Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Sikumbuki Gazeti, ila nililisoma miaka ya 2000 kipindi cha utawala wa Dr. Mkapa. Kwenye hilo Gazeti, kulikuwa na makala yaliyodadavua kile kilichosemekana mahojiano ya BBC na mfanyabiashara mwenye asili ya India.

Huyo mfanyabishara alitaka kuwekeza kwenye ufugaji wa Kamba, nafikiri, kwenye bonde la Mto Rufiji, lakini mpango wake ulikwama baada ya Serikali kumnyima kibali.

Alipoulizwa juu ya fursa zilizopo Tanzania, alisema, " Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo unaweza ukaenda ukiwa maskini ukarudi ukiwa tajiri".
Alipoulizwa juu ya fursa zilizopo Tanzania, alisema, " Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo unaweza ukaenda ukiwa maskini ukarudi ukiwa tajiri".[emoji419][emoji375]
 
Serikali yote kwa ujumla haijawahi kufanya kazi kwa ufanisi ndio maana hadi leo huko DSM tu kuna mahali hawana uhakika wa maji safi na salama, kuna vijiji havina umeme, wanafunzi wanakaa chini.

Kama tutatumia kigezo cha kukosekana ufanisi bandarini, je, huoni kama itakuwa sahihi zaidi tukawapa Dubai nchi nzima waiongoze ili kuleta ufanisi?
Ngumu "kumesa"
 
Sijisifii ila umemuandikia mtu ambaye angalau anafahamu yanayoendelea katika siasa za mashariki ya kati na jamii za kiislam. Unayaongelea kirahisi rahisi na kipropaganda mambo ambayo yako very complicated na unataka kuyatumia ili kujaribu kuwagombanisha Waislam wa Tz na ndugu zao wa ghuba na Saudia?

Ila ngoja nikae kimya na akili zangu fupi. Ila hizi propaganda zenu baadhi yetu tushazishtukia.
Nimekaa mashariki ya Kati miaka 10 ckufarakanish na waislamu wenzio ila chunguza utakuja kujua. Vita zote nilizokutajia hao waarabu wanahusika. Kama ni uongo niambie hapa ni uongo. Ni kama vile wazungu wengi wameamua kuacha din wakaamua kuanzisha vitu vyao wanavyojua kama ushoga NK. Shida yangu kubwa kwa waislamu hasa hiz nchi masikin kuhc waarabu ni wasafi bro katika kusafir kwangu. Waarabu ndio waislamu wachafu wana roho mbaya. Waislamu wakarimu ni waturuki, Wamoroco na Uighur china ila hawa wengine nadhan ni tabia za makabila yao sio din.
 
Ndio ule ni mkataba ndio maana bunge likaupitisha na mahakama imethibitisha kama ni mkataba! Hiyo mingine siihitaji kwasasa kufanya ulinganifu ni kunitoa kwenye reli
Haya pole sana maana usharidhiwa na serikali inaenda malizia hivi punde
 
Haya yote hawayaoni.. Inafika mahali unajiuliza je wana matatizo ya akili?[emoji419][emoji375]
Nchii hi bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwan lengo la huo mkataba kuwa public ni ipi?
Serikal ingekua haitak maoni kulikua na haja gan hio IGA kuwa out [emoji2369]

Mnajifariji eti hakuna mtanzania anaepinga uwekezaji bali wanapinga vipengele.Vipengele vyote vimekwisha elezewa vizur kabisa binafsi nilijipa muda kujua nin ni nini nashukuru mungu nimejua ukwel. KETE YA UDINI IMESUKUMWA WALAKA WA TEC UNAFIKIRISHA SANA NAJIULIZA WALIWEZAJE KUISHWAWISHI SERIKAL KWENY ILE MoU Kwa akili hizi [emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Unapinga mkataba eti kisa mkataba unatuhitaji kumjulisha Dubai FURSA zilizopo nchi like seriously [emoji1787].

Eti mkataba unahitaji tubadirishe baadhi ya sheria zetu. Jaman jaman hii nchi INAHITAJI uzalendo kuliko hisia
 
Nchii hi bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwan lengo la huo mkataba kuwa public ni ipi?
Serikal ingekua haitak maoni kulikua na haja gan hio IGA kuwa out [emoji2369]

Mnajifariji eti hakuna mtanzania anaepinga uwekezaji bali wanapinga vipengele.Vipengele vyote vimekwisha elezewa vizur kabisa binafsi nilijipa muda kujua nin ni nini nashukuru mungu nimejua ukwel. KETE YA UDINI IMESUKUMWA WALAKA WA TEC UNAFIKIRISHA SANA NAJIULIZA WALIWEZAJE KUISHWAWISHI SERIKAL KWENY ILE MoU Kwa akili hizi [emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Unapinga mkataba eti kisa mkataba unatuhitaji kumjulisha Dubai FURSA zilizopo nchi like seriously [emoji1787].

Eti mkataba unahitaji tubadirishe baadhi ya sheria zetu. Jaman jaman hii nchi INAHITAJI uzalendo kuliko hisia
Umeitendea haki heading na maudhui yake!
 
yemen , djibout na somalia nako kwa wagalitia mbona wamekataa dp world , ebu amka asee , waarabu wa sudan wanawaiten watumwa kisa akili kama hizo
Tanganyika siyo nchi ya kidini.
Wanaoukataa mkataba mbovu si Wagalatia, ni Watanganyika Wazalendo wa dini tofauti.

Wamo wa dini za asili!
Wamo Wakristo!
Wamo Waislamu!
Wamo na wa dini zinginezo.
 
Nchii hi bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwan lengo la huo mkataba kuwa public ni ipi?
Serikal ingekua haitak maoni kulikua na haja gan hio IGA kuwa out [emoji2369]

Mnajifariji eti hakuna mtanzania anaepinga uwekezaji bali wanapinga vipengele.Vipengele vyote vimekwisha elezewa vizur kabisa binafsi nilijipa muda kujua nin ni nini nashukuru mungu nimejua ukwel. KETE YA UDINI IMESUKUMWA WALAKA WA TEC UNAFIKIRISHA SANA NAJIULIZA WALIWEZAJE KUISHWAWISHI SERIKAL KWENY ILE MoU Kwa akili hizi [emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Unapinga mkataba eti kisa mkataba unatuhitaji kumjulisha Dubai FURSA zilizopo nchi like seriously [emoji1787].

Eti mkataba unahitaji tubadirishe baadhi ya sheria zetu. Jaman jaman hii nchi INAHITAJI uzalendo kuliko hisia
Aacha uongo yaelekea haujui nini kinachoendelea nchi hii, ni nani aliuweka mkataba public? Ni kiongozi gani huyo na ilikuwa ni nilini?
 
Tanganyika siyo nchi ya kidini.
Wanaoukataa mkataba mbovu si Wagalatia, ni Watanganyika Wazalendo wa dini tofauti.

Wamo wa dini za asili!
Wamo Wakristo!
Wamo Waislamu!
Wamo na wa dini zinginezo.
Wakiona wanalipewa harua na tende wanashangilia eti ndio dini hiyo inaukubali mkataba, JINGA KABSA JAMAA.
 
kuna vitu haviitaj akili kubwa , unaunga mkono kitu hujui ukomo wake , hujui maslai yetu , umeoneshwa mpk conditions za mwekezaj bado unasema unaunga mkono , kama sio mwehu tukuiteje? hata waarab tukigeuza huu mkataba wao watupe bandari ya kwa mkataba huu sio waarab tu dunian kote hawataukubali km Yemen , Djibout na Somalia , ila bongo ndo tunawakuta wajinga kama nyiny mnadai mna hoja [emoji23][emoji23][emoji23] ebu lete hoja zenu
Kuna vitu vinachekesha hope ulisikia mtu anasema hakuna faida tutakazopata .HAYA NAKUJUZA WEW NA HAO WENZIO MSIOFATILIA VITU ,ZIFUATAZO NI FAIDA ZA UWEKEZAJI [emoji116]

Zifuatazo ni faida 12 kubwa ambazo Tanzania inatarajia kuzipata kutoka na uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam:


1. Kupunguza muda wa meli kukaa nangani kutoka siku 5 kwa sasa mpaka masaa 24 tu.


2. Kuongeza idadi ya meli zitakazokuja Bandari ya Dar es Salaam kutoka meli 1,569 zilizohudumiwa mwaka 2021/22 hadi kufikia takriban meli 2,950 ifikapo mwaka 2032/33;


3. Kupunguza muda wa ushushaji wa makontena kutoka wastani wa siku 4.5 mpaka siku 2


4. Kupunguza muda wa uondoshaji mizigo kutoka masaa 12 mpaka saa 1 tu kutokana na uboreshaji wa mifumo yạ TEHAMA;


5. Kupunguza gharama ya usafirishaji wa shehena kutoka nchi za nje kwenda nchi za jirani, kutoka USD 12,000 mpaka kati ya USD 6,000 na USD 7,000 kwa kasha


6. Kuongezeka kwa shehena inayohudumiwa kutoka tani milioni 18.41 kwa mwaka 2021/22 hadi kufikia tani milioni 47.57 mwaka 2032/33


7. Kuongezeka kwa mapato ya serikali yatokanayo na kodi ya forodha inayokusanywa katika shehena inayopitishwa bandarini kutoka Shilingi trilioni 7.76 kwa mwaka 2021/22 hadi Shilingi trilioni 26.70 kwa mwaka 2032/33


8. Kuongezeka kwa ajira zinazotokana na shughuli za bandari kutoka 28,990 kwa mwaka 2021/22 hadi 71,907 ifikapo mwaka 2032/33


9. Maboresho ya magati ya kuhudumia majahazi na abiria ikiwa ni pamoja na kushawishi uingiaji wa meli kubwa za kitali (cruise ships) zitakazo ongeza idadi ya watalii nchini na kuongeza pato la taifa


10. Mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa TPA katika Bandari zote (knowledge and skills transfer)


11. Uanzishaji wa maeneo huru ya kiuchumi na kuchochea ukuaji wa sekta zingine za kiuchumi zikiwemo: sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi; utali; viwanda na biashara


12. Kuchagiza ukuaji wa sekta ndogo za usafirishaji kwa njia ya reli (SGR, TAZARA na MGR) na barabara; na kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia.


Chanzo: Takwimu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi
 
Aacha uongo yaelekea haujui nini kinachoendelea nchi hii, ni nani aliuweka mkataba public? Ni kiongozi gani huyo na ilikuwa ni nilini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we unafikir ulivuja kwa bahati mbaya.

Unafikir msingwa alishindwa kukanusha jambo likaenda kimya kimya [emoji1787]

Tanzania yangu Tanzania yangu
 
Back
Top Bottom