Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

[emoji1]

Ova
IMG-20230820-WA0005.jpg
 
Dhamira ya andiko lako imeficha kabisa matumizi ya hiyo alama.

Uliplan kuficha ulichokusudia kwa hiyo alama, ila dhamira yako imekuwa wazi Kiasi cha hiyo alama kukosa maana kwenye uandishi wako.

Asante kwa kunielewa, Naimani wakati mwingine utaheshimu mawazo ya watu wengine huku ukiendelea kuamini unachoamini
Nahusika na nilichoandika sihusiki na ulovyotafsiri
 
Nchii hi bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwan lengo la huo mkataba kuwa public ni ipi?
Serikal ingekua haitak maoni kulikua na haja gan hio IGA kuwa out [emoji2369]

Mnajifariji eti hakuna mtanzania anaepinga uwekezaji bali wanapinga vipengele.Vipengele vyote vimekwisha elezewa vizur kabisa binafsi nilijipa muda kujua nin ni nini nashukuru mungu nimejua ukwel. KETE YA UDINI IMESUKUMWA WALAKA WA TEC UNAFIKIRISHA SANA NAJIULIZA WALIWEZAJE KUISHWAWISHI SERIKAL KWENY ILE MoU Kwa akili hizi [emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Unapinga mkataba eti kisa mkataba unatuhitaji kumjulisha Dubai FURSA zilizopo nchi like seriously [emoji1787].

Eti mkataba unahitaji tubadirishe baadhi ya sheria zetu. Jaman jaman hii nchi INAHITAJI uzalendo kuliko hisia
Unataka kujaribu kusema nini?
 
Hao unaowaita hawana akili wanao uhuru wa kutoa maoni yao, na hiyo Ndiyo demokrasia.

Ila kujiona mawazo yako ni bora kuliko wengine na kuwaita hawana akili ndo kutokuwa na akili kwenyewe huko, Kwa sababu kama unaakili timamu utaheshimu mawazo yao na utaendelea kusimamia msimamo wako kwa kile unachokiamini

Acheni ushamba, wale wanaoona mkataba uko sawa wasikashifiwe Kwa sababu hawajamzuia yeyote kuupinga mkataba
Ukweli usemwe tu, nyie mnamatatizo ya akili fullstop.
 
Nahusika na nilichoandika sihusiki na ulovyotafsiri
Andiko hubeba dhamira, tunaposoma andiko hatuishii kuangalia tu ulichoandika, tunaangalia ulichoandika kimebeba nini ndani yake, ulikusudia kuwasilisha nini, Au unamaanisha nini.

Asante kwa kunielewa Naimani utaendelea kuheshimu mawazo ya watu wengine kwasababu hayakuzuii kuamini unachoamini
 
Andiko hubeba dhamira, tunaposoma andiko hatuishii kuangalia tu ulichoandika, tunaangalia ulichoandika kimebeba nini ndani yake, ulikusudia kuwasilisha nini, Au unamaanisha nini.

Asante kwa kunielewa Naimani utaendelea kuheshimu mawazo ya watu wengine kwasababu hayakuzuii kuamini unachoamini
Ni haki yako na ya wengine kibinadamu na kikatiba!!!
 
Aisee hii nchi inasikitisha sana. Hiv unajua hii treni ikiwa tayar na wakaipa mabehewa ya kutosha unajua itakuwa malor mangap. Hiv unajua hiyo HGA kwenye huu mkataba wa IGA wanasema itakuwa ni Siri kati yao na serIkali hii hii inayokubali mkataba mbovu au hujasoma hicho kipengele mzee.

Aliekwambia SGR itaua kazi za maloli nan.Maloli yatabadiri baadhi ya route zake mfano Mwanza maloli yatasambaza mizigo kutoka Mwanza kwenda mikoa jirani mfano bukoba, simiyu,mara n.k

Maloli dodoma yatachukua mizigo kupeleka iringa, njombe, arusha, singida,manyara n.k

Maloli dar yatachukua mizigo kupeleka sehem nyingine ukanda huo ambazo sgr haijapita.

Nakubaliana na wew kazi za maloli zitapungua route ya dar-dom-mwanza lakin zifuatazo ni faida za maloli kutolewa route ya dar to mwanza.

U01.hakika wa kupata gari la kupeleka mizigo huko vijini utaongezeka.

