoa na talaka za Waislaam zinavyoendeshwa mahakamani uone zinavyofonza muda na fedha za walipa kodi, utatamani usielewe.

Jee, wewe utakipigia kura chama chako au Kiongozi umtakae?
 
Ungejuwa hivi sasa kesi za Waislam zinaendeshwa vipi katika mahakama hizi tulizonazo ungeona ni bora tuwape hizo pesa wawe na mahakama rasmi ya kadhi.

Hebu waulize wanasheria humu wakujuze japo kiduchu kuhusu kesi za mirathi, ndoa na talaka za Waislaam zinavyoendeshwa mahakamani uone zinavyofonza muda na fedha za walipa kodi, utatamani usielewe.

Jee, wewe utakipigia kura chama chako au Kiongozi umtakae?
awamu hii mtakoma.....mgombea wa ccm mkristo,katibu mkuu wa chama lazima awe mkrito,muenezi mkristo tuone matangazo yenu hapa JF yakuwatetea
 
Pls FaizaFoxy sasa unakosea ktk hili kuwa na ofisi za TAKUKURU kila wilaya au mkoa ni jambo zuri lkn sio lazima liwe na maana ya kuonesha ndio kuishinda rushwa. Ukubwa wa pua sio wingi wa MAKAMASI! To be honest, rushwa na dhuluma na ukiukwagi wa haki za binadamu bado ni challenge kubwa hapa nchini.

Inaonesha ni dhamira na inaonesha sasa linashughulikiwa ipasavyo. Rushwa imeota mizizi kwa miaka 44 Tanzania hii.

Kikwete kaonesha ari na njia ya kuwa anaishughulikia na matokeo tunayaona. Mwenye macho haambiwi tazama, uliona wapi kabla ya Kikwete rushwa na ufisadi ukijadiliwa bungeni wazi wazi? uliona wapi kabla ya Kikwete mawaziri wakifikishwa mahakamani kwa ibadhirifu wa fedha za Serikali? uliona waoi kabla ya Kikwete mabalozi wakifikishw mahakamani kwa ubadhirifu wa fedha za umma? Ukweli ubaki kuwa ukweli.

Sasa hivi kinachotakiwa tuchaguw wabinge watakaokwenda kuionoa sharia ya rushwa na kuongezea makali, hukumu na adhabu za rushwa. Napendekeza adhabu ya rushwa iwe moja tu, kifo, iwe rishwa ya shillingi mia mbili au ya billioni mia mbili.

Na nnapendekeza kuwe na mahakama ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, mahakimu wabobee huko kama ilivyo mahakama za biashara na za nyumba na za kadhi.
 
Inaonesha ni dhamira na inaonesha sasa linashughulikiwa ipasavyo. Rushwa imeota mizizi kwa miaka 44 Tanzania hii.

Kikwete kaonesha ari na njia ya kuwa anaishughulikia na matokeo tunayaona. Mwenye macho haambiwi tazama, uliona wapi kabla ya Kikwete rushwa na ufisadi ukijadiliwa bungeni wazi wazi? uliona wapi kabla ya Kikwete mawaziri wakifikishwa mahakamani kwa ibadhirifu wa fedha za Serikali? uliona waoi kabla ya Kikwete mabalozi wakifikishw mahakamani kwa ubadhirifu wa fedha za umma? Ukweli ubaki kuwa ukweli.

Sasa hivi kinachotakiwa tuchaguw wabinge watakaokwenda kuionoa sharia ya rushwa na kuongezea makali, hukumu na adhabu za rushwa. Napendekeza adhabu ya rushwa iwe moja tu, kifo, iwe rishwa ya shillingi mia mbili au ya billioni mia mbili.

Na nnapendekeza kuwe na mahakama ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, mahakimu wabobee huko kama ilivyo mahakama za biashara na za nyumba na za kadhi.
nimeamini wewe ni JUHA
 
Inaonesha ni dhamira na inaonesha sasa linashughulikiwa ipasavyo. Rushwa imeota mizizi kwa miaka 44 Tanzania hii.

Kikwete kaonesha ari na njia ya kuwa anaishughulikia na matokeo tunayaona. Mwenye macho haambiwi tazama, uliona wapi kabla ya Kikwete rushwa na ufisadi ukijadiliwa bungeni wazi wazi? uliona wapi kabla ya Kikwete mawaziri wakifikishwa mahakamani kwa ibadhirifu wa fedha za Serikali? uliona waoi kabla ya Kikwete mabalozi wakifikishw mahakamani kwa ubadhirifu wa fedha za umma? Ukweli ubaki kuwa ukweli.

Sasa hivi kinachotakiwa tuchaguw wabinge watakaokwenda kuionoa sharia ya rushwa na kuongezea makali, hukumu na adhabu za rushwa. Napendekeza adhabu ya rushwa iwe moja tu, kifo, iwe rishwa ya shillingi mia mbili au ya billioni mia mbili.

Na nnapendekeza kuwe na mahakama ya rushwa, ubadhirifu na ufisadi, mahakimu wabobee huko kama ilivyo mahakama za biashara na za nyumba na za kadhi.
we AJUZA punguza mahaba....
 
Ungejuwa hivi sasa kesi za Waislam zinaendeshwa vipi katika mahakama hizi tulizonazo ungeona ni bora tuwape hizo pesa wawe na mahakama rasmi ya kadhi.

Hebu waulize wanasheria humu wakujuze japo kiduchu kuhusu kesi za mirathi, ndoa na talaka za Waislaam zinavyoendeshwa mahakamani uone zinavyofonza muda na fedha za walipa kodi, utatamani usielewe.

Jee, wewe utakipigia kura chama chako au Kiongozi umtakae?

Mimi ntampigia kura kiongozi nimtakaye sipigii kura chama. ..naanza na u rais akipita lowasa ntampa kura yangu. ....
 
Back
Top Bottom