Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

my dady watu8 na my huby Ruttashobolwa
hawajui kuimba,watoe tu maana nitacheka hiyo siku
halafu iwe balaa kwa husbnd na kwa mshua!!
 
Last edited by a moderator:
ngoja nianze kutiririka mistari hapa
hata ya bahati bukuku unaiweka pembeni
jamani marafiki wote mlioko darwing muwepo siku hiyo ya tarehe 06/07/2013 jioni pale leo tupo hapa kwani kutakuwa na shindano la kumchagua mwimbaji bora na atapewa award certificate na zawadi ya ushindi kwa washindi watatu na vilevile tutamtafuta mtunzi bora wa wimbo maalum wa unaohusu CC Jforum .

Vigezo vinavyotakiwa kwenye wimbo huo lazima:
a) kuwe na mpangilio wa vina, silabi na ghani kama ni shairi au ngonjera.
b) kuwe na mtiririko au mpangilio wa maneno yenye mvuto.
c) kuwe na maneno yanayomtukuza Mungu na sio majanga.
d) kuwe na ulinganifu wa matamshi, au silabi, na na beti 2 na kiitikio (chorus) 1
e) kama ni hiphop basi ilinganie vyema kimaneno na sio kujiimbia tu ilimradi.

wafuatayo ndio watakuwa kwenye kinyang'anyiro na mchujo wa kumpata mwimbaji aliyebora wa cc 2013 Bujibuji, watu8, Passion Lady, sweetlady, Lady doctor, Mwita Maranya, amu, Madame B, madame x, Mamndenyi, laizer, Donn, MKALIwakitaa, figganigga, steven Jr. Masatu, stevoh, Erickb52, Filipo, KakaKiiza, gfsonwin, Asprin (atakuwa chief), Paloma (atakuwa chief), Lady Unbreakable, charminglady Catherine Danzi na weingineo waishio dar kama wako na wale wanaotoka mikoani watakuwa na shindano hukohuko upcountry kwao hivyo msikose hiyo tarehe 06 july jamani waambie na wengine tangazo hili
 
samahani bestito kwani ukunipa karatasi ya wimbo wako ndo mana nikasahau nilivyoangalia ile list ya nyimbo naomba uanze kutiririsha wimbo hapa ili uchujwe na majaji na tupate wimbo maalum bora unaohusu Chitchat jamiiforum kwa mwaka 2013
siamini ladyfurahia kuhudhuria kote kule mazoezi ukanisahau
 
samahani bestito kwani ukunipa karatasi ya wimbo wako ndo mana nikasahau nilivyoangalia ile list ya nyimbo naomba uanze kutiririsha wimbo hapa ili uchujwe na majaji na tupate wimbo maalum bora unaohusu Chitchat jamiiforum kwa mwaka 2013

haya ngoja nianze kutunga mashairi
sauti yangu najijua am the best at it.....
ndio maana hata Jiwe Linaloishi aliniita kule mlango wa uwani
 
Last edited by a moderator:
sorry wewe utakuwa jaji kwenye tamasha la furaha tarehe 6/7/2013 pale leo tuko hapa pub kwani watakuwepo waimbaji ambao watashindanishwa na nyimbo zao nimewaomba waandae na kuzituma hapa cc ili ninyi majaji muone na kuanza kuchuja hizo nyimbo ukipata ulio bora utatangazwa hapa halafu kinyang'anyiro kitakuwa kieleni 6/7 jmosi hivyo anza kuangalia hizo nyimbo watakazotuma ili tufanye kazi sasa kwani kutakuwa na award certificate na zawadi kwa washindi 3 wakataopatikana
"chief" ndo nini ladyfurahia
 
wewe na Jiwe Linaloishi ni majaji pamoja na Asprini pia hivyo angalieni mtiririko wa nyimbo hapa kisha mfanyie kazi tupate wimbo bora
nimekuja chemba sijakuona...........nimeenda hadi chemba skwadi nimekutana na :majani7::majani7::majani7:!!!
na hata hiyo chief nishajua kama vipi njoo basi tujumuike!
 
Last edited by a moderator:
nimekuja chemba sijakuona...........nimeenda hadi chemba skwadi nimekutana na :majani7::majani7::majani7:!!!
na hata hiyo chief nishajua kama vipi njoo basi tujumuike!

hahahahah we umekwenda kwenye vijiwe vya wahuni.. wangekutatamua.... bahati yako hukufika ile chemba ya akina Idd lion ya Saigon.... lazima wangekuteka, chief usichukulie ni chief cooker? google kwanza upate jibu la uhakika
 
oky haina neno nitakuwepo bestito sema jingine ila ninachoomba waambie sasa hawa waimbaji waanze kutoa nyimbo zao hapa kama nilivyowaelekeza kwenye comment niliyopost ili tuanze kufanya mchujo hasa nyie majaji mfanye mchujo wimbo bora na waimbaji pia ila msipendelee wakiwaita chemba huko
usijali unajuaje kuwa wewe pia ni special kwangu.... mtambuzi tutamwalika katikati ya kikao
 
Back
Top Bottom