Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Watanganyika wanaoitetea DP World wana matatizo ya akili?

Tumeshakuelewa mkuu! Wanasema, "human beings are susceptible to errors"

Nimelikumbuka na lile somo lako: KAA KIMYA!

Tunaelewa, kwamba sometimes, mtu anaweza akukasirisha kwa bahati mbaya na wakati mwingine kwa makusudi.

Inapotpkea ukabaini kuwa lengo la mtu ni kukukasirisha, ndipo lile somo lako: KAA KIMYA linapopaswa kuwekwa katika utendaji.

Hata hivyo, hakuna kilichoharibika.
Asante sana[emoji173][emoji1545][emoji419][emoji375]
 
Nakwambiaje. Andikeni nyaraka 10 na msizome kila siku miaka 5 mfululizo ila mkataba unaendelea na utekelezaji na hakuna kitu unaweza fanya.

Huu ni ukweli mchungu ambao nakwambia ubebe tu
Unasema hivyo ukiwa nyuma ya keyboard unajikuta shujaa kumbe Mbumbumbu
 
We umejuaje kama wanaounga mkono ni sababu za dini?!!!
Nyie mnaopinga hamfanyi hivyo sababu ya dini?!!! Kama ni kweli tuambieni ni lini mlipinga mikataba ya madini ya wazungu?!!!!
nyie mlioona mikataba mibovu ya madini kwa wazungu mngetoa tamko mgepata wa kuwaunga mkono. Acheni hisia za kidini
 
Hilo jina nimeshakuwekea juu hapo.

Hakuna kongamano la mabhudda lililofanyika hapo.
Usiseme uongo.

Jitu zima linaleta longolongo.

Huyo hata pipa haelewi ndani lina harufu gani.

Hajrmda popote, meongonhuyo.

Mwambieni aweke picha zake za nje ya Tanzania.

Angekuwa nazo angezijaza kwenye ule uzi wake anajipiga selfie. Halafu hana haya, misoxy imeliwa na mende, zimetoboka toboka, viatu vimelika soli unajuwa hivi vimetembea kilometer zisizopunguwa laki mbili. Halafu anajidai eti alikwenda kongamano la mabhuddha Malaysia.

Awache uongo.
mna ugomvi binafsi? nakukumbusha mwisho wa chuki ni aibu
 
Siku nyingi sana niliwahi kukwambia hapahapa JF, usiwe muongo.

Hakuna kongamano wala mkutano wowote wa ma-bhuddhist uliofanyika "Malaysia mwaka 2000".

Tena hakuna chuo chenye jina "Malaysia" pekee, vyuo vingi huko vina jina Malaysia linafatia. Mifano:

University Putra Malaysia (UPM)

University Kebangsaan Malaysia (UKM)

Usiseme uongo, sema ni chuo kipi cha Malaysia?

Chuo chenye jina pekee bila kibwagizo ni "University Malaya (UM)".
Nimegundua wewe ni kale kabibi kalikopendana na mtoto wa miaka 27!! Uko hovyo sana!
 
Kusema ukweli waislam dini zinawatoa akili kabisa! Vichwa vyao vimekuwa kama vyombo vya kubebea ulimi na meno tu.

Wapo tayari kuuza utu wao kwa mtu yeyote anayetokea Uarabuni
Burudika na Kiswahili fasaha, mpaka Waarabu wenyewe wamefurahia:
 
Unamkuta mtu mmoja ana kichwa kikubwa kabisa, anasema DPW wapewe bandari kwakuwa bandari imekuwa ikiendeshwa bila ufanisi.

Mtu mjinga kama huyo ameshindwa kabisa kufikiri na kuona aibu kwamba nchi yenye watu zaidi ya million 60 inakosa watu wa kusimamia bandari ifanye kazi kwa ufanisi na anashangilia ibinafsishe kwa Nchi ya ugenini.

Nchi hii ina watu wajinga sana, pengine kwa ujinga Duniani sisi tunashika nafasi ya kwanza, pili na ya tatu.
Duu nchii hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani akina karamagi ni wazungu
 
Unamkuta mtu mmoja ana kichwa kikubwa kabisa, anasema DPW wapewe bandari kwakuwa bandari imekuwa ikiendeshwa bila ufanisi.

Mtu mjinga kama huyo ameshindwa kabisa kufikiri na kuona aibu kwamba nchi yenye watu zaidi ya million 60 inakosa watu wa kusimamia bandari ifanye kazi kwa ufanisi na anashangilia ibinafsishe kwa Nchi ya ugenini.

Nchi hii ina watu wajinga sana, pengine kwa ujinga Duniani sisi tunashika nafasi ya kwanza, pili na ya tatu.
Wewe katazame mwaka huu uliopita imeendeshwa na TPA imeleta gawio la billion 200 tu. Hata Kiwanda cha cement tena kwa ubia wa hisa kidogo tu za serikali imewapiku gawio lake.

Wakati bandari inatakiwa ichangie japo nusu ya bajeti ya Tanzania.

Hatuwezi wenyewe, bado sana muda wetu.
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] tangu 2012 niijue jf leo ndio nimeon ukikasirika
Leo kateleza kidogo, ila usitarajie kupata tena fursa nyingine ya kumwona akiwa amekasirika!

Ila kuna watu wachokozi sana. Unakuta wakati mwingine mtu ana comment kwa lengo la kukukasirisha tu. Ila mimi watu wa aina hiyo si rahisi wafanikiwe kwangu. Nikishagundua lengo lake, ataandika mpaka achoke. Sitahangaika kujibizana naye. Comments zake nitazipita kama vile sizioni.
 
Serikali haipaswi kuacha mipango ya kuleta mwekezaji bandarini , suala la mapungufu ya mkataba yaangaliwe.

Hoja kwamba nchi yenye watu milion 60 kushindwa kuendesha Bandari NI hoja mufilisi kabisa na ni hoja ya mtu asiye na uelewa kuhusu Bandari.

Bandari si stand ya Magufuli au Nyegezi kwamba inahudumia Zaid mabasi ya mkoani.

Bandari inaangaliwa kuhudumia Dunia au mataifa kadhaa.

Nani au kampuni gani ya Kitanzania utaipa iendeshe Bandari Kwa ufanisi wa kushindana kidunia?

Hakuna Mtanzania au kampuni yoyote ina msuli wa kuweza kuisimamia Bandari ikaweza kuleta ushindani Duniani.

Hatuna Mtanzania yeyote anayeweza kuingia top 1000 ya matajiri Duniani ,, iweje tuwe na kampuni yenye uwezo huo?
 
nyie mlioona mikataba mibovu ya madini kwa wazungu mngetoa tamko mgepata wa kuwaunga mkono. Acheni hisia za kidini
848752f6e1340aab14d1acd1a8d481ac.jpg
 
😂😂😂😂😂 Sasa mjanja mwenzangu ? Ni lini au mwaka Gani bandari ya tz🇹🇿 iliwaikufanya kazi Kwa ufanisi? Naona kila prezdar akiingia anafukuza wakurugenzi wa Tpa mara mbili
Serikali yote kwa ujumla haijawahi kufanya kazi kwa ufanisi ndio maana hadi leo huko DSM tu kuna mahali hawana uhakika wa maji safi na salama, kuna vijiji havina umeme, wanafunzi wanakaa chini.

Kama tutatumia kigezo cha kukosekana ufanisi bandarini, je, huoni kama itakuwa sahihi zaidi tukawapa Dubai nchi nzima waiongoze ili kuleta ufanisi?
 
Back
Top Bottom