Wazanzibar ni watu wanafiki sana. Mimi nilipelekwa Zanzibar kikazi nikakaa huko kama miezi 6, Siku moja mimi na rafiki zangu wa kiume tukapanga kwenda ufukweni upande wa Mashariki ya Unguja. Tukatafuta hiace, rafiki zangu wakawahalika wasichana kadhaa twende nao party hiyo ya ufukweni. Mimi nikauliza kama kuna watu watakunywa bia wawili wavulana wakasema ndiyo. Basi nikaingia duka la kuuza bia pale Darajani tukanunua bia za kututosha watu watatu.
Tukiwa njiani kuelekea ufukweni baada ya kituo cha polisi huko shamba wale madada wakaomba dereva asimamishe gari. Wakaingia kichakani wakatoa maushungi wakarudi na vinguo vya ufukweni, yaani vifupi na vya kuteleza. Hilo halikunipa shida.
Tu kafika ufukweni tukaanza kunywa, kumbe wale dada wanapombe yao wanakunywa. Kilichoniudhi wakamaliza pombe yao wakataka bia zangu. Nikawaona Wazenji hawana maana.
Tukiwa njiani kuelekea ufukweni baada ya kituo cha polisi huko shamba wale madada wakaomba dereva asimamishe gari. Wakaingia kichakani wakatoa maushungi wakarudi na vinguo vya ufukweni, yaani vifupi na vya kuteleza. Hilo halikunipa shida.
Tu kafika ufukweni tukaanza kunywa, kumbe wale dada wanapombe yao wanakunywa. Kilichoniudhi wakamaliza pombe yao wakataka bia zangu. Nikawaona Wazenji hawana maana.