Watangazaji wanaokubalika katika Idhaa za Kiswahili

nadhani alitaka tutaje watangazaji wa kawaida,Kikeke ni news anchor bbc swahili tv.

kikeke ni mtangazaji wa kawaida na huwa ana kipindi chake kinaitwa kisa na mkasa kila jumamosi alfajiri bbc radio na pia anatangazaga mpira redioni.
 
mimi nawapenda wafuatao,
1. mariam dodo bbc
2. dina ghamaji bbc
3. Gladice njoroge bbc
4. suluma kassim bbc
5. zawadi machibya bbc
6. salim kikeke bbc
7. ismail Misigaro bbc
8. Charles Hilary bbc
 
Kiboko ni watangazaji wa DW na VOA, wote ni wakipekee. Ukisikia unajua tu hii ni DW au VOA.
BBC kuna:
Salim Kikeke
Idd Seif
charle Hilali
Mutasa wa Uganda na yule wa South africa,
Silaji Kalyango
kuna mchambuzi wa michezo anaitwa Israel Salia sijui yuko wapi siku hizi,
Aisha Yahya
 
Oumilkheir Hamidou, Mohamed Abdulrahmani, Sekione Kitojo, Kazungu Lozi hawa ni DW. Bashkedash Yushkodai, Lubunga Bya'ombe, Patrice Chiterra BBC Wengine ni Francis Chandiona, Petty Kaunda, Kaleja Kaunda na Willium Njolanje kutoka RSA na mwisho kwenye list yangu ni Taderera na Bernard Otieno kutoka Channel France Internationale (eng). Dah! Zamani kweli!
Dah....safi sana
 
Namkubali sana ibunga muyaombe,vicent makori(miwani) na kuna bibi flan sauti yake inkwaluza balaaa(wa DW)

Huyu kama sijakosea anaitwa Umul kheri am not sure with the spelling, halaf naskia kama ni mwarabu aliejifunza kiswahili
 
Bakari msulwa wa NHK kabla hajarudi bongo, Anna kwambaza , na Mwalimu Nassoro Nakajima wote ni kutoka idhaa ya NHK swahi
 
Back
Top Bottom