mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,974
- 132,327
... mankachara umeleta balaaaaa humu jf
Last edited by a moderator:
hakuna vita hapa ukweli umewachoma ndio maana wamekakamaa na ndugu zao ndio wezi hukuBalahau wawenza n'vita
wapo wengi sana wewe kama hujawaona tembelea usiku mkubwa mjini utawaona wamelala pembezoni mwa nyumbahivi kuna vijana wanatoka bara kwenda kutafuta maisha zanzibar?!!!! kanchi kenyewe kanategemea kila kitu misaada kwa magaidi!
hata kama yapo makosa tunayofanya ila hatukuibieni, sisi tunafanya biashara zetuhata na sisi Watanganyika hatutaki mtuletee mdebwedo huku kwetu bara
mimi naelezea hisia zangu kutokana na hivi vitendo wanavotufanyia huku
Lack of money mkuu mnakosa hata elimu wapuuzi kama wewe namawazo ya shetani.It's not uncommon for someone with an anxiety disorder to also suffer from depression or vice versa.Pole mkuu
unajua watoto wa kizanzibari ni tofauti na huko bara, watoto wetu hawa kutwa wanaranda na vitu vya thamani, hebu fika wewe zanzibar uone tofauti ya mtu anapotembea akiwa bara na huku, ukiangalia apo kariakoo kila anaepita njia amekamata simu mkononi lakini huku hamna kabisa mpaka usiku mtu anatembea huku anachat. ila hii tabia ya kupokonywa saivi imezidi kukuaPole sana mkuu, ila kumbuka hizi nchi zimeshakuwa ni kitu kimoja takriban miaka 50 iliyopita na watu wanachanga culture tu. Ndo maana leo unaona Jiji kama la Dar es salaam ambapo watu wake hasa ni wazaramo, lakini makabila mengine pia yapo na wameenda huko na tabia zao na tamaduni zao, hivyo hivyo ukienda Mikoa kama ya Arusha na Mwanza tamaduni pia zimechanganyika. Kwa kweli ni vigumu sana kucontrol hii mambo.
halafu mrangi nawe mchokozi, naona unafuatilia kwa umakini vipi mzima... mankachara umeleta balaaaaa humu jf
Kusema ukweli watu kutoka bara ndio mnaotuharibia Zanzibar, mnakuja Zanzibar na maadili yenu machafu mkifika hapa mnatuharibia watoto wetu. Mimi mnaniudhi kweli kwani hamuwezi kujiheshimu.
Unamkuta mwanamke wa kibongo amevaa nguo matiti yote yako nje na nyuma anatikisika kama mkia wa samaki kiasi ambacho hata kutembea na motto wako unashindwa.
Kesi ya pili ni hi indo ilonleta leo hapa, kama kawaida yangu kila mwezi nampelekea mzazi hela ya matumizi yake binafsi, sasa leo mwenyewe ametoka anaenda mjini madukani hata anafika dukani hela na simu haimo ndani ya mkoba. Alinipigia simu na kunieleza na kilichonikasirisha zaidi ana uhakika kua waliomuibia ni wale machinga waliopo pale mjini wanaoza njugu na sigara maana ukifika pale wanakungangania kama umewaita.
Ushauri wangu, ingawa tumeungana lakini serekali iwafukuze watanganyika wote wasio kazi sisi tumeshawachoka kutufanyia fujo hapa Zanzibar.
mimi kuibiwa mzazi wangu nakereka balaa bora uniibiye mimi mwenyewe, wazazi wenyewe full presha si watasababisha wafe mapema buremm mzima mkuu naona unataka kuwafukuza wabara huko kisiwani? kuna nini tena mbona gafla tu balaaaa
kwani na wao wanakaa huko hawana kazi ila ya kukuibieniNa sisi tuwafukuze Wapemba na waunguja waliojaa katika miji na vijiji vyetu huku Tanganyika?
kwani na wao wanakaa huko hawana kazi ila ya kukuibieni
fukuzawanatuharibia watoto wetu wa kike nawa kiume!
id ni rukhsa kutumia yoyote, acha kutumiwa
wanatuharibia watoto wetu wa kike nawa kiume!
Hahahah,jamani leo kazi kweli,kumbe na nyue humu JF mmo? Ndio maana Computer yangu inagandamimi kuibiwa mzazi wangu nakereka balaa bora uniibiye mimi mwenyewe, wazazi wenyewe full presha si watasababisha wafe mapema bure
nilikukamata kwenye watumbatu ukajua mie mtumbatu sio, hahahah apo umefeli mkuu ila nafuatilia tu haya mambo ya kisiasaHahahah,jamani leo kazi kweli,kumbe na nyue humu JF mmo? Ndio maana Computer yangu inaganda
Kazi kweli,