Emmanuel Muganda kweli ni wa siku nyingi kule VOA. Ni shemeji wa Gavana wa Benki wa zamani Daud Balali.Emmanuel Mganda-BBc
Umemsahau!
Ni mwana mama. Sauti yake ni ya kipekee kabisa.huyu wa DW, Humrykher ni mwanamke au manaume?
Soma gazeti la Mwananchi jumapili, anaandikia makala toka ughaibuni.Aisee, kumbe alishastaafu huyu mzee picha nimesearch Google sijaipata nione anafananaje,
Hicho chuma kweli jina liwe la kifaransa basi atalitamka kifaransa liwe la kiarabu basi atalitamka inavyotakiwa na likiwa la kizungu vivyo hivyo yupo vizuri.
Hahaaaa! Huyo mama ni balaaa. Jina lake gumu, naona kila mtu humu analiandika anavyojua!huyu wa DW, Humrykher ni mwanamke au manaume?
James (Shimanyola/Shimanyula?) huyu siku za nyuma alikuwa anaripotia VoA hasa michezo kutoka Nairobi.Huyu jamaa ana sauti ya ajabu nzito sijawahi isikia nadhani ni wa RFI
Huyu jamaa siyo kwamba ni mchambuzi wa soka na huwa anaalikwa hasa siku za mechi?Israel saria yupo london
Huyu Shakur kama kumbukumbu yangu iko sawa, ni mngazija-(Comoro)Shakur Aboud anatangaza vizuri hadi raha aisee!!
Mike Arareng dah jamaa yupo vizuri sana, anakuambia kaa nami nami nikae nawe hadi mwisho wa kipindi.Maxmillian Bushoke, Anderson Karlu, Mike Ararenge, Nzavoniva Abdallah wote CHANNEL AFRICA- SOUTH AFRICA. Aisha Yahya, Valery Msoka, Ally Mutasa, Ally Yusufu Mugenzi, Dauda Awesi etc Wote BBC
Kweli kabisa hujakosea hata kdgOthman Miradji alistaafu Sauti ya Ujerumani. Kwa taarifa tu ni ndugu wa damu na marehemu prof. Haroub Othman
Nanyimbo yake dunia hii lukumba lukumbandio,mkuu nimemsikiliza majuzi huyo anaitwa abdul shakur abood...kwel anatangaza kiswahili hasa,kama marehemu john ngahyoma naye kwel nilipenda staili yake ya utangazaji.