02. Usafirishaji utakua ni wa bei rahis sabab gari za mizigo zitakua nyingi.



Labda uja-experience adha ya usafir wa gari ya mizigo ila ukwel ni kuwa mizigo ni mingi sana kuliko gari. Juzi hapa mwanza ilikua kupata gari kupeleka mzigo kahama ni shuguli, mizigo mingi gari hamna.


KWENYE SWALA LA HGA KUWA SIRI SIDHAN KAMA NI JAMBO GENI MIKATABA MINGI IMEKUWA NI SIRI.MUHIMU YATAKAYOKUBALIANA KWENY HGA YAWE NA MASLAI KWA NCHI.

KUHUSU UBAYA WA MKATABA NARUDIA TENA KWA UPANDE WANGU NAUNGA MKONO MKATABA SINA SHAKA BAADA YA MASHAKA YANGU KUSAWAWAZISHWA
 
Yaani mama anaenda kuuza bandari yetu kwenye viwanja vya sabasaba vya Dubai! Mama huyu jamani.
 
Nimekaa mashariki ya Kati miaka 10 ckufarakanish na waislamu wenzio ila chunguza utakuja kujua. Vita zote nilizokutajia hao waarabu wanahusika. Kama ni uongo niambie hapa ni uongo. Ni kama vile wazungu wengi wameamua kuacha din wakaamua kuanzisha vitu vyao wanavyojua kama ushoga NK. Shida yangu kubwa kwa waislamu hasa hiz nchi masikin kuhc waarabu ni wasafi bro katika kusafir kwangu. Waarabu ndio waislamu wachafu wana roho mbaya. Waislamu wakarimu ni waturuki, Wamoroco na Uighur china ila hawa wengine nadhan ni tabia za makabila yao sio din.
Hizi takataka siwezi kuzizingatia
 
Nilichojifunza mpaka Sasa wote wanaoukubali huu mkataba wa DPW
1. Pengine hawajausoma au hawaujui kabisa
2. Wanajificha kwenye kivuli cha dini pasipokuwa na hoja za msingi za mkataba
3. Wana chuki binafsi zisizo na hoja za msingi baina ya dini
4. Wanataka kujificha kwa kivuli cha utanganyika na uzanzibari ilhali matokeo ya huo mradi yatakuwa mabaya huko mbeleni endapo mradi utatekelezwa
5. Wengi ni mamluki waliopandikizwa upande fulani
 
Pia tuelewe kuwa Serikali kushindwa kudhibiti wahalifu wanaohujumu mashirika wakati kuna vyombo na mihimili ya kisheria ni Serikali kushindwa kuongoza nchi!

Mbona hilo lipo wazi?

Magufuli alipokuwa akifukuza na kudhalilisha wabadhirifu, walimchukia sana.

Kumbe chuki zao zililenga kupalilia matendo yao haya ovu tunayoyashuhudia sasa!
Ongoza familia yako inatosha
 
Ukiona mtu hajadili hoja akaanza kumzodoa mtoa hoja, akaanza tafuta makandokando ya hoja, basi jua hoja hiyo ina mashiko na mjibu hoja ameshindwa.

Mtu anaanza tafuta vyuo vilivyopo malaysia, maana yake hoja kuu imemshinda kujibu.

Mtu akianza tafuta dini ya mleta hoja, basi hoja kuu imemshinda.

Uzuri Samia ameshasikia hoja, na hili tamko la TEC ndio msumali wa mwisho, watayazingatia tu matakwa ya Watu.

Sisi waislam tuache kujitoa akili. Hakuna anayepinga hili suala sababu ya dini. Waturuki wanajenga reli hakuna aliyewapinga. Wairan wanamashirikiano na jeshi letu, toka enzi za Jakaya na haijawahi kuwa shida.

Mkataba wa Richmond tuliupinga si kwa sababu wazungu ni wakristo.

Juzi nasikia wale waimba mapambio wa wasafi, wanasema kama kuna mapungufu yarekebishwe maana muwekezaji hawezi fanya kazi ikiwa wananchi hawataki-wameanza legea.

Samia ameshasikia, atatii tu, hawa court jesters wa mitandaoni ni vifuata upepo tu.
 
Hiki kiajuza hovyo sana kimekimbilia google na hata hiyo university anayosema haipo
Namnukuu.. Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".

Jina lililopo ni hili hapa.. Hiki Kimalay ambapo ukitafsiri kwa kimombo ni University of Malaysia ama Malaysia UniversityView attachment 2721919
Hajui malaya ndio Malaysia yenyewe kama zaire na Zambia kama sikosei
 
Back
Top Bottom