Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Q

Kijana, huwa sikisii.

Hakuna kongamano wala mkutano wa ma bhuddha uliofanyika Malaysia 2000.

Unaniandikia majina, ndiyo uth8bitisho wa kongamano huo? Majina na kongamano ni vitu tofauti.

Tena kasema chuo, chuo kipi hicho?

Msifikiri wote hapa JF ni wajinga ndiyo waliwao.
We kamtu una shida sana wewe, hebu ngoja nikuache. Tusijeanza kununiana wakati Mchana ungali bado mchanga huu.
 
Siku nyingi sana niliwahi kukwambia hapahapa JF, usiwe muongo.

Hakuna kongamano wala mkutano wowote wa ma-bhuddhist uliofanyika "Malaysia mwaka 2000".

Tena hakuna chuo chenye jina "Malaysia" pekee, vyuo vingi huko vina jina Malaysia linafatia. Mifano:

University Putra Malaysia (UPM)

University Kebangsaan Malaysia (UKM)

Usiseme uongo, sema ni chuo kipi cha Malaysia?

Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".
Bibi umetokea wapi? Leo hawajakuanika juani? Au ndio wamekuacha Hadi mida hii
 
Andiko la TEC mnatafutana mpaka muda huu hamjapatana... Mliotaka kuwabambika kesi ya kindezi ya uhaini wako huru mnazidi kupoteana . nikwambie kitu. Hizi ni rasharasha tuu subiri next week
Nakwambiaje. Andikeni nyaraka 10 na msizome kila siku miaka 5 mfululizo ila mkataba unaendelea na utekelezaji na hakuna kitu unaweza fanya.

Huu ni ukweli mchungu ambao nakwambia ubebe tu
 
Bibi umetokea wapi? Leo hawajakuanika juani? Au ndio wamekuacha Hadi mida hii
Siku hizi kuna kitu kinaitwa "led sun light", iwe mvua, iwe mawingu, iwe barafu, unawasha ukiwa chumbani unakula jua mbadala. Swaafi kabisa.

Hata mimea siku hizi unaotesha ndani kwa jua mbadala.

Nyie vijana mmelala?
 
Ndo shida yenu. Mnahamasisha demokrasia alafu hamjui hata maana ya demokrasia. Mnahamasisha haki za kikatiba alafu hamjui hata maana yake. Nyie mnataka kila mtu awaze kama nyie alafu ndo mnajifanya wanademokrasia.

Kwa kifupi nyie ni wapuuzi tu! Tunaounga mkono mkataba wa Tz na Dubai tuna hoja na kama nyie mnadhani mna hoja endeleeni na hoja zenu.
Hii ndio picha yao halisi ni bora ccm anayewapa watu kesi za uhaini na ugaidi ukiwapinga kuliko cdm wakishachukua nchi ni dhahiri watakua wanawaua hadharani watakaowapinga
 
Mbaya zaidi mtanganyika wa imani ya dini ile anaongozwa vibaya na mihemko ya kidini na mazoea ya kuwa na mentality ya kuwa mtumwa wa mtu mweupe au manjano. Wamejisikia vibaya baada ya wakatoliki kutoa waraka wao kama kawaida yao wakati wengine si wakatoliki lakini hawakubaliani na mkataba huo tata. Utumwa ni mbaya sana na kuwa na akili za kitumwa ni dhambi, undugu wa kidini weka pembeni tetea urithi wa taifa kwa vizazi vijavyo
 
Wewe hata kama umeandika mara elfu, waliokusoma hawajakustukia kuwa u muongo.

Mimi nilikustukia miaka mingi nyumq, nikawa nakuumbua uongo wako, ukaacha, sasq unaqnza kurudia uongo tena.

akumbuka, ukianza jsjisifu sijuwi nilikuwa wapi au wapi, naanza ku double check. Nakubamba uongo wako.

Wacha kudanganya vijana humu.
Soma hapa kinachoitwa university malaya mimi nimekuwekea hii.. Twende kwa ithibati kiazi mbatata wewe

The University of Malaya (Malay: Universiti Malaya; abbreviated as UM or informally the Malayan University) is a public research university located in Kuala Lumpur, Malaysia. It is the oldest and highest ranking Malaysian institution of higher education according to two international ranking agencies,[5][6] and also the only university in the post-independent Malaya.[7] The university has graduated five prime ministers of Malaysia, and other political, business, and cultural figures of national prominence.
img-logo-UM.jpg
 
Nakwambiaje. Andikeni nyaraka 10 na msizome kila siku miaka 5 mfululizo ila mkataba unaendelea na utekelezaji na hakuna kitu unaweza fanya.

Huu ni ukweli mchungu ambao nakwambia ubebe tu
Kuna wimbo wa Ken G nadhani unasema .. Don't fall in love with a dreamer
 
Wewe hata kama umeandika mara elfu, waliokusoma hawajakustukia kuwa u muongo.

Mimi nilikustukia miaka mingi nyumq, nikawa nakuumbua uongo wako, ukaacha, sasq unaqnza kurudia uongo tena.

akumbuka, ukianza jsjisifu sijuwi nilikuwa wapi au wapi, naanza ku double check. Nakubamba uongo wako.

Wacha kudanganya vijana humu.
Moja ya sifa ya kujua kama mtu ni mjinga ni pamoja mtu huyo kuacha hoja ya msingi na kutengeneza mabishano ya vitu vidogo, so I am confident that you're one of the very stupid being alive.
 
Back
Top Bottom