Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Watambue Waimbaji wa Chit Chat

Na mie nitakuwepo kutumbuiza

erykah-badu-2013-bet-honors.jpg
 
Habari zenu bandugu

Nafurahi kuwa mko wazima wa afya njema na mnaendelea vyema
nashughuli zenu,

Leo nimeonelea niwaletee waimbaji watakao kuwepo katika Tamasha
la Usiku wa Furaha
wa KiCHITCHAT utakaofanyika pale LEO TENA PUB
Tarehe 7/7/2013 na wakataofanya vizuri sana watapewa ZAWADI

Wafuatao ndo wako kwenye mazoezi ya vitendo ili kuipambisha siku hiyo special

View attachment 98932 hawa walijipanga ili kupiga picha ya pamoja kushoto Elli

anayefuata kushoto ni Lady, Filipo, Mwali, KakaKiiza na Mentor

Weingine ni hawa ni ndugu wa familia 1 ya watu8 wao walijituma zaidi kivitendo
na wako kikazi zaidi angalia hapo wakikamua yaani ladyfurahia, charminglady, Lady doctor, Lady Unbreakable, sweetylady, na Passion Lady






Wengine ni hawa hapa wakifanya vitu kabla ya shindano hilo kufika kilele chake
View attachment 98934 hawa ni gfsonwin na sweetlady

mwangalieni Paloma hapa naye yumo ndani ya practice stage





na huyu Smile alikuwa anasinzia kwa uchovu wa mazoezi kwani
niliwapa tizi ile baabkubwa si unajua tena mm ndo mwalimu wao
nataka kitu kitokee kizuri ona hapa

View attachment 98936 acha kusinzia nenda kwenye mazoezi
Mwita Maranya naye kwa vituko acha tu
anamfundisha mtu namna ya kupiga piano hapo


ndani ya mazoezi ladyf nikikamua
jamani hii picha imegoma jamani nifanyeje itoke hapa
Picha zingine angalieni hapo chini zimegoma kuwekeka my friend
wa mwisho ni Kipaji Halisi akiwa kivyake vyake

na weingine hawakujitokeza kwenye mazoezi siku hiyo nao ni Mamndenyi, watu8, Mtambuzi, Nicas Mtei (huyu sijui kama yuko kweli), Ruttashobolwa, stevoh, Donn (njoo upige gitaa), Mr Rocky, Erickb52 ( keyboard inatukodolea macho kwanini huji kwenye zoezi), The Boss, Chimbuvu ( tunakuitaji sauti ya 4), Heaven on earth, AshaDii (sauti ya 1 mama), Bujibuji (sauti ya 3 uko wapi), Zion Daughter (sasa huyu kaadimika kweli sauti 2 njoo), Asprini ( wewe sauti ya zege yakufaa zaidi), Bakulutu, Excellent (sauti ya 3 njoo), ruttashobanyuma (uko wapi), Arushaone (usikimbie tizi wewe), na weingine sikupata majina yao
naomba mniorodheshee majina yao hapa wawepo kwenye orodha ya
waimbaji wa ChitChat.
KARIBUNI TUBORESHE MASS PRAISE YETU

Vijana wapo huku wanaacha jukwaa la siasa kule linapotoshwa na wakina HAMY-D, Njano5, assadsyria3, chama,
Mahesabu, Maundumula,Tume ya Katiba,[URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=2872"]Bubu Msemaovyo, Mambo Shauri, Ukwaju,Tume ya Katiba[/URL],TandaleOne babayako.....tokeni huku ninyi wakinaKipaji Halisi,Bujibuji,ladyfurahia, Lady doctor,sweetlady na wengineo.Msitokomee huku tu....karibuni kwenye siasa pia
 
HABARI

Lile shindano la kumtafuta mwimbaji bora, mtunzi na wimbo bora
wa chitchat hapa ambalo lilikwenda kwa juma la wiki 2 na nusu sasa.

Natangaza rasmi kuwa limefungwa kutokana na sababu za kiufundi na
za msingi sana zilizo nje ya uwezo wetu kwani tulitegemea tulifanye
pale LEO TUPO HAPA PUB na tutafute mshindi atakayepokea award hiyo

Hivyo wasomaji na wachangiaji wetu na wale ambao waliwekwa kwenye
kinyang'anyiro hicho cha kumsaka mshindi bora wasijisikie vibaya sana
tutalipeleka miezi ya mbele yaani August - October 2013 kwa kile
tunachosema kuwa tumekosa barunzi machine, ile ya kuingizia instruments za
music ili waimbaji waimbe kuipitia hizo beat. Hivyo lile shindano halitafanyika
tarehe 06/07/2013 bali tutafanya kuanzia mwezi wa nane na kuendelea
pindi tukipata mashine hiyo.

Samahani sana kwa usumbufu uliojitokeza waungwana wangu, na wapenzi wangu
Mara upatapo notice hii mwambie na rafikiyo wa cc mwenzako.

Aksante kwa kunielewa.

NAWAKILISHA

rgds


sign.jpg
MRATIBU WA SHINDANO
LF.


CC: Arushaone, Mentor, Nicas Mtei, Mtambuzi, Paloma, Filipo, Mamndenyi, cacico, Kipaji Halisi, Bujibuji, Bishanga, The secretary, amu, Asprin, Slave, stevoh, figganigga, Lady doctor, Passion Lady, charminglady, gfsonwin, sweetlady, FirstLady, watu8, Jiwe Linaloishi, Mwita Maranya, Erickb52, Mr. Rocky, snowhite, jouneGwalu na wengineo wa cc.
 
Last edited by a moderator:
Siyo vibaya
Ngoja tuendelee kujiweka sawa.

HABARI

Lile shindano la kumtafuta mwimbaji bora, mtunzi na wimbo bora
wa chitchat hapa ambalo lilikwenda kwa juma la wiki 2 na nusu sasa.

Natangaza rasmi kuwa limefungwa kutokana na sababu za kiufundi na
za msingi sana zilizo nje ya uwezo wetu kwani tulitegemea tulifanye
pale LEO TUPO HAPA PUB na tutafute mshindi atakayepokea award hiyo

Hivyo wasomaji na wachangiaji wetu na wale ambao waliwekwa kwenye
kinyang'anyiro hicho cha kumsaka mshindi bora wasijisikie vibaya sana
tutalipeleka miezi ya mbele yaani August - October 2013 kwa kile
tunachosema kuwa tumekosa barunzi machine, ile ya kuingizia instruments za
music ili waimbaji waimbe kuipitia hizo beat. Hivyo lile shindano halitafanyika
tarehe 06/07/2013 bali tutafanya kuanzia mwezi wa nane na kuendelea
pindi tukipata mashine hiyo.

Samahani sana kwa usumbufu uliojitokeza waungwana wangu, na wapenzi wangu
Mara upatapo notice hii mwambie na rafikiyo wa cc mwenzako.

Aksante kwa kunielewa.

NAWAKILISHA

rgds


View attachment 100922
MRATIBU WA SHINDANO
LF.


CC: Arushaone, Mentor, Nicas Mtei, Mtambuzi, Paloma, Filipo, Mamndenyi, cacico, Kipaji Halisi, Bujibuji, Bishanga, The secretary, amu, Asprin, Slave, stevoh, figganigga, Lady doctor, Passion Lady, charminglady, gfsonwin, sweetlady, FirstLady, watu8, Jiwe Linaloishi, Mwita Maranya, Erickb52, Mr. Rocky, snowhite, jouneGwalu na wengineo wa cc.
 
hivi namimi nilikuwepo ktk kinyang'anyi.......lol!!
 
Back
Top Bottom