mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
- Thread starter
- #61
iyo tunaweza sikatai, ila wanaouza kahawa na kashata sio weziNaam kiongozi hamuwezi,labda kuuza kahawa na kashata.
iyo tunaweza sikatai, ila wanaouza kahawa na kashata sio weziNaam kiongozi hamuwezi,labda kuuza kahawa na kashata.
hamna mzanzibar anaekuja dar es salaam ukamkuta anazagaa tu njiani
yaani mtoa mada umelegea kweli nahisi hata kashata huwezi kuvunja
Kiongozi,kauli zako zitatufanya tuseme mengi,ambayo yatawaumiza nduguzo.Tumekaa pemba na unguja,tumeona na kufanya mengi huko.Nakushauri achana na uzi huu kiongozi.acha uongo hakuna hata mzanzibari mmoja anaefanya kazi bar. kwani uko dar es salaam sisi hatujafika, wazanzibari wanamiliki mikahawa, maduka na mashamba ndani ya tanganyika na sio kufanya kazi bar
hamna mumezoea kuwasingizia wazanzibari kuwatia kwenye maovu, na wao wazanzibari wenyewe wanajua ndio maana wamewapuuzia, hivi huku zanzibar hakuna hoteli, maeneo ya utalii yote huku wahudumu ni wabongo sasa unaponiambia wanuza bar tena tanganyika lazima nikushangae, maana maisha zanzibar ni rahisi kuliko tanganyikaKiongozi,kauli zako zitatufanya tuseme mengi,ambayo yatawaumiza nduguzo.Tumekaa pemba na unguja,tumeona na kufanya mengi huko.Nakushauri achana na uzi huu kiongozi.
na nyinyi mnahisi aliyejikaza ni yule mwenye matusiyaani mtoa mada umelegea kweli nahisi hata kashata huwezi kuvunja
ahhhh na wewe huna jipya, sasa wavuvi kuja kuvua samaki kuna ubaya gani na nyinyi hamjui kuvuaNjoo kunduchi mtongani na boko ujionee kwani ndio wachuuzi wa samaki na wameolewa na wanawake wa kitanganyika.
nyinyi watu kutoka moshi ndio wizi wakubwa nyie kwani hatuwahoji ao wenzako huku zanzibar
Kusema ukweli watu kutoka bara ndio mnaotuharibia Zanzibar, mnakuja Zanzibar na maadili yenu machafu mkifika hapa mnatuharibia watoto wetu. Mimi mnaniudhi kweli kwani hamuwezi kujiheshimu.
Unamkuta mwanamke wa kibongo amevaa nguo matiti yote yako nje na nyuma anatikisika kama mkia wa samaki kiasi ambacho hata kutembea na motto wako unashindwa.
Kesi ya pili ni hi indo ilonleta leo hapa, kama kawaida yangu kila mwezi nampelekea mzazi hela ya matumizi yake binafsi, sasa leo mwenyewe ametoka anaenda mjini madukani hata anafika dukani hela na simu haimo ndani ya mkoba. Alinipigia simu na kunieleza na kilichonikasirisha zaidi ana uhakika kua waliomuibia ni wale machinga waliopo pale mjini wanaoza njugu na sigara maana ukifika pale wanakungangania kama umewaita.
Ushauri wangu, ingawa tumeungana lakini serekali iwafukuze watanganyika wote wasio kazi sisi tumeshawachoka kutufanyia fujo hapa Zanzibar.
Mtoa mada amevurugwa!
Kwani wale wapemba na waunguja wanaouza juisi za miwa Ilala, Kariakoo mbona wanaonekana watu wazima, hivi hawajaenda shule wale?
Halafu na hawa machoko wa Kizenji wanaozurura Migomigo huwa hamuwasugui vizuri huko hadi waja huku Bara kutafuta mabasha wa kuwabong'oa...??
Ushauri wangu, ingawa tumeungana lakini serekali iwafukuze watanganyika wote wasio kazi sisi tumeshawachoka kutufanyia fujo hapa Zanzibar.