Thinker96
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 311
- 66
- Thread starter
- #21
Hivi qualifications zao ni tofauti na hawa watangazaji wengine wa redio za bongo?mana ni kama wanaongea kwa ufasaha zaidi
Mkuu hawa wanaqualificatio za kiraia yaani kawaida sema nijinsi tu anajibidisha katika vyombo vya habari vya ndani lakin ctaki comparison na watangazi wa redio mawingu cjui wakina mchomvu,dj fet,mbwiga hapana hawa ni wakwe2 na 2nawapenda sana,na elimu kidogo inapewa kipaumbele na maadili ya utangazaji yaani humu jamvini watu wamekula chumvi huenda lakin mwambie umeanza kumsikia othuman miraji lini katika idhaa ya kiswahili,utapewa jibu huta amin